Chuo huko tarime

Chuo huko tarime

Muyobhyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
8,149
Reaction score
6,552
TANGAZO:
Chuo kipya kabisa cha Kikurya
(KURYA UNIVERSITY COLLEGE OF DEATH AND LIFE) kinatangaza kozi na degree mpya kw mwak wa masomo 2014/2015 kama ifuatavyo;

1- VITA miaka 4.
2- KUPIGA MKE miaka 3.
3- UNOAJI PANGA, MIKUKI & SIME mwaka1.
4- UANDAAJI WA KICHULI miaka 2
5- KUKEKETA miaka 3,
6.MBINU ZA KUIBA NG'OMBE miaka 2.
Chuo kipo Wilayani TARIME-RORYA. Atakayejiunga mapema atapewa Ofa ya kozi ya kulima Bangi BUREE!
Wahi nafasi ni chache.
sifa kwa muombaji;
1.awe na ngeo 5 au zaid
2. awe na hasira kibao,.
3.awe na makovu ya visu,panga,mkuki au sime.
 
Sasa hizo c ndo kozi za kiume kaka, au ww unataka kozi za ususi na mapambo
 
Hao jamaa watakuwa wameisha kufanya kitu kibaya. sio bure
 
Back
Top Bottom