denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Mkuu, hawa wajinga ndio wanaofanya wajibiwe kwa dharau na kejeli kwasababu ya huu utopolo wao, halafu utopolo mwenzao mmoja anapenda sana kuwatetea eti wanaonewa.Acha kupotosha kwa mafikirio yako
Maana ya mkataba ni nini? Terms of contract kati ya vunja bei na SSC zinasomaje?
Maswala ya mikataba siyo ya kukurupuka kama unavyoaminisha umma