Chomoa haraka!

Chomoa haraka!

ZENITH

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
1,057
Reaction score
973
Dogo mmoja alienda kujumua miwa kijiji cha mbali kidogo.Alichelewa kurudi nyumbani ivo ikabidi akalale kwa shangazi yake kijiji jirani.
Shangazi yake na mumewe walikuwa wanaishi chumba single tu ivo Dogo ilimbidi kulala chini. Mara usiku shangazi na mumewe wakaanza mambo.Mara aunt assss! assss! tamu jamaniii!
Kumbe Dogo kawasikia,si ndo akaropoka kwa kulalamika...oya aunt acheni kula miwa yangu jamani.
Aunt akamwambia mumewe...chomoa haraka mumewe wangu,hajalala bado.
Dogo akazidi kulalama...ayaaa!mnachomoa mwingine tena,jamani miwa ya biashara hiyo!
 
Samahani kidogo hii, kujumua ni kinyakyusa, kisafa au lugha gani?
 
kujumua nimeisikia mbeya hii
Kumbeee, unajua mimi nimezaliwa na kukulia mbeya japo asili yangu ni kanda ya ziwa, nimekua nikisikia tu kujumua na nikaitumia ivo ivo but sikujua kama hili neno halitumiki sehemu zingine.
Hivi unajua mkoani mbeya mundu inaitwa nyengo,gumboots zinaitwa majombo!?
 
Kumbeee, unajua mimi nimezaliwa na kukulia mbeya japo asili yangu ni kanda ya ziwa, nimekua nikisikia tu kujumua na nikaitumia ivo ivo but sikujua kama hili neno halitumiki sehemu zingine.
Hivi unajua mkoani mbeya mundu inaitwa nyengo,gumboots zinaitwa majombo!?

Hahahahaah nyengo lugha ya kote kote hata Iringa, ila hilo la majombo ndio nasikia leo duh
 
Naam,hiyo kali....safi sana ! Hii inapendeza kama kuna utulivu,mkijua kuna mtu anawachabo stimu zote zinaisha !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom