Chukua hiyo itakusaidia (2)

Chukua hiyo itakusaidia (2)

Mtuache

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
260
Reaction score
707
Habari za wakati huu members wa JF

Mimi ni kijana, sina umri wa kutisha na sijaishi maisha marefu ila nashukuru kwa miaka yote niliyoishi mpaka leo kuandika haya.

Nitakoliongelea si jambo jipya, ni kukumbushana tu

Nimezika watu wengi sana. Ndugu, majirani, marafiki, mzazi, na wengine hata siwajui. Nina uhakika hata wewe pia umezika watu wengi pengine kuzidi mimi

Misiba imekuwa ikinifirisha sana, kwanini huyu kafa mimi bado nipo hai? Je, dhumuni la mimi kuwa duniani halijatimia? Dhumuni hilo ni lipi hasa? Huyu alielala hapa ni kweli hatusikii? Wala hajui lolote linaloendelea? Na mimi nitakuja kuwa hivi? Nitafanyiwa taratibu zote anazofanyiwa huyu? Sitaweza hata kutikisa kichwa? Nitafukiwa chini na nitaachwa hapo? Je ni kweli sitomuona tena huyu mtu?

Nimekuja kugundua Maisha ya mwanadamu ni hadithi tu

Maisha anayoishi binadamu hapa ulimwenguni ni hadithi tu itakayokuja kusimuliwa na hao hao binadamu kwa binadamu wengine.

Hivyo basi ndugu yangu/Rafiki yangu/Kaka yangu/Baba yangu/Dada yangu/Mama yangu unayoyafanya leo yatakuja kusimuliwa kwa wanao/majirani/huenda hata vizazi na vizazi.

Jitahidi hadithi yako iwe nzuri masikioni mwa wasikilizaji. Kila ukitaka kulala fikiria siku ukifa watu watakuhadithia kwa lipi? Kuwa "alikuwa mlevi sana bwana, kreti ana maliza mwenyewe" au "jamaa alikuwa malaya sana, hakuna mwanamke aliyemuacha hapa mtaani"

Ulikuja duniani kulewa tu kisha ufe au ulikuja ili uwe msaada na nuru kwa wanadamu wenzio? Wanao unawaachaje? Rafiki zako unawaachia masimulizi gani? Dunia itakuwa imefaidika kwa lipi kutoka kwako? Ni kweli pengo uliloacha halitazibika? Au kifo chako kimeleta afadhali kwa kero ulizokuwa nazo?

Utaadithiwa kwa mema au kwa mabaya? Uliyoyafanya yatahadithiwa kama mafunzo mema yanayopaswa kuigwa au makatazo na maonyo makali. Utahadithiwa kama mfano mema au mbaya?

ISHI VYEMA
Mtuache
 
Habari za wakati huu members wa JF

Mimi ni kijana, sina umri wa kutisha na sijaishi maisha marefu ila nashukuru kwa miaka yote niliyoishi mpaka leo kuandika haya.

Nitakoliongelea si jambo jipya, ni kukumbushana tu

Nimezika watu wengi sana. Ndugu, majirani, marafiki, mzazi, na wengine hata siwajui. Nina uhakika hata wewe pia umezika watu wengi pengine kuzidi mimi

Misiba imekuwa ikinifirisha sana, kwanini huyu kafa mimi bado nipo hai? Je, dhumuni la mimi kuwa duniani halijatimia? Dhumuni hilo ni lipi hasa? Huyu alielala hapa ni kweli hatusikii? Wala hajui lolote linaloendelea? Na mimi nitakuja kuwa hivi? Nitafanyiwa taratibu zote anazofanyiwa huyu? Sitaweza hata kutikisa kichwa? Nitafukiwa chini na nitaachwa hapo? Je ni kweli sitomuona tena huyu mtu?

Nimekuja kugundua Maisha ya mwanadamu ni hadithi tu

Maisha anayoishi binadamu hapa ulimwenguni ni hadithi tu itakayokuja kusimuliwa na hao hao binadamu kwa binadamu wengine.

Hivyo basi ndugu yangu/Rafiki yangu/Kaka yangu/Baba yangu/Dada yangu/Mama yangu unayoyafanya leo yatakuja kusimuliwa kwa wanao/majirani/huenda hata vizazi na vizazi.

Jitahidi hadithi yako iwe nzuri masikioni mwa wasikilizaji. Kila ukitaka kulala fikiria siku ukifa watu watakuhadithia kwa lipi? Kuwa "alikuwa mlevi sana bwana, kreti ana maliza mwenyewe" au "jamaa alikuwa malaya sana, hakuna mwanamke aliyemuacha hapa mtaani"

Ulikuja duniani kulewa tu kisha ufe au ulikuja ili uwe msaada na nuru kwa wanadamu wenzio? Wanao unawaachaje? Rafiki zako unawaachia masimulizi gani? Dunia itakuwa imefaidika kwa lipi kutoka kwako? Ni kweli pengo uliloacha halitazibika? Au kifo chako kimeleta afadhali kwa kero ulizokuwa nazo?

