Chuo cha Diplomasia (Centre for Foreign Relations) kinaitendea haki nchi yetu?

Chuo cha Diplomasia (Centre for Foreign Relations) kinaitendea haki nchi yetu?

LAAM RASHIDI

Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
44
Reaction score
66
Wadau,

Hebu tukichambue chuo kile kinachofahamika kwa kupika wanadiplomasia wa Tanzania na nchi jirani, ni kweli kinaitendea haki nchi yetu hasa kwa kuwatoa watu wenye weledi na ujuzi wa fani husika?
 
Issue kubwa pale imekuwa kama kijiweni! Hakuna deal wala hawapeleki pesa inavyotakiwa! Kuna wakati Msumbiji ndio walikuwa angalau wanatupia pesa kidogo! Kile ni kijiwe cha mabalozi kumalizia muda wao!
Wadau,

Hebu tukichambue chuo kile kinacho fahamika kwa kupika wanadiplomasia wa Tanzania na nchi jirani, ni kweli kinaitendea haki nchi yetu hasa kwa kuwatoa watu wenye weledi na ujuzi wa fani husika?
 
Ni chuo kizuri kitaaluma maana pale hakuna wavivu kama wale wanaoungaunga vyuo vingine sijui (kwa majibu wa matukio ya 2016). Ninamatumaini muheshimiwa Rais JPM ataanza kuteua wanataaluma waliopikwa pale ikiwa ni pamoja na kukipa ruzuku ya kutosha.
 
Kile chuo wizara haijakipa financial muscles za kutosha na kilihitajika kiwe na majengo na resources za kutosha. Kama computer labs effective sio mapambo, library ya kisasa, lecture rooms za uhakika equiped with hightech projectors etc.

Permanent and temporary lecturers waliosawa kufundisha sio mtu kafaulu kichina basi anakuja kufundisha
 
Back
Top Bottom