Naomba yeyote anayejua Chuo kwa ajili ya kusomea mambo ya Maktaba na Secretary kilichopo Dar es salaam anisaidie.Chuo kiwe kina usajili unaojulikana na kiwe na Hostel.Nahitaji kumpeleka binti yangu akajiendeleze.
Naomba yeyote anayejua Chuo kwa ajili ya kusomea mambo ya Maktaba na Secretary kilichopo Dar es salaam anisaidie.Chuo kiwe kina usajili unaojulikana na kiwe na Hostel.Nahitaji kumpeleka binti yangu akajiendeleze.
Naomba yeyote anayejua Chuo kwa ajili ya kusomea mambo ya Maktaba na Secretary kilichopo Dar es salaam anisaidie.Chuo kiwe kina usajili unaojulikana na kiwe na Hostel.Nahitaji kumpeleka binti yangu akajiendeleze.
Nashukuru sana.School Of Library Archives and Documentation Studies(SLADS) wanayo campus Dar ipo pale jengo la maktaba kuu ya Taifa.
Kuna hiyo SLAD, Tumaini Univeristy kwa Dar.Kwa hapa Dar es salaam,hicho chuo cha SLADS kina Hostel za kulala Wanafunzi?
Hicho chuo cha Msimbazi Centre kinaitwaje?Mpeleke msimbazi center hutajutia!
Hapana sina uhakika kuhusu hilo, lakini ni vizuri ukaenda pale campus utapatiwa maelezo yote.Kwa hapa Dar es salaam,hicho chuo cha SLADS kina Hostel za kulala Wanafunzi?
Mpeleke records au procurementsNaomba yeyote anayejua Chuo kwa ajili ya kusomea mambo ya Maktaba na Secretary kilichopo Dar es salaam anisaidie.Chuo kiwe kina usajili unaojulikana na kiwe na Hostel.Nahitaji kumpeleka binti yangu akajiendeleze.
Naomba yeyote anayejua Chuo kwa ajili ya kusomea mambo ya Maktaba na Secretary kilichopo Dar es salaam anisaidie.Chuo kiwe kina usajili unaojulikana na kiwe na Hostel.Nahitaji kumpeleka binti yangu akajiendeleze.
Certificate.Level gani? Certificate, Diploma au Bachelor?
Certificate.