Huyu Mariba sina uhakika anatokea wapi. Lkn huyu msaidizi wake NJAU atakua mnyasa huyu. Wanyasa wana sifa ya kupenda sana nyama na pombe. Bila pesa hivi vitu Nyama na pombe huvipati. Ndio maana wakunyumba NJAU alijitosa akidhani anajiongesa.
NJAU hakusikia kwamba kuanzia leo hakuna kumpelekea mahabusu chakula. Inamaana hata masingasinga na waturuki watakua wanakula kama wengine
NJAU hakusikia kwamba kuanzia leo hakuna kumpelekea mahabusu chakula. Inamaana hata masingasinga na waturuki watakua wanakula kama wengine