kwa hapo chuo hakihusiki. ameuliwa nje ya chuo.
Unataka kusema nini?
kwa hapo chuo hakihusiki. ameuliwa nje ya chuo.
Ngoja nikuulize ktu kidogo nilichoona mimi kwenye taarifa ya habari mkuu wa mkoa anafika ile kutaka tu kuongea wanafunzi wanazomea hawataki hata kusikiliza kisa dakika chache zilizopita Lema ametoka kuwaambia wasiwe waoga kwa kuwa ni dhambi mbaya kulikokuua mtu.mkuu rubi tupo hapa kujenga na watoto wetu wanasoma hizi thread bila kupepesa macho,wala kumung'unya maneno kosa la lema ni nini katika hili sakata?busara ya mulongo iko wapi katika hili tatizo?