Utaadithiwa kwa mema au kwa mabaya? Uliyoyafanya yatahadithiwa kama mafunzo mema yanayopaswa kuigwa au makatazo na maonyo makali. Utahadithiwa kama mfano mema au mbaya?

ISHI VYEMA
Mtuache
WANASEMA MSIBA NI IBADA, UKISHIRIKI IBADA YA MAZISHI UTAELEWA MAISHA NI NINI

ANYWAYS LIFE IS TOO SHORT
 
Mimi pia nimewahi kuwaza mengi kuhusu kifo mkuu! Na miongoni mwa maswali niliyo jiuliza ni hayo uliyoyaandika!


Life is too short!
 
Tatizo Vijana Wa sasa Hawawazi hayo...Maana Wanafanya kila matamanio ya Roho yanavyowaamlisha bila kujali ni jema Au Baya...

HATI HATI VIJANA WAKILEO WAKIZEEKA TAIFA HAKIKA LITAKUA NA WAZEE WA HOVYO KUPILITIZA.
 
Habari za wakati huu members wa JF

Mimi ni kijana, sina umri wa kutisha na sijaishi maisha marefu ila nashukuru kwa miaka yote niliyoishi mpaka leo kuandika haya.

Nitakoliongelea si jambo jipya, ni kukumbushana tu

Nimezika watu wengi sana. Ndugu, majirani, marafiki, mzazi, na wengine hata siwajui. Nina uhakika hata wewe pia umezika watu wengi pengine kuzidi mimi

Misiba imekuwa ikinifirisha sana, kwanini huyu kafa mimi bado nipo hai? Je, dhumuni la mimi kuwa duniani halijatimia? Dhumuni hilo ni lipi hasa? Huyu alielala hapa ni kweli hatusikii? Wala hajui lolote linaloendelea? Na mimi nitakuja kuwa hivi? Nitafanyiwa taratibu zote anazofanyiwa huyu? Sitaweza hata kutikisa kichwa? Nitafukiwa chini na nitaachwa hapo? Je ni kweli sitomuona tena huyu mtu?

Nimekuja kugundua Maisha ya mwanadamu ni hadithi tu

Maisha anayoishi binadamu hapa ulimwenguni ni hadithi tu itakayokuja kusimuliwa na hao hao binadamu kwa binadamu wengine.

Hivyo basi ndugu yangu/Rafiki yangu/Kaka yangu/Baba yangu/Dada yangu/Mama yangu unayoyafanya leo yatakuja kusimuliwa kwa wanao/majirani/huenda hata vizazi na vizazi.

Jitahidi hadithi yako iwe nzuri masikioni mwa wasikilizaji. Kila ukitaka kulala fikiria siku ukifa watu watakuhadithia kwa lipi? Kuwa "alikuwa mlevi sana bwana, kreti ana maliza mwenyewe" au "jamaa alikuwa malaya sana, hakuna mwanamke aliyemuacha hapa mtaani"

Ulikuja duniani kulewa tu kisha ufe au ulikuja ili uwe msaada na nuru kwa wanadamu wenzio? Wanao unawaachaje? Rafiki zako unawaachia masimulizi gani? Dunia itakuwa imefaidika kwa lipi kutoka kwako? Ni kweli pengo uliloacha halitazibika? Au kifo chako kimeleta afadhali kwa kero ulizokuwa nazo?

Utaadithiwa kwa mema au kwa mabaya? Uliyoyafanya yatahadithiwa kama mafunzo mema yanayopaswa kuigwa au makatazo na maonyo makali. Utahadithiwa kama mfano mema au mbaya?

ISHI VYEMA
Mtuache
💯%
 
mpaka akili itune mode hii,ni mpaka aanguke mtu unayemjua kabisa.

mimi nimepoteza mama mzazi nikiwa na miaka 8,swali lililobisumbua muda mrefu sana ni "mama yangu anajisikiaje huko ardhini"lini nitakuja kuonana naye tena na tucheke na kucharuana kama ilivyokuwa??jibu lilikuwa sijui.
mh
sasa kwanini kifo??
lengo lake ni lipi??
kina maana gani??
kwanini kwa mama muda huu??

sasa hivi nimekua ndio naelewa kumbe namimi ni mtarajiwa,kama sio siku za karibuni basi baadae,haina maana kuumizana.
 
mpaka akili itune mode hii,ni mpaka aanguke mtu unayemjua kabisa.

mimi nimepoteza mama mzazi nikiwa na miaka 8,swali lililobisumbua muda mrefu sana ni "mama yangu anajisikiaje huko ardhini"lini nitakuja kuonana naye tena na tucheke na kucharuana kama ilivyokuwa??jibu lilikuwa sijui.
mh
sasa kwanini kifo??
lengo lake ni lipi??
kina maana gani??
kwanini kwa mama muda huu??

