Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 452
Jf wakupe tunzo yako.Sijakuelewa [emoji848]
Kwanini mkuu 😃😃Jf wakupe tunzo yako.
Fafanua zaidiIpo hivi sisi binadamu ni roho, siku tulilifamu hili tutakuwa unstoppable kwenye Kila eneo la maisha yetu.
Hawa kina Elon musk, Bill gates na mwenzao wengi walifahamu Siri hii wakatumia Nguvu hiyo kumanipulate Mambo mbalimbali kwenye maisha yao hadi sasa they are unstoppable.
Unajitahidi kuchangia nyuzi.Kwanini mkuu [emoji2][emoji2]
Hahah😂😂😂,, ujobless my friend...sina cha kufanya 😃😃Unajitahidi kuchangia nyuzi.
Bangi sio chai.Ipo hivi sisi binadamu ni roho, siku tulilifamu hili tutakuwa unstoppable kwenye Kila eneo la maisha yetu.
Hawa kina Elon musk, Bill gates na mwenzao wengi walifahamu Siri hii wakatumia Nguvu hiyo kumanipulate Mambo mbalimbali kwenye maisha yao hadi sasa they are unstoppable.
Mbona wengine ni Jobless ila hatuwezi.Hahah[emoji23][emoji23][emoji23],, ujobless my friend...sina cha kufanya [emoji2][emoji2]
Halafu sijui kwanini eti😃😃,,, inatokea tu😂😂😂🙈Mbona wengine ni Jobless ila hatuwezi.
Ndio, inatokea tu.Halafu sijui kwanini eti[emoji2][emoji2],,, inatokea tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85]
DPWNdio, inatokea tu.
Mimi naweza weka reply tatu, halafu nikapoteza interest ya kucomment tena.
Mfano hii Comment nimeiandika kwa kujilazimisha.[emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3] jinsia yako tafadhaliHahah[emoji23][emoji23][emoji23],, ujobless my friend...sina cha kufanya [emoji2][emoji2]
Pole sana aisee 😃😃😃...upumzike sasa😊🤗Ndio, inatokea tu.
Mimi naweza weka reply tatu, halafu nikapoteza interest ya kucomment tena.
Mfano hii Comment nimeiandika kwa kujilazimisha.[emoji16][emoji16]