Acheni uchawi nyie wajinga!Na bado. Huyu mama atachokwa mapema mno. Tanzania bila kufumua system hakuna kitakachobadilika. Ubaya ni kuwa watu wakisema katiba mpya basi kila mtu anadhani lengo ni tume huru na wapinzani wawe na chance nzuri ya kuingia ikulu jambo ambalo siyo kweli.
Kusambaza upendo kwa washkaji tuDaah ni haki ya kila mtu kuteuliwa lakini hapa sijui kigezo gani kimetumika
Taarifa zinaonyesha kwamba hata wale waliowatafutia viongozi waganga kwa ajili ya mazindiko na kuwaagua wamekula shavu
Huyu kijana ni msomi mzuri wa Shahada ya Uzamili na ana busara...tuliokaa na kufanya nae kazi tunamwelewa na kufahamu kwanini kaulaDaah ni haki ya kila mtu kuteuliwa lakini hapa sijui kigezo gani kimetumika
Ungemtaja moja kwa moja Babu TaleTaarifa zinaonyesha kwamba hata wale waliowatafutia viongozi waganga kwa ajili ya mazindiko na kuwaagua wamekula shavu
Achokwe na nani? Kukosa ww haina maana wote watamchoka na hata wakimchoka ilimradi system wanamfaidi hakuna shida wewe mwananchi endelea kuuza vochaNa bado. Huyu mama atachokwa mapema mno. Tanzania bila kufumua system hakuna kitakachobadilika. Ubaya ni kuwa watu wakisema katiba mpya basi kila mtu anadhani lengo ni tume huru na wapinzani wawe na chance nzuri ya kuingia ikulu jambo ambalo siyo kweli.
Mna infatuation ya ajabu na katiba mpya..Kenya katiba mpya iliwapa watu kama kina Sonko (reputation yake questionable) ukuu wa mikoa/wilaya (ugavana). Sasa huku Tz katiba mpya italeta maajabu gani?Na bado. Huyu mama atachokwa mapema mno. Tanzania bila kufumua system hakuna kitakachobadilika. Ubaya ni kuwa watu wakisema katiba mpya basi kila mtu anadhani lengo ni tume huru na wapinzani wawe na chance nzuri ya kuingia ikulu jambo ambalo siyo kweli.
Jamaa una wivu na kijiba cha roho kukosa uteuzu 😆😆😆😆 ,next time usifikirie wewe ni bora kuliko unaowaona sio boraMajaribio ya Mapanga yatafanyikia Usoni ( hasa katika Pua yake hii Kubwa kama Kitumbua Kilichoiva ) na Mwilini mwake.
Nampa pole kwani kapelekwa sehemu ngumu Kwake ambayo nilidhani huko angepelekwa 'Mjeda' tu. Kama nawaona vile Wakurya.
Unaishi kwenye maisha ya mateso sana juu ya nafsi yako,kila kinachofanyika hua kinakuchoma kama Pasi.Taarifa zinaonyesha kwamba hata wale waliowatafutia viongozi waganga kwa ajili ya mazindiko na kuwaagua wamekula shavu
hicho hicho kilichotumika kwa makondaDaah ni haki ya kila mtu kuteuliwa lakini hapa sijui kigezo gani kimetumika
Acha uchonganishi tumia akili na elimu fanya jambo lolote ambalo utakuwa umesaidia jamii kutokana na elimu yako au ujuzi wako pia uwe mzalendo kwa nchi yako watu watakuona tu lakini hayo majungu hayatakusaidia, kwa kifupi vijana tunamshukuru Mh.Raisi kwa kutuamini kuwa tunaweza na ninachowaomba vijana wenzetu mlioteuliwe mkawe alama tosha ya kusema vijana wanaweza kutatua shida za wananchi na kulifikisha taifa kwenye uchumi imara zaidi.Mna infatuation ya ajabu na katiba mpya..Kenya katiba mpya iliwapa watu kama kina Sonko (reputation yake questionable) ukuu wa mikoa/wilaya (ugavana). Sasa huku Tz katiba mpya italeta maajabu gani?
Tarime wamepeleka mwanajeshi,katika eneo ambalo huwa hawakosei ni huko.Huyo jamaa kapeleka rorya,Rorya wengi ni wajaluo na wasimbiti sio wakorofi sana kama Wakurya.Majaribio ya Mapanga yatafanyikia Usoni ( hasa katika Pua yake hii Kubwa kama Kitumbua Kilichoiva ) na Mwilini mwake.
Nampa pole kwani kapelekwa sehemu ngumu Kwake ambayo nilidhani huko angepelekwa 'Mjeda' tu. Kama nawaona vile Wakurya.
Tayari wako kwenye vitengo unataka wateuliwe tena na huku?Kuna watu wazuri mno wapo polisi, tiss, pccb wanaachwa!
Mkuu upo sahihi kabisa wajaluo hawana shida wao wanataka maendeleo tu ila Tarime panahitaji watu kutoka wajeshini na pia Serengeti kwa Mashinji nae ni mtata mzuri na msomi pia ana busara Mh. Raisi kapatia sana Serengeti.Tarime wamepeleka mwanajeshi,katika eneo ambalo huwa hawakosei ni huko.Huyo jamaa kapeleka rorya,Rorya wengi ni wajaluo na wasimbiti sio wakorofi sana kama Wakurya.
Hakuna Rais hapoTayari wako kwenye vitengo unataka wateuliwe tena na huku?