Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,265
- 17,962
Mbaya ..wachaga ambao ni effective hawapo Kilimanjaro.Na hivyo kuifanya serikali kushindwa wabana wachaga...experice yangu inaonyesha..Hata hao wanasiasa wenyewe,wanakata matawi waliyosimamia kwani wengi wameolewa na wachaga(waawake+wanaume).Pamoja na mafanikio ya muda mfupi mwishowe wachaga huwa crucial sana ktk survival yao kiuchumi na kimipango.
Hata watafiti wa kijerumani walipokuja waliona kitu tofauti sana kule..walikuwa utamaduni ambao haukuwa sumbua sana kuwapa concept ya "Mungu Moja" na ethics fulani ambzo zina universala values.Pia social bondaje yao ilikuwa na maana sana.
Wachaga wana utamaduni wa kuthamini Nyumbani na mahusiano yao kudumishwa ktk mikusanyiko ambayo watu wengine huidharau ila ni powerful.ktk kuongea na watu ktk mikoa mingi pamoja na kuwachukia wachaga kuna vitu ambvyo mud amfupi huwafanya waone bado wanawahitaji.Wapo waliosema kinachofanya wawapende ni wengine kutotosa "uzao wao","kupenda jishughulisha na kufanikiwa", hawana masifa, na mengine....wengina wakajaribu halalisha chuki zao kwa maneno km wana ukabila,ni wezi, wanadhulumu, etc....ila nilipowauliza km JK na mafisadi ni wachaga?nikauliza wale jamaa waliogeuza UCC kuwa ya kabila moja ni wachaga?Nikawauliza wapi wachaga wametangaza chuki na makabila mengine hadi kila kabila la Tanzania liwachukie ,huku wakitumia huduma zao, kuoana nao na mengine?Majibu yalikuwa shida wengine ,wakaanza kuuliza wewe ni mchani nini?ndio maana..nikamwambia ndio maana nini?Ndio maana yeye akashidwa jibu?
Wachaga ndio wa Igbo wa Tanzania. Dawa si kuwadidimiza bali kuwaiga. Mchaga hachagui kazi ya kufanya. Kabila wanataka kazi za kisomi na shule hawajaenda. Kila ukitangaza ajira wachaga wanaomba lazima watakuwa wengi. Ndio wengi waliosoma! Wazazi mikoa mingine igeni mfano wa wazazi wa kichaga. Akose vyote lakini mwanae asome. Wengine wanataka usawa. Utoke wapi bila shule?