babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,244
Mkuu wangu, sasa kama Kilimanjaro zinakarabatiwa shule 104 kati ya shule 300 na mkoa mwingine zikakarabatiwa 50 kati ya shule 80 kuna ubaya au upendeleo gani hapo? Bahati nzuri sana waziri na makamu wake wote si wa mkoa huo. Anyway, mti wenye matunda mengi ndio unaorushiwa mawe mengi zaidi.....
Mfno Wilaya ya Mwanga pekee ina shule za sekondar zaidi ya 50 ni juhudi tu.