aseme kama wakat anamwambia,alimwambia awe mbadhilifu pia,KUPIGIWA SIM KUFANYA KAZI FULAN HASA KUONGOZA CHUO KAMA UDOM NI KUHESHIMIWA NA ALIYEKUPA,UNLESS HIZI TUHUMA ZIWE ZA UWONGO,,,,,,ahhh, mlachaaaa!huyu bwana anadharau sana aliwahi kusema kuwa yeye hakuandika barua ya maombi kuomba kazi udom bali kikwete alimpigia simu usiku wa manane kumuomba akaongoze chuo,so no one threatens him. serikali inajua uozo wote udom sema wanalindana2