Mbaya ..wachaga ambao ni effective hawapo Kilimanjaro.Na hivyo kuifanya serikali kushindwa wabana wachaga...experice yangu inaonyesha..Hata hao wanasiasa wenyewe,wanakata matawi waliyosimamia kwani wengi wameolewa na wachaga(waawake+wanaume).Pamoja na mafanikio ya muda mfupi mwishowe wachaga huwa crucial sana ktk survival yao kiuchumi na kimipango.
Hata watafiti wa kijerumani walipokuja waliona kitu tofauti sana kule..walikuwa utamaduni ambao haukuwa sumbua sana kuwapa concept ya "Mungu Moja" na ethics fulani ambzo zina universala values.Pia social bondaje yao ilikuwa na maana sana.
Wachaga wana utamaduni wa kuthamini Nyumbani na mahusiano yao kudumishwa ktk mikusanyiko ambayo watu wengine huidharau ila ni powerful.ktk kuongea na watu ktk mikoa mingi pamoja na kuwachukia wachaga kuna vitu ambvyo mud amfupi huwafanya waone bado wanawahitaji.Wapo waliosema kinachofanya wawapende ni wengine kutotosa "uzao wao","kupenda jishughulisha na kufanikiwa", hawana masifa, na mengine....wengina wakajaribu halalisha chuki zao kwa maneno km wana ukabila,ni wezi, wanadhulumu, etc....ila nilipowauliza km JK na mafisadi ni wachaga?nikauliza wale jamaa waliogeuza UCC kuwa ya kabila moja ni wachaga?Nikawauliza wapi wachaga wametangaza chuki na makabila mengine hadi kila kabila la Tanzania liwachukie ,huku wakitumia huduma zao, kuoana nao na mengine?Majibu yalikuwa shida wengine ,wakaanza kuuliza wewe ni mchani nini?ndio maana..nikamwambia ndio maana nini?Ndio maana yeye akashidwa jibu?
Hivi we umesoma mpaka la ngapi? Kifikra huwa unawaza nini? Uandishi wako tu, najiuliza huwa unafikiri zaidi ya hapo?
Au unatafuta lejitimasi
Kweli mchagga mtu wa maendeleo lakini hebu fuatilia;Ukweli wachaga wanapenda maendeleo, Lakini baadhi hatuwezi sema wote wako tayari kutafuta utajiri kwa njia yoyote na majambazi wote wakubwa ni wachaga period, Nina mfano hai baba yangu wa kunizaa alidhurumiwa pesa kibao na sawaya mpaka akasamehe kwani kulikuwa na hatari ya kupoteza maisha yake.
Umemaliza mkuu!!acha wacheza ngoma waendelee kupiga kupiga domo,kwao hii ni asili(jadi)hawaachi hata uwafanyaje,wapo kwa ajili ya kutafuta cha kusema,ukifanikiwa wanasema,uki fail pia watasema! Watu wamezoea kuwa maskini,mafanikio kwao ni laana!! Waache wapige domo,endelea kuhudumia wateja wako mangi.
Nilisia hawa wameoa Wachaga ni kweli?
Sumaye
Mkapa
Warioba
Salmin Amour 'Komando '
Ni kweli?
Mkuu acha unafiki
Kuna sehemu tanzania utakosa mchaga? kama wangekuwa wanachukiwa wangesurvive?
Mimi ni mhehe na mwenyekiti wangu wa kijiji ni mchaga
Idol wangu kisiasa ni Mchaga (Mrema)
Idol wangu wa polisi ni mchaga (Mahita)
Hii thread ni ya kichochezi na haifai kuachiwa hapa.
Chadema ndio wanaoleta ukabila lakini wachaga sio wakabila
Aaah kumbe!
ni kweli kabisa umewasahau Shukuru kawambwa malechela na Lowasa.
Hizo chuki wewe ndo wazijua na hakuna mwingine mwenye nazo!
Wachaga ni balaa hata useme nn! Ni wakabila, mafisadi, wadini, wabinafsi, waroho, wapenda sifa, wezi n.k. Kwahy hapa sio suala la ccm bana, tunaishi nao mtaani tunawajua. Wanavikao vyao vya siri usiku kuhujumu wafanyabiashara wenzao. Huo ndio ukweli haupungiki.
Nakupa pole ndugu kwa kuwa mtumwa wa PESA,unaongelea mafanikio bila kujali yanakujaje???' nakushauri kafanye utafiti ni makampuni ya watu gani yanayoshinda tenda za serikali kila zinspotangazwa?? Ukishapata jibu, fanya utafiti ni kwa nini,,,,,kwa taarifa yako ni kwamba,, WACHAGA WALIOKO SERIKALINI WANAHAKIKISHA WACHAGA WENZAO WALIOKO MTAANI WANAFAIDIKA NA FEDHA ZA SERIKALINI KUPITIA UPENDELEO MAALUM. Ni systematic rasism
Kweli mchagga mtu wa maendeleo lakini hebu fuatilia;
mchaga asiyesoma- mpiga rangi viatu, usiku ni mwizii na jambazi
mchaga wa form 4- yeye dala dala na wizi wa magari( yule wa Arusha upo hapo)
mchaga aliyesoma sana yeye na TRA tu-wizi wa kodi zetu hatusermi, ana nyumba masaki mpaka mbezi
mchaga mwanasiasa-yeye hayuko nyuma anataka tule nyasi huku anachota serikalini
Kweli mchaga kiboko, kwa nini tusimwonee wivu!
ni nani asiyepafahamu dukani kwa Mangi, Bwashee, au Masawe hao ndo watu wenye maduka mengi kila kona, kila mtaa, nenda vyuoni kati ya watu 10 wanne wanatoka Kilimanjaro (mpare+mchaga) unatarajia nini baada ya miaka 5, maofisini