Chuki ya Wassira kwa Mh Lissu, ni ile kesi ya Ubunge Mahakamani, Lissu alilihenyesha Wassira mpaka likataka kupigana

Chuki ya Wassira kwa Mh Lissu, ni ile kesi ya Ubunge Mahakamani, Lissu alilihenyesha Wassira mpaka likataka kupigana

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Hi Zeee ni Moja ya Zee lenye ROHO mbaya mnoo.

Mh Polepole aliwahi tuelezea, Namna GANI Lilivyomtukana Nyerere, na namna GANI Magufuli alivyoliweka pembeni.

Ni zee korofi, lenye UCHU, Zee ambalo lipotayari kufanya lolote kwa ajili ya Cheo.

Kwa sasa Linatumia Nafasi yake, kumuumiza Lissu yaan kulipa Kisasi.

Linamwogopa sana Mh Lissu !!
 
Baada ya vijana kutembelea huyu mzee yaelekea ameanza ujenzi wa ghorofa bada ya nyumba yake kuteketezwa kwa moto. Kikundi kinaogelea fedha za serikali
 
Baada ya vijana kutembelea huyu mzee yaelekea ameanza ujenzi wa ghorofa bada ya nyumba yake kuteketezwa kwa moto. Kikundi kinaogelea fedha za serikali
UNataka kusema kwamba wachomaji hawakua na akili timamu kugundua kwamba hawa wazito watafidiwa?
 
UNataka kusema kwamba wachomaji hawakua na akili timamu kugundua kwamba hawa wazito watafidiwa?
Siyo kufidiwa labda sema watachotewa fedha ili wajenge upya.

Hakuna fisadi anayekatia bima Mali zake maana kwa kawaida mafisadi huwa na kiburi fulani hivi Cha kuamini majanga siyo Kwa ajili Yao.
 
Umri wake umeenda mno! Uwezo wake wa kufikiri vizuri umepungua.
 
Siyo kufidiwa labda sema watachotewa fedha ili wajenge upya.

Hakuna fisadi anayekatia bima Mali zake maana kwa kawaida mafisadi huwa na kiburi fulani hivi Cha kuamini majanga siyo Kwa ajili Yao.
Nakuunga mkono, lakini tupo sambamba hiyo lugha ya "fidia" ndo hiyo hiyo ya kuchotewa unayosema wewe
 
Back
Top Bottom