Chombezo: Kivuruge Wa Tandale

Chombezo: Kivuruge Wa Tandale

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,639
SAA saba na dakika zake mchana, tumbo la Ashrafu lilikuwa likiunguruma kwa kusakamwa na njaa kali, aliamua kutoka ofisini kwao ndani ya Jengo la Al- Haramain, Mtaa wa Shaurimoyo jijini Dar na kuamua kushuka kwa kuzikanyaga ngazi moja baada ya nyingine.





Kazi yake ya ufundi wa kompyuta na vifaa vya kielektroniki ilimfanya kuwa kijana maarufu sana na hii ilitokana na uwezo mkubwa aliokuwa nao kwenye kazi yake kiasi cha makampuni mengi kugombea kumwajiri lakini mwenyewe akawa hataki. Kwake aliona ni bora ajiajiri lakini kama kuna kampuni inahitaji huduma yake, inamfuata na wanafikia makubaliano kisha kazi inafanyika.





Baada ya kushuka ngazi kwa tabu hatimaye alijisogeza taratibu hadi mgahawani ambapo palijulikana kwa jina maarufu la Kwa Makofia. Hapo alikutana na umati mkubwa hivyo kushindwa kabisa kuagiza chakula alichokuwa akihitaji hivyo aliamua kuhamia kwenye mgahawa wa jirani yake, kabla hajachukua uamuzi wa kuondoka Kwa Makofia, macho yake yalikutana na kitu kilichomfanya ashtuke kidogo.





Mrembo matata mwenye mvuto wa kipekee, mweupe aliyepanda juu, mwenye macho kama anasikia usingizi, alikuwa amekaa kama anayesubiria huduma! “Dah, huyu ni mtu wa kawaida au ni malaika ameshuka kupunga upepo duniani?” Ashrafu alijikuta akiropoka ingawa ni kwa sauti ndogo na ya chini kabisa na hakuna aliyemsikia hata kwa herufi moja. “Nafanyaje jamani kuhusu huyu msichana mzuri hivi?





Naanzaje kumuacha tena amekaa mwenyewe katika mazingira kama haya? Sasa sijui yuko na mwenzake na ametoka kidogo tu au yuko mwenyewe na mbona leo nimekosa kabisa ujasiri ambao nimekuwa nao kwa siku zote?” Ashrafu alijiwazia moyoni huku akiondoka eneo hilo na kujisogeza kwenye mgahawa wa jirani na hapo. Alifika na kuagiza chakula ambapo alichagua moja ya viti vilivyokuwemo ndani na kukaa huku mawazo yake yakibaki kwa msichana aliyekutana naye pale Kwa Makofia.





Katika hali ya kushangaza, wakati anawaza juu ya mwanamke huyo, alishangaa kumuona msichana yule akiingia mgahawani hapo na kukaa kwenye moja ya viti na kisha kuagiza chakula.





Ni hapo ndipo Ashrafu alishindwa kuvumilia na kuamua kutumia ujasiri wake wa asili ambao humuwezesha kumvaa mtu yeyote kwa wakati wowote na kumwambia chochote kwa mazingira yoyote. “Dada, samahani kidogo,” Ashrafu aliita kwa nidhamu zote na kuonesha heshima ambayo hata yeye mwenyewe aliishangaa imetoka wapi. “Mimi…?” Msichana wa watu aliitika kwa mshangao na macho ya kuuliza kama ni yeye aliyekuwa akiitwa. “Yeah…” Ashrafu aliitikia na kumpa ishara ya mkono msichana yule ambaye alionesha kusita… akatingisha bega lake kuonesha kukataa wito wake. “Samahani nakuomba au ni vibaya kukuita? Kataa neno usikatae wito,” Ashrafu alichombeza.
“Samahani kaka! Samahani lakini, mimi kwa watu ambao siwafahamu siwezi hata kuwasogelea…” alisema yule msichana na kuagiza chakula. Ashrafu alishusha pumzi chini…lile tumbo lake lililokuwa likiunguruma safari hii aliona limezidi mara mbili yake. “Hata mimi nikuombe samahani! Naomba nikae hapo karibu na wewe!” Ashrafu alirusha karata nyingine tena huku akimtolea jicho la aibu. Yule msichana alikubaliana na Ashrafu, ilikuwa furaha kubwa kwake kama siyo ushindi kutokana na mazungumzo ambayo alipanga kuyaendesha kwa muda ambao watakuwa wanasubiri chakula, aliamini kabisa hadi zoezi la kula linamalizika, atakuwa ameshaibuka kidedea. “Siwezi kumkosa huyu mtoto, kwanza anaonekana laini na mwepesi kama maharage ya Mbeya,” Ashrafu aliwaza huku akimtazama usoni msichana yule. “Samahani tena kwa usumbufu…” “Bila samahani kaka…” “Naitwa Ashrafu kwa kirefu, sijui wewe mrembo unaitwa nani?” “Kwa nini unaniita mrembo jamani?” Aliuliza yule msichana huku akijiangalia kiunoni hadi miguuni. “Si kama hivi ulivyo mzuri na mrembo au huoni?” “Aaah, kawaida bwana na huwa sipendi kabisa mtu akiniita mrembo…” “Okey, samahani kwa hilo.”
“Wala usijali. “Unaitwa nani?” “Naitwa Nancy, ni mwenyeji wa Morogoro eneo la Kilombero.” Ashrafu aliendelea kumtolea macho na masikio akiwa haamini kama maneno yale yanatoka kwa yule msichana. “Mi mwenyewe mkazi wa Morogoro!” “Weee! Sehemu gani?” Nancy alishangaa, alionekana kubadilika sura na kuwa ya tabasamu mara baada ya kuambiwa kuwa wanatoka mkoa mmoja kumbe ulikuwa uongo wa Ashrafu ili kumnasa. “Mi natokea Morogoro mjini kabisa eneo moja hivi linaitwa Kihonda, unapajua?”





