MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Hayo yote labda yangetokea au hapana lakini kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kwamba chini ya uongozi wa EL nchi isingekuwa katika hali ya hofu kuu; "happiness index"; kipimo cha furaha ya watanzania ingepanda, watu wangejenga hali ya matumaini na kesho iliyo bora kulikoni ilivyo sasa na vipaumbele vya taifa vingekuwa ni maendeleo ya watu ZAIDI badala ya vitu; hilo nina uhakika nalo 100%1.Kuzuia mikutano ya kisiasa?
2.Kutowapa wanafunzi wote mikopo?
3.Watu kushikiliwa mahabushi/polisi kwa muda mrefu kwa makosa yanayodhaminika?
4.Kuwakamata wamiliki wa mitandao ya kijamii na kufungia baadhi ya vyombo vya habari.
5.Watumishi wa umma kufanya kazi bila hata nyongeza ya mishahara wala kupandishwa madaraja
6.Miili saba kuokotwa kando ya mito na kuanza uchunguzi baada ya watu kupiga kelele
7.Kuzuia bunge kuoneshwa live
8.Kutumia kumbi za Ikulu kwa mikutano ya chama.
9.Kumteua kanali wa jeshi kukalia nafasi muhimu ya chama tawala.
Je, tuchukulie sasa Lowassa ndio angekua Rais hali ingekua vipi? Na CCM ndio wangekua benchi kibaki kua watazamaji hali ingekuaje?
Bado tu CCM inapendwa???