Chukua hatua kwa maumivu makali ya kifua

OCC Doctors

Senior Member
Jul 20, 2018
104
151
Historia ya kina na uchunguzi kamili unapaswa kufanywa ili kubaini sababu inayowezekana zaidi na njia ya utatuzi. Ikiwa kuna upungufu wa mtiririko wa damu kwenye moyo hali inayopelekea kuzuia misuli ya moyo kupokea oksijeni ya kutosha (myocardial ischaemia) mara nyingi maumivu yake huwa ni makali nyuma ya mfupa wa wima wa kifua (Retrosternal), hutambaa kuelekea kwenye taya na mikono, maumivu huongezeka mtu akifanya harakati za mwili na hupungua akipumzika.

Snapinsta.app_65194664_968596670150530_8015994304633563248_n_1080.jpg
 
Historia ya kina na uchunguzi kamili unapaswa kufanywa ili kubaini sababu inayowezekana zaidi na njia ya utatuzi. Ikiwa kuna upungufu wa mtiririko wa damu kwenye moyo hali inayopelekea kuzuia misuli ya moyo kupokea oksijeni ya kutosha (myocardial ischaemia) mara nyingi maumivu yake huwa ni makali nyuma ya mfupa wa wima wa kifua (Retrosternal), hutambaa kuelekea kwenye taya na mikono, maumivu huongezeka mtu akifanya harakati za mwili na hupungua akipumzika.

View attachment 2790183
So tufanyaje kiongozi Ili kuondokana na hili tatizo.
 
Historia ya kina na uchunguzi kamili unapaswa kufanywa ili kubaini sababu inayowezekana zaidi na njia ya utatuzi. Ikiwa kuna upungufu wa mtiririko wa damu kwenye moyo hali inayopelekea kuzuia misuli ya moyo kupokea oksijeni ya kutosha (myocardial ischaemia) mara nyingi maumivu yake huwa ni makali nyuma ya mfupa wa wima wa kifua (Retrosternal), hutambaa kuelekea kwenye taya na mikono, maumivu huongezeka mtu akifanya harakati za mwili na hupungua akipumzika.

View attachment 2790183
Napata maumiv kama ya kuchoma choma hiv au ganzi eneo la kifua kama hapo pichani kila nikivuta pumzi ndefu au nikipiga miayo. Tatizo laweza kuwa nini mkuu?
 
Napata maumiv kama ya kuchoma choma hiv au ganzi eneo la kifua kama hapo pichani kila nikivuta pumzi ndefu au nikipiga miayo. Tatizo laweza kuwa nini mkuu?
Kama ni serious sana ka check moyo
 
Back
Top Bottom