JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,795
- 9,153
Huyo jamaa alifariki huko kwao DR Congo, 2020.Mao Santiago amefia wapi huyu jamaa?
Huyo jamaa alifariki huko kwao DR Congo, 2020.Mao Santiago amefia wapi huyu jamaa?
R.I.P Mao SantiagoSitishiki Mimi,sibabaiki,nipo flesh na nipo fiti...niliyenae hachukuliki hata ukiwa na mamluki...kitambo,ngoja watu waziweke hapa nani nizipate...R.I.P..Chuchu Yusuph/Gabby Katanga..
Apumzike kwa amani, ni kati ya wasanii nilikuwa naenjoy kuwasikia..Huyo jamaa alifariki huko kwao DR Congo, 2020.