AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Ni hali ya kusikitisha sana Chama kama taasisi kuwa na watu au mtu anayenung'ung'ika kila siku pasipo hata kujua sababu ya msingi, hebu naomba washauri na viongozi wa chama wapate nafasi waketi naye chini ili kujua tatizo lake huenda kisaikolojia hayupo sawa kutokana na sababu anazozijua yy binasfi kwani ni mara nyingi kijana huyu aliyeenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA alipogombea uenyekiti, sasa ameonekana akitoa post za kihuruma huruma FCBK na kulalama eti anapigwa siasa za majungu hadi kupelekea watu wengi kukishtumu chama kuwa huenda ndio kinamuhujumu mpaka na wengine kuvuka mipaka na kumtaka ahame chama.
My outlook:
Jamani wakuu hebu tusaidiane kwa mawazo juu ya kamanda wetu huyo.
My outlook:
Jamani wakuu hebu tusaidiane kwa mawazo juu ya kamanda wetu huyo.