Chuo cha kwanza cha vinyozi Tanzania

Kimesajiliwa wapi? Je mamlaka za.serikal Zinakitambua hicho chuo yaani NACTVET

Mtoto akimaliza chuo anakuwa amehitimu level ipi? Astashahada ,stashahada,au shahada ?
 
Kimesajiliwa chini ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Mhitimu Atapata Cheti kinachotambulika.Lakini pia Mhitimu Atasaidiwa kupata Ajira
 
Course ni muda gani? ada kiasi gani?
Hizo kazi hazilengi sana kupata cheti, zinalenga sana kupata ujuzi..
 
Course yake ni Mwezi Mmoja,Ada ni sh300,000/ .Mbali na Cheti lakini Wahitimu Huwa wanasaidiwa Kupata Ajira Moja kwa Moja Baada ya Kuhitimu
 
Mwwz mmoja lak3 parefu sana boss weka miez mitatu kwa 350k

Ndan ya mwez mtu aende field.kumbuka kuna maslow learner humo muda mdogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…