“Ndiyo, sasa mara nyingi huwa nafikia kwa Shangazi sehemu moja inaitwa Mji Mpya nakaa siku mbili tatu ndiyo naelekea Kilombero.” Wakati wanaendelea na mazungumzo ya kufahamiana, mhudumu alileta vyakula kulingana na maagizo ya kila mmoja wao, ambapo kwa pamoja waliamua kutumia meza moja kula. “Hujaniambia lakini kuhusu kazi yako,” Nancy alianza kuchokoza. “Ah, mi mzugaji tu mjini hapa, nabangaiza ilimradi siku ziende. Nakaa mtaa wa tatu kutoka hapa,” Ashrafu alidanganya kwa mara nyingine hali iliyomfanya Nancy ashtuke. “Mh! Hongera, kama kweli unafanya kazi hizo na unaonekana mtanashati hivyo!”





“Asante sana na wewe je?” “Mimi nafanya kazi katika kampuni ya kuuza vifaa vya solar kutoka China, pale karibu na ‘round about’ alimuelekeza Ashrafu kwa kumnyooshea mkono. “Naishi Mikocheni, niko mwenyewe na maisha yanasonga kwa kweli,” alisema Nancy huku akimtazama Ashrafu kwa macho yaliyojaa aibu za kikekike. Kwa ilivyoonesha, Nancy alikuwa mzungumzaji sana maana ndani ya muda mfupi tu, alishayatawala mazungumzo na mbinu kali alizozitumia Ashrafu, zilimfanya ajikute akimzoea haraka utafikiri wamefahamiana miaka kadhaa iliyopita. Walimaliza kula. Nancy akamwambia alikuwa na safari ya kuelekea Posta kufuatilia hundi ya malipo kwenye kampuni moja waliyofanya nayo biashara.





“Okey, basi nakuomba tubadilishane mawasiliano ili tuendelee kuwa karibu zaidi,” Ashrafu alitupa ndoano kimtego kwa Nancy. “Namba za simu tena? Hapana huwa sitoi namba za simu, utanisamehe kwa hilo,” Nancy alisema huku akiinuka, akachukua mkoba wake mdogo na kuanza kutembea kimadaha, akaenda mpaka kaunta na kulipa bili yake, akamgeukia Ashrafu ambaye bado alikuwa amekaa palepale akiendelea kuusifu uumbaji wa Maulana kwa kiumbe yule. Alimpungia mkono kichokozi huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake, akatoka zake na kumuacha Ashrafu akiwa bado ameganda palepale kama barafu.





“Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu,” alijisemea huku tabasamu hafifu likichanua kwenye uso wake, akashusha pumzi ndefu na kuinuka kuelekea kaunta kulipa. Je, nini kitafuata? Usikose kufuatilia kwenye Gazeti la Risasi Mchanganyiko siku ya Jumatano. KUTOKA KWA MWANDISHI: Nimeamua kusitisha simulizi ya Bosi wa Kibamia iliyoanza Jumatano iliyopita kweye Gazeti la Risasi Mchanganyiko, hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Poleni kwa usumbufu wasomaji wangu na sasa tuungane kwenye simulizi hii mpya itakayokuacha na funzo kubwa la maisha.
 
SEHEMU YA 02


ILIPOISHIA:
Alimpungia mkono kichokozi huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake, akatoka zake na kumuacha Ashrafu akiwa bado ameganda palepale kama barafu.
“Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu,” alijisemea huku tabasamu hafifu likichanua kwenye uso wake, akashusha pumzi ndefu na kuinuka kuelekea kaunta kulipa.
SASA ENDELEA...

“USHALIPIWA na yule dada uliyekuwa umekaa nae,” alisema yule mhudumu aliyekuwa mapokezi.
“ooh! Ahsante,” alisema Ashrafu huku akijisikia aibu kupindukia. Kwa lugha nyepesi, alichokifanya mrembo yule ilikuwa sawa na matusi makubwa kwake, yaani akatae kumpa namba yake ya siku kisha akamlipie bili?
“Samahani, kwani wewe ni mwenyeji hapa,” Ashrafu alimuuliza yule mhudumu ambaye alikuwa bize kupokea fedha na kurudisha chenji kwa wateja wake.
“Kaka samahani, niko bize sana, naomba uniache nihudumie wateja.”
“Kwani ugomvi dada’angu? Nilitaka kukuuliza swali dogo tu.”

“Unasemaje?”
“Kuna kipindi nilikuwa mteja wenu mkubwa hapa lakini sijawahi kukuona, ndo maana nikakuuliza wewe hapa ni mgeni?”
“Kwa hiyo wewe kazi yako ukija hapa ni kuchunguza kama kuna wafanyakazi wageni na siyo kuja kula kama wateja wengine?”
“Eeh! Dada basi yaishe, hata hivyo hilo halