Kwenda kumdhiti mboweSabaya kigezo gani kilitumika
Connection wanazo?! Who knows them?Kuna watu wazuri mno wapo polisi, tiss, pccb wanaachwa!
Hata uraiani pia kuna watu wazur. Si tuu Hukwo Acha vijana wale shavuKuna watu wazuri mno wapo polisi, tiss, pccb wanaachwa!
Taarifa zinaonyesha kwamba hata wale waliowatafutia viongozi waganga kwa ajili ya mazindiko na kuwaagua wamekula shavuMwigizaji Chopa mchopanga kwa jila halisi Jumaa Issa Chikoka amekula shavuView attachment 1823987
Umeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.kKuna watu wazuri mno wapo polisi, tiss, pccb wanaachwa!
unafaham elimu ya nickUmeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.k
CCM ni zaidi ya kansa.
Unazungumzia elimu? Mbona Kabudi Prof. wa jalalani naye ana elimu.unafaham elimu ya nick
. Au umekurupuka
Na bado. Huyu mama atachokwa mapema mno. Tanzania bila kufumua system hakuna kitakachobadilika. Ubaya ni kuwa watu wakisema katiba mpya basi kila mtu anadhani lengo ni tume huru na wapinzani wawe na chance nzuri ya kuingia ikulu jambo ambalo siyo kweli.Umeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.k
CCM ni zaidi ya kansa.
Majaribio ya Mapanga yatafanyikia Usoni ( hasa katika Pua yake hii Kubwa kama Kitumbua cha Buguruni Malapa ) na Mwilini mwake.Mwigizaji Chopa mchopanga kwa jila halisi Jumaa Issa Chikoka amekula shavuView attachment 1823987
Wivu!Umeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.k
CCM ni zaidi ya kansa.