Choo cha kukaa ni uchafu tu, sasa unajisafisha kwa namna gani?

Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.

Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.

View attachment 2935816

View attachment 2935817


Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
We rudi tu huko kijijini kwenu hayo waachie watu wa mjini
 
Ukiwa na choo cha kukaa lazima uwe na shattaf ya kutawazia
View attachment 2935822

Au wao wameweka bila hiyo shattaf

Ukiwa na hiko kifaa choo cha kukaa ni salama zaidi kuliko wanaoshika mavi wakati wa kutawaza

Ila choo hiki kinafaa kwa matumizi binafsi au wanandoa tu
Aloo kuna siku nikatumia iki choo ilikuwa i lazima maana hakukuwa na mbadala sasa iko kidude nikakitumia sikujuwa presha yake nikajupinda nijitawaze aloo neminya tu nusu nichane marinda ile presha yake ni kali mtu akikunyooshea anaweza toboa ngozi dk tangia apo sikukitumia tena
 
Vyoo vya kukaa viligunduliwa hasa kwa ajili ya wazee na wagonjwa. Bahati mbaya vikapendwa na watu na matumizi yake yakaenea katika nchi za Kimagharibi hata kwa watu ambao hawakuwa kusudio lake la tangu awali.

Kuna tafiti za muda mrefu zimeonyesha uhusiano wa matumizi ya vyoo hivi na mfumuko wa kansa ya utumbo na ile ya nyuma. Wanasema kwamba mwili wa binadamu uliumbwa kutoa uchafu mtu akiwa amechuchumaa na siyo akiwa amekaa. Kwenye vyoo hivi vya kukaa uchafu hautoki wote na hicho kinachobakia kinaharibu mazingira na mwingiliano wa bakteria wanaofanya kazi tumboni. Na hii inasababisha matatizo mengi yakiwemo kansa, unene na shida nyingine kibao.

Vyoo vya kukaa pia havifai kwa matumizi ya umma na hata vinapotumiwa nyumbani basi visafishwe vizuri na kuwa sanitized angalau mara moja kwa wiki.

Havifai!
 
Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.

Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.

View attachment 2935816

View attachment 2935817


Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Kama ni binadamu unakula chakula na ukiwa na faya njema huwezi kushinda siku 3 bila kunyandua mzigo...any way...

Ila hivyo vyoo vinakuchamba vyenyewe tu ukipresa yanakuja maji ya presha na kuondoka na mzigo wote uliogandia kwny vinyweleo
 
Mhhh! Miaka hiyo ya 90 nikiwa na wazazi wangu wapo hai huko Kilosa Morogoro kulikuwa na choo cha familia cha hivi, binafsi nilikuwa napanda juu yake na kuchuchumaa.
Ukweli vinaleta kinyaa kukaa.
Nilisikia vinavunjia na vinakukuta mapaja na makalio, usifanye tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom