Chumba na sebule (umeme bure) Sinza

Chumba na sebule (umeme bure) Sinza

dalalitz

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
3,475
Reaction score
2,078
Banda jipya la Uwani lenye Chumba na Sebule na Choo chake cha ndani (Sio masta) linapangishwa Sinza.

Nyumba ina Tiles, Gypsum na Dirisha za Vioo. Na ipo na Parking kwa ajili ya Gari moja.

Eneo ni Sinza Madukani/Kijiweni, Jirani na Ofisi za Magazeti ya kampuni ya Habari.

Kodi: Tshs. 300,000 (laki tatu) Kwa
mwezi - Ilipwe ya mwaka mzima.

Maulizo au kwa shida yoyote ya nyumba, kupanga, kupangisha, Pamoja na kuuza
Au biashara yoyote nyingine usisite kuwasiliana nami, Simu : +255-714-591548.
 
Banda jipya la Uwani lenye Chumba na Sebule na Choo chake cha ndani (Sio masta) linapangishwa Sinza.

Nyumba ina Tiles, Gypsum na Dirisha za Vioo. Na ipo na Parking kwa ajili ya Gari moja.

Eneo ni Sinza Madukani/Kijiweni, Jirani na Ofisi za Magazeti ya kampuni ya Habari.

Kodi: Tshs. 300,000 (laki tatu) Kwa
mwezi - Ilipwe ya mwaka mzima.

Maulizo au kwa shida yoyote ya nyumba, kupanga, kupangisha, Pamoja na kuuza
Au biashara yoyote nyingine usisite kuwasiliana nami, Simu : +255-714-591548.
kwani kuna mwajili analipa mshahara wa mwaka mzima!?
 
Banda jipya la Uwani lenye Chumba na Sebule na Choo chake cha ndani (Sio masta) linapangishwa Sinza.

Nyumba ina Tiles, Gypsum na Dirisha za Vioo. Na ipo na Parking kwa ajili ya Gari moja.

Eneo ni Sinza Madukani/Kijiweni, Jirani na Ofisi za Magazeti ya kampuni ya Habari.

Kodi: Tshs. 300,000 (laki tatu) Kwa
mwezi - Ilipwe ya mwaka mzima.

Maulizo au kwa shida yoyote ya nyumba, kupanga, kupangisha, Pamoja na kuuza
Au biashara yoyote nyingine usisite kuwasiliana nami, Simu : +255-714-591548.
biashara ya unga? fresh
 
Kwa kodi hiyo awamu hii ya hapa kazi tu utasubiri sana mkuu. Wakati hapa hapa sinza madukani kuna Manyara lodge inapangishwa na vyumba ni master bei 150000 tu kodi miezi 6.
....kuna zilizochomoka,ama?...unalinganishia bei kwa 'lodge?'....
..halafu,150k kwa mwezi maana yake ni 5k kwa siku?....huyo mwenye lodge hajielewi,ama ana chuma ulete kwa hao wapangaji,si bure!
 
Madalali hawajui kabisa biashara ya Nyumba.

Eti laki 3. * 12 = 3,600,000/-

Hiyo 3.6 unapata kiwanja chanika na kuanza kujenga.
Hela za dili asaivi hamna.

Tena vijana na watu wazima nyumba self container 2 bedrooms zipo Kimara,Gari mwendokasi,maji yapo ,achana na Sinza ,hiyo ilikuwa zamani wakati wa madili ya bandarini!

Dalali ndo maana tunasema mlipe kodi,mfanye kazi,na nyie madalali ndo mnashinda vijiweni siku nzima mnajua nani anakaa wapi na anafanya kazi wapi,yupo safari na anatudi lini,Siku Zote wizi ukitokea pahala first suspect huwa nawaambia Polisi ni madalali wa eneo husika.

Mfanye kazi zama za Yakhe zishapita!
 
kweli kabisa..mkuu..mie nimejijengea kabanda kangu kwa nyuma ya kiwanja changu kwa same spec . kwa 5 mil..yani napumua..niliwaza nijivutie kigarii au nirekebishe ki gofu cha site,,
Kwako kuna raha yake kwa maana ya Uhuru na ukishajenga umejenga tofauti na kupanga Kila siku kodi inapanda ukichukua nyumba ya laki name kwa mwezi Mara mwaka na nyumba ndogo ya kuanzia maisha
 
Kwako kuna raha yake kwa maana ya Uhuru na ukishajenga umejenga tofauti na kupanga Kila siku kodi inapanda ukichukua nyumba ya laki name kwa mwezi Mara mwaka na nyumba ndogo ya kuanzia maisha
kweli kabisa mkuu...yani nawaombeaga mungu sana vijana wenzangu wawe makini sana kwenye mipango ya maisha..maan awengi wanapotea kwenye vitu vidogo..cost analysis.
 
Banda jipya la Uwani lenye Chumba na Sebule na Choo chake cha ndani (Sio masta) linapangishwa Sinza.

Nyumba ina Tiles, Gypsum na Dirisha za Vioo. Na ipo na Parking kwa ajili ya Gari moja.

Eneo ni Sinza Madukani/Kijiweni, Jirani na Ofisi za Magazeti ya kampuni ya Habari.

Kodi: Tshs. 300,000 (laki tatu) Kwa
mwezi - Ilipwe ya mwaka mzima.

Maulizo au kwa shida yoyote ya nyumba, kupanga, kupangisha, Pamoja na kuuza
Au biashara yoyote nyingine usisite kuwasiliana nami, Simu : +255-714-591548.
Chumba na Sebule[self] pia kinapatikana chang'ombe
 
Back
Top Bottom