Project planning and managementHabari zenu wadau
Kama kichwa cha habari kinavyosema mimi ni mmoja kati ya waliopangiwa chuo cha mipango mwanza
Je ni course gani wanazitoa?
Je ni bora niende huko au nitafute mbadala mwingine?
Nawasilisha mada mezani.
Amna wamenitumia message hawajaniambia nimepangiwa course ganiYani umepangiwa af unauliza wanatoa course gani???
Si ni hyo uliyopangiwa