Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Happy birthday mamy .
Nakuelewa sana mama Samia.
Waliotaka kuufanya uongozi wako kama punching bag wameparaganyika. Hawaamini macho yao .
Awe NABII, sheikh au mchawi yeyote atakayeinua kinywa chake kwa uovu juu yake amekwisha.
Sitanii niko serious.
Jiwe alizingua sana nikamwomba Mungu akamvuna .
Rais Samia yuko vizuri, ninamwekea ulinzi imara.
Matabiri yenu yote ya hovyo hayatampata, kuna neema imemzunguka.
Wote mnaomtakia mabaya Rais Samia tutashuhudia mabaya yenu mchana kweupe.
Uishi maisha ya furaha na amani. Uishi umri aliokupa Mungu, maadui zako wote watakutangulia kwa Mungu.
Nakuelewa sana mama Samia.
Waliotaka kuufanya uongozi wako kama punching bag wameparaganyika. Hawaamini macho yao .
Awe NABII, sheikh au mchawi yeyote atakayeinua kinywa chake kwa uovu juu yake amekwisha.
Sitanii niko serious.
Jiwe alizingua sana nikamwomba Mungu akamvuna .
Rais Samia yuko vizuri, ninamwekea ulinzi imara.
Matabiri yenu yote ya hovyo hayatampata, kuna neema imemzunguka.
Wote mnaomtakia mabaya Rais Samia tutashuhudia mabaya yenu mchana kweupe.
Uishi maisha ya furaha na amani. Uishi umri aliokupa Mungu, maadui zako wote watakutangulia kwa Mungu.