ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Sina hakika na aina ya Mktaba ulioingiwa katika ujenzi wa jengo la Mlimani city Mall sijui ni Design Bulid and Operate (DBO), Turnkey au lah. Lakini kwa ujumla hadhi na hali ya Jengo zima la Mlimani City haliwezi kufika miaka 50 ambayo inadaiwa kuwa ndio ya mkabata wa "ku-manage" ile Mall kati ya Chuo Kikuu na wabia katika Uwekezaji.
Miongoni mwa maeneo ambayo yanatia kichefuchefu ni sehemu ya haja, hii picha ni maliwato ya kiume (Gentles Toilet). Huko kuna harufu nzito na kali balaa anayo imechanganyika na joto kali sana kutoka nyuma ambako kuna jiko la mmiliki wa Samakisamaki (Fish Fish). Kwa ujumla kama ilivyio tabia za watanzania za kutiojali, ila kwa pale tumeliwa tena! Inaonekana sehemu nyingi zimejengwa kwa materials cheap na hazidumu kabisa. Choo hiki kichafu kulikovya baa za uswahilini!!.
Miongoni mwa maeneo ambayo yanatia kichefuchefu ni sehemu ya haja, hii picha ni maliwato ya kiume (Gentles Toilet). Huko kuna harufu nzito na kali balaa anayo imechanganyika na joto kali sana kutoka nyuma ambako kuna jiko la mmiliki wa Samakisamaki (Fish Fish). Kwa ujumla kama ilivyio tabia za watanzania za kutiojali, ila kwa pale tumeliwa tena! Inaonekana sehemu nyingi zimejengwa kwa materials cheap na hazidumu kabisa. Choo hiki kichafu kulikovya baa za uswahilini!!.