Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Last edited by a moderator:
Analalamika kwa nani? Analalamikia wapi? Amelalamika lini? na je yeye ndo amekutuma uje hapa kumsemea au unamhurumia kwa hiyo wasema kwa niaba yake?. Je wanaohusika na hili ulilolileta hapa ndilo lalamiko la msingi? bado ni matege ya fikra. Nimeshindwa kuchangia.......... labda bavicha wengine waseme. Ila najua CDM wanasema ukweli ili Taifa la Tanzania linufaike
Ni hali ya kusikitisha sana Chama kama taasisi kuwa na watu au mtu anayenung'ung'ika kila siku pasipo hata kujua sababu ya msingi, hebu naomba washauri na viongozi wa chama wapate nafasi waketi naye chini ili kujua tatizo lake huenda kisaikolojia hayupo sawa kutokana na sababu anazozijua yy binasfi kwani ni mara nyingi kijana huyu aliyeenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA alipogombea uenyekiti, sasa ameonekana akitoa post za kihuruma huruma FCBK na kulalama eti anapigwa siasa za majungu hadi kupelekea watu wengi kukishtumu chama kuwa huenda ndio kinamuhujumu mpaka na wengine kuvuka mipaka na kumtaka ahame chama.
My outlook:
Jamani wakuu hebu tusaidiane kwa mawazo juu ya kamanda wetu huyo.
yes mkuu! Tumsaidieni kwa ushauri huyu kamanda tusije tukampoteza bure.
Kamanda,Benn unahitajika hapa kuna tuhuma nzito juu yako!
Analalamika kwa nani? Analalamikia wapi? Amelalamika lini? na je yeye ndo amekutuma uje hapa kumsemea au unamhurumia kwa hiyo wasema kwa niaba yake?. Je wanaohusika na hili ulilolileta hapa ndilo lalamiko la msingi? bado ni matege ya fikra. Nimeshindwa kuchangia.......... labda bavicha wengine waseme. Ila najua CDM wanasema ukweli ili Taifa la Tanzania linufaike