Chuo bora kati ya DIT na NIT kwa mechanical engineering

Chuo bora kati ya DIT na NIT kwa mechanical engineering

Roger Ramer

Member
Joined
Feb 4, 2017
Posts
34
Reaction score
15
Nataka kuchukua diploma ya mechanical engineering na nmechaguliwa DIT na NIT. Kozi ya diplo kwa waliomaliza form6 kama mimi ni miaka miwili NIT lakini DIT ni lazima miaka mitatu. Naombeni ushauri wenu nikasome wapi?
 
ukiwa na diploma ukifata kufanya degree ya engineering ambayo ni miaka 4 unaazia mwaka wa pili,so unasoma miaka 3
If and only if unarudi vyuo vinavofanana na dIT the likes of Udsm miaka ni minne
 
DIT wanafanya Bachelor of Engineering,Udsm wanafanya Bachelor of science in Engineering,hapo ndipo tofauti inapoanzia but mwisho wa siku wote mnasajiliwa ERB
If and only if unarudi vyuo vinavofanana na dIT the likes of Udsm miaka ni minne
 
Back
Top Bottom