Punguza kula vyakula mchanganyiko mchanganyiko. Utanishukuru baadae. Ila harufu normally inazuiwa na maji yanayobaki chooni. Unless kama hiyo p-shape haiko vizuri, ila harufu ya kwenye bomba haipaswi kuja ndani ila unaposhusha mabomu makali hilo halikwepeki