cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Wakuu nashukuruni sana angalau leo nimepata gogo japo sio jingi ila sio gumu shida ni kuwa zile adhari za jana mpaka leo nazipata maana damu imetoka kutokana na kidonda cha jana ila nashukuru nakunywa maji sana kila niwezapo nimenunua chupa la uhai 1.6 nimepanga nilimalize pia kwenye mlo nitazingatia sana kubalance ngoja trh 30 ifike



nacheka km mazuri vilee.