Chumba cha jirani

Chumba cha jirani

Wewe jamaa nahis unatafuta wanaume wa kukufata huko inbox kwanza unakama miez miwili tu humu then unaleta mambo ya kish--oga sho--ga hapa

Kwanini kwanza uweke picha ya demu wakat wewe ni mwanaume
 
Mimi ni mwanaume ambaye nimekodi chumba sehemu x na nipo single cha kushangaza uck nikilala nasikia mwanamke analia chumba chumba kila baada ya ck kadhaa huku sauti ya kitanda kama kinavunjika ambapo kwangu ni kero kero yan cku hizo zkifka silali vzr kwa sababu ya makelele nifanyeje aisee..mbona huo ugomvi haushi kila wiki nimechoka sasa.
Popcorn generation,shame unakuja kulalamika jf kisa raha za wenzako?
 
Wewe jamaa nahis unatafuta wanaume wa kukufata huko inbox kwanza unakama miez miwili tu humu then unaleta mambo ya kish--oga sho--ga hapa

Kwanini kwanza uweke picha ya demu wakat wewe ni mwanaume
Unanichana au
 
Back
Top Bottom