Mchopanga avunja rekodi ya ukusanyaji mapato Rorya

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,550
1659707738328.png

Wakati Serikali ikianza kushusha moto kwa halmashauri 85 zilizokusanya mapato chini ya malengo, huko Rorya wenyewe ni kama wameukwepa mtego huo, baada ya kukusanya mapato kwa asilimia 100.

Katika makusanyo ya mwaka wa fedha 2021/22, halmashauri ya Rorya imeivunja rekodi yake ya miaka 14 tangu mwaka wa fedha 2007/08, ambapo haikuwahi kufikia lengo la makusanyo.

Kuzibwa kwa mianya ya upotevu wa mapato na kusimamia ulipaji wa madeni kwa wafanyabiashara, ni miongoni mwa sababu zilizotajwa kufikiwa kwa hatua hiyo. Pia, mikakati ya Mkuu wa wilaya hiyo, Juma Chikoka maarufu Mchopanga, kuanzisha vyanzo vipya vya mapato vimechangia pakubwa.

Mwananchi limemtafuta Mchopanga kuzungumzia hatua hiyo ya kuvunja rekodi ya miaka 14 kwenye ukusanyaji mapato, ambapo amesema uwepo wa mapato ni jambo moja, lakini kuyakusanya ni jambo lingine.
 
JIWE lilikuja na ujinga wa waunga juhudi akafunga KAZI na kina HALIMA MDEE and others
SASUHA kaja na misukule ya MADED kila mded utamsikia haijawahi tokea Toka uhuru
Watumishi awamu hii ukiwasikiliza majukwaani utadhani umekutana mtu aliyetaka kujinyonga halafu kamba ikakatika
 
Mtajipapasa mpk mchunike shenzi type, m/wilaya na makusanyo mbingu na ardhi
 

Wakati Serikali ikianza kushusha moto kwa halmashauri 85 zilizokusanya mapato chini ya malengo, huko Rorya wenyewe ni kama wameukwepa mtego huo, baada ya kukusanya mapato kwa asilimia 100.

Katika makusanyo ya mwaka wa fedha 2021/22, halmashauri ya Rorya imeivunja rekodi yake ya miaka 14 tangu mwaka wa fedha 2007/08, ambapo haikuwahi kufikia lengo la makusanyo.

Kuzibwa kwa mianya ya upotevu wa mapato na kusimamia ulipaji wa madeni kwa wafanyabiashara, ni miongoni mwa sababu zilizotajwa kufikiwa kwa hatua hiyo. Pia, mikakati ya Mkuu wa wilaya hiyo, Juma Chikoka maarufu Mchopanga, kuanzisha vyanzo vipya vya mapato vimechangia pakubwa.

Mwananchi limemtafuta Mchopanga kuzungumzia hatua hiyo ya kuvunja rekodi ya miaka 14 kwenye ukusanyaji mapato, ambapo amesema uwepo wa mapato ni jambo moja, lakini kuyakusanya ni jambo lingine.
Wasiishie kuvunja bali wasimamie utekelezaji wa miradi pia
 
Back
Top Bottom