nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
naomba na shule zile za wakristo zilizotaifishwa na serikali zirudishwe hapo rais atakuwa ametenda haki. shule hizo mifano yake ni Kigonsera, Ndanda, pugu nk.
Mbona ktk teuzi zenu zote zimejaa upendeleo wazi nyinyi wagala lkn nchi hii yetu sotehyo nayo ni hoja?? ha ha ha ha ha, uchaguzi wa mwenyekiti chadema lini??
Mali gani walikuwa nazo EMWS mpaka zirudishwe?Wakirudisha Mali za East Africa Muslim Welfare Society zilizoporwa na Julius Nyerere 1967 na kuzikabidhi kwa "Ewura" ya kuwadhibiti Waislam Bakwata basi nami nitaunga Mkono wazo lako.
Jana ilipaswa Rais awaombe radhi Waislam kwa vitendo vya kifisadi vya Wakala wao Bakwata ambae tangu inaanzishwa Waislam hawakuitaka.
Mali gani walikuwa nazo EMWS mpaka zirudishwe?
Kantalamba secondary na Kantalamba Ttcnaomba na shule zile za wakristo zilizotaifishwa na serikali zirudishwe hapo rais atakuwa ametenda haki. shule hizo mifano yake ni Kigonsera, Ndanda, pugu nk.
Tanesco au Serikali wamekwambia wanakitaka ? au wakati wanakitoa hawakujua kuwa wanawapa jumuia ya Kiislaam ?...au basi tu na wewe uweke post yako hapa kupunguza maumivu yako ya chuki juu ya Uislaam ?JPM amedai kuwa atarudisha mali zote za Waislamu na Wakristo. Sina uhakika kama atarudisha na zile zilizotaifishwa na Serikali ya JKN au la.
Hoja yangu ni kile Chuo cha TANESCO Morogoro ambacho hakikuwa cha Waislamu bali cha Serikali, je, Kitarudishwa kwa wenyewe yaani Serikalini? Tutende haki kwa pande zote plse!
Kwa nini Waislaam wapate, wakati wao ni second claas citizen ! ....kuna WaTz wajisahu sana !Hapa mnajadili nini na nini itakuwa hatima yake kwa kuzingatia muda, fedha na akili mnayotumia?
Kwa kweli wamerudishwa nyuma sana baada ya kufutwa kwa East Africa Muslim Welfare Society. Sijui ilikuwa ni uoga. Waislamu wamekuwa wanasimangwa sana na hicho Chuo cha Morogoro wakati walikuwa na mipango mizuri ya kimaendeleo chini ya East Africa Muslim Welfare Society.Wakirudisha Mali za East Africa Muslim Welfare Society zilizoporwa na Julius Nyerere 1967 na kuzikabidhi kwa "Ewura" ya kuwadhibiti Waislam Bakwata basi nami nitaunga Mkono wazo lako.
Jana ilipaswa Rais awaombe radhi Waislam kwa vitendo vya kifisadi vya Wakala wao Bakwata ambae tangu inaanzishwa Waislam hawakuitaka.
Mimi ni mkristo. Ila nakupongeza kwa hilo jibu ulilomjibu huyo mpuuzi.Umesema zitarudishwa mali za waislam na wakristo hapo mali za serikali zinaingiaje?? au kwako wewe mali za serikali ni mali za wakristo?? Acha mhemko!!
Duhh, mkuu kwa waislamu hiyo kitu inayoitwa BAKWATA hawataki kuisikia kwa sababu haiwasaidii na imekuwa inafifisha maendeleo yao.Kwahiyo waislamu mnatuambia "ewura yenu ni BAKWATA"?
Okay leo nimejifunza kitu jf!
Kwani Waislamu wamedai kwamba wameuza ardhi kwa Wafanyabiashara kisha baadaye wakajishtukia kwamba wameingizwa mjini?Tanesco au Serikali wamekwambia wanakitaka ? au wakati wanakitoa hawakujua kuwa wanawapa jumuia ya Kiislaam ?...au basi tu na wewe uweke post yako hapa kupunguza maumivu yako ya chuki juu ya Uislaam ?
Umesema zitarudishwa mali za waislam na wakristo hapo mali za serikali zinaingiaje?? au kwako wewe mali za serikali ni mali za wakristo?? Acha mhemko!!