Lema hana kosa lolote wakuu.Ila mkuu wa mkoa amesema kwamba Lema ndie aliyewaamasisha wanafunzi wamzomee.Pia uongozi wa chuo wamesema kwamba hapo awali Lema aliwasaidia sana ila baada akaanza kutoa manene ya uchochezi,hii ni kwa mujibu wa uongozi wa chuoa.
Its just a amatter of Time wananchi watajua kuwa wanayemshabikia ni mtu hatari sana
Lema yupo salama kabisa nilimuona akitoroka kwa njia ya panya kwenye uzio wa chuo.
Its just a amatter of Time wananchi watajua kuwa wanayemshabikia ni mtu hatari sana
nashauri lema aende kisongo kama wanadhani issue ni kumtia rupango.
Its just a amatter of Time wananchi watajua kuwa wanayemshabikia ni mtu hatari sana