Chumba IPO mtaa Fulani chumba na sebule .na choo ndani ,ina maji, luku yako,gypsy.tiles, paa imepanda juu, ina packing na geti, kodi 80.000 kwa miez 6 .wahi badi vichache .Banda jipya la Uwani lenye Chumba na Sebule na Choo chake cha ndani (Sio masta) linapangishwa Sinza.
Nyumba ina Tiles, Gypsum na Dirisha za Vioo. Na ipo na Parking kwa ajili ya Gari moja.
Eneo ni Sinza Madukani/Kijiweni, Jirani na Ofisi za Magazeti ya kampuni ya Habari.
Kodi: Tshs. 300,000 (laki tatu) Kwa
mwezi - Ilipwe ya mwaka mzima.
Maulizo au kwa shida yoyote ya nyumba, kupanga, kupangisha, Pamoja na kuuza
Au biashara yoyote nyingine usisite kuwasiliana nami, Simu : +255-714-591548.
Kwa kodi hiyo awamu hii ya hapa kazi tu utasubiri sana mkuu. Wakati hapa hapa sinza madukani kuna Manyara lodge inapangishwa na vyumba ni master bei 150000 tu kodi miezi 6.
Chumba IPO mtaa Fulani chumba na sebule .na choo ndani ,ina maji, luku yako,gypsy.tiles, paa imepanda juu, ina packing na geti, kodi 80.000 kwa miez 6 .wahi badi vichache .
weka bei mkuuChumba na Sebule[self] pia kinapatikana chang'ombe
Mwenyewe anataka Tshs. 250,000 pm [kodi ya mwaka]weka bei mkuu
ok...ngoja nisubiri kwanza muswada wa kupunguza na kuongeza mishahara ujadiliweMwenyewe anataka Tshs. 250,000 pm [kodi ya mwaka]
Usawa ni mgumu sana, ila wenye nyumba nao wanasema hizo ni investment waliozowekeza ili waweze kuhimili hali kama hii.ok...ngoja nisubiri kwanza muswada wa kupunguza na kuongeza mishahara ujadiliwe
ni kweli mkuu....wenye uwezo watakuja tuu...daima hatulinganiUsawa ni mgumu sana, ila wenye nyumba nao wanasema hizo ni investment waliozowekeza ili waweze kuhimili hali kama hii.
Hapana hebu fuatilia NHC ninasikia wanaanza tenant purchase scheme ambapo utatoa pesea kidogo kama downpayment halafu utakatwa kidogo kidogo kupitia mishahara, vyanzo hakika vya uchumi kama ilivyokuwa magomeni kota, temeke wailesi na ilala.ni kweli mkuu....wenye uwezo watakuja tuu...daima hatulingani
hahaaa hao ndo hatuwawez kabisa ...acha tuendlee kupanga tuHapana hebu fuatilia NHC ninasikia wanaanza tenant purchase scheme ambapo utatoa pesea kidogo kama downpayment halafu utakatwa kidogo kidogo kupitia mishahara, vyanzo hakika vya uchumi kama ilivyokuwa magomeni kota, temeke wailesi na ilala.