Chuki ni sumu

hakika ndugu
 
Hakika ametukumbusha jambo jema, chuki ni sumu kali sana inaua polepole, inadhoofisha kila kiungo, moyo uliobeba chuki unafubaa na kusinyaa.

Shukrani kwa uzi bora wa weekend.
Ahsante
 
We kumbe dogo sana bado 😀 nikajua kipindi cha vita vya majimaji na ujiuji
Miaka ya 60's unaniambia Mimi mdogo?
Hebu mtafute memba yeyote wa hapa JF aliyezaliwa miaka ile kama utampata.
 
Laana ya chuki ndio naiogopa
Chuki ni sumu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…