choma julius
Member
- Jan 1, 2017
- 30
- 7
1, 2, 6, 8 na 9. Upo hapo
Basi wewe hata hukuangalia mechi ya mwisho wana cheza na wajapan, kiungo ya madrid hata haikua poa ila mwanaume kapiga 3sasa na wewe mkuu unaeza fananisha cheza ya Vidal/Pirlo na Ronaldo,wakati Ronaldo timu ikibanwa Viungo tu anapotea
Ni Sawa umwambie Ronaldo acheze No 6 inawezekana kweli?
Mkuu utajichosha bure tu,kuna ushabiki wa mpira na kuna ushabiki maandazi,naona unaelewesha mwanafunzi ambae anajiongopea kua anajua kuliko mwalimu.Uki combine hupati ujinga
Vikiwa separate ni ujinga
Ronaldo anajua kujiposition na Magoli ya counter attack ila huwezi kamwe kumfananisha Ronaldo na pirlo au Messi,Ronaldo hana uwezo mkubwa wa kupiga chenga ila ana mbio...Kwa mfano kwenye hiyo picha unafikiria angefit wapi zaid?Basi wewe hata hukuangalia mechi ya mwisho wana cheza na wajapan, kiungo ya madrid hata haikua poa ila mwanaume kapiga 3
Shida wewe huangalii mechi na hilo naliona kabsa kwako
Christiano ana combination ya vyote
Hao wana kimoja kimoja so si vzuri kumdhalilisha na kumfananisha na vitu vya kijinga hivo.
Du kweli hili jukwaa la magreat thinker hili jibu limeniacha hoi.Kwahiyo vitu vyote hivi vya kijinga vikiunganishwa kwa pamoja ndiyo anapatikana Ronaldo??
Changanya 9 na 2