Chromebook Tablet

Chromebook Tablet

CarlesSerra

Senior Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
105
Reaction score
38
Jamani mwenye maujuzi na hii kitu inaitwa Chromebook tablet....kiufupi ni kwamba niliomba rafiki aliyeko ng'ambo anitumie lapto kwa matumizi yangu ya kawaida sasa yeye kanitumia Chromebook na nexus 7 kutumia ndio hivyooooo kama vipi nivipige bei ninunue laptop ya kawaida

Asanteni
 
mimi siyo bigwa kwa masuala ya it na computer kwa ujumla ila kwa kupekua pekua ni kwamba chrome book ni laptop inayotumia os ya google chrome na applications zake ziko based kwenye browser yake yaani hufanyi installation kwenye computer kama tulivyozoea kwenye windows os, hivyo ili uitumie ni lazima uwe kwenye mtandao, kama upo sehemu yenye spidi nzuri kama dar etc unaweza tumia lakini kama uko mikoani itakuwa vigumu.
 
mimi siyo bigwa kwa masuala ya it na computer kwa ujumla ila kwa kupekua pekua ni kwamba chrome book ni laptop inayotumia os ya google chrome na applications zake ziko based kwenye browser yake yaani hufanyi installation kwenye computer kama tulivyozoea kwenye windows os, hivyo ili uitumie ni lazima uwe kwenye mtandao, kama upo sehemu yenye spidi nzuri kama dar etc unaweza tumia lakini kama uko mikoani itakuwa vigumu.

Asante ndugu nimekusoma kiasi nami pia nilikuwa napekua pekua inaonekana nitashindwa kuitumia kwani niko mkoani. JAMANI MWENYE KUIHITAJI ASEME its new SAMSUNG CHROMEBOOK and just imported from USA, mie nahitaji laptop ya kawaida tuuu
 
Asante ndugu nimekusoma kiasi nami pia nilikuwa napekua pekua inaonekana nitashindwa kuitumia kwani niko mkoani. JAMANI MWENYE KUIHITAJI ASEME its new SAMSUNG CHROMEBOOK and just imported from USA, mie nahitaji laptop ya kawaida tuuu

bei gani wauza?
 
Mkuu na huyo aliekutumia ametuma sababu zinauzwa bei rahisi. Chrome book nyingi zinauzwa Dola 199 Kama laki 3 na 20 hv. Still hata Kama utaiuza ni ngumu kupata replacements ya laptop nzuri ya windows.

Sijawahi sikia tablet ya chrome tablet za os ya Google zinatumia android na hio nexus ni android pia kama hutajali ungeeka na picha kabisa au aina full watu wanaweza kukupa ushauri zaidi
 
Chromebook inataka uwe na mtandao muda wote kuweza kuitumia vilivyo, kwani inafanya kazi kwa msingi wa kwamba una connect kwenye internet na most of the storage and processing will be done online.

Hence low processing power and storage capacity.
 
Back
Top Bottom