sasa hivi nimekua ndio naelewa kumbe namimi ni mtarajiwa,kama sio siku za karibuni basi baadae,haina maana kuumizan
 
Pamoja na hayo bado tu utakuwa hausikii na huwezi tikisa kichwa yako, hivyo ishi unavyoona wewe ni sahihi mkuu,
Hata ukiacha historia nzuri sidhani kama itakua msaada kwako huko uendako.....
 
kwa Sisi waislam tuma msemo unaojitosheleza kwenye IBADA ya mazishi

HAKIKA KIFO NI MAWAIDHA TOSHA

images%20(9).jpg
 
Kifo aisee ni hatari
Mimi swali langu ni je tumezaliwa ili tuje tufe?
Kwanini kifo ni hatma ya kila mtu
Dunia ina maana gani kama wote tufakufa?
Mbona watu wengine wanayafanya mabaya na wanajisahau kama watakufa?

Nilijiuliza hayaa baada ya kumuona baba yangu akikata roho mbele yangu mwaka mmoja nyuma
 
Kama kusingekuwa na kufa Basi tusingezaliwa.
Jiulize Kama tangu Adam mpaka Leo watu wasingekufa ingekuwaje?
Na hii inaonesha uwepo wa mungu aliposema.
KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI.
na hata wale wasioamini mungu yupo nao Wana kufa
Kifo aisee ni hatari
Mimi swali langu ni je tumezaliwa ili tuje tufe?
Kwanini kifo ni hatma ya kila mtu
Dunia ina maana gani kama wote tufakufa?
Mbona watu wengine wanayafanya mabaya na wanajisahau kama watakufa?

Nilijiuliza hayaa baada ya kumuona baba yangu akikata roho mbele yangu mwaka mmoja nyuma
 
Kama kusingekuwa na kufa Basi tusingezaliwa.
Jiulize Kama tangu Adam mpaka Leo watu wasingekufa ingekuwaje?
Na hii inaonesha uwepo wa mungu aliposema.
KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI.
na hata wale wasioamini mungu yupo nao Wana kufa
Na wale wanaokufa kabla hawajazaliwa je?
 
Sasa hizo hadithi zao me ntasikia wapi ata kama wakisema nilikua malaya, mlevi maana nishakufa masononeko watabaki nayo walio hai.

Mleta mada au mtu akifa anasikia malalamiko?
 
Habari za wakati huu members wa JF

Mimi ni kijana, sina umri wa kutisha na sijaishi maisha marefu ila nashukuru kwa miaka yote niliyoishi mpaka leo kuandika haya.

Nitakoliongelea si jambo jipya, ni kukumbushana tu

Nimezika watu wengi sana. Ndugu, majirani, marafiki, mzazi, na wengine hata siwajui. Nina uhakika hata wewe pia umezika watu wengi pengine kuzidi mimi

Misiba imekuwa ikinifirisha sana, kwanini huyu kafa mimi bado nipo hai? Je, dhumuni la mimi kuwa duniani halijatimia? Dhumuni hilo ni lipi hasa? Huyu alielala hapa ni kweli hatusikii? Wala hajui lolote linaloendelea? Na mimi nitakuja kuwa hivi? Nitafanyiwa taratibu zote anazofanyiwa huyu? Sitaweza hata kutikisa kichwa? Nitafukiwa chini na nitaachwa hapo? Je ni kweli sitomuona tena huyu mtu?

Nimekuja kugundua Maisha ya mwanadamu ni hadithi tu

Maisha anayoishi binadamu hapa ulimwenguni ni hadithi tu itakayokuja kusimuliwa na hao hao binadamu kwa binadamu wengine.

Hivyo basi ndugu yangu/Rafiki yangu/Kaka yangu/Baba yangu/Dada yangu/Mama yangu unayoyafanya leo yatakuja kusimuliwa kwa wanao/majirani/huenda hata vizazi na vizazi.

Jitahidi hadithi yako iwe nzuri masikioni mwa wasikilizaji. Kila ukitaka kulala fikiria siku ukifa watu watakuhadithia kwa lipi? Kuwa "alikuwa mlevi sana bwana, kreti ana maliza mwenyewe" au "jamaa alikuwa malaya sana, hakuna mwanamke aliyemuacha hapa mtaani"

Ulikuja duniani kulewa tu kisha ufe au ulikuja ili uwe msaada na nuru kwa wanadamu wenzio? Wanao unawaachaje? Rafiki zako unawaachia masimulizi gani? Dunia itakuwa imefaidika kwa lipi kutoka kwako? Ni kweli pengo uliloacha halitazibika? Au kifo chako kimeleta afadhali kwa kero ulizokuwa nazo?

Utaadithiwa kwa mema au kwa mabaya? Uliyoyafanya yatahadithiwa kama mafunzo mema yanayopaswa kuigwa au makatazo na maonyo makali. Utahadithiwa kama mfano mema au mbaya?

ISHI VYEMA
Mtuache
WORD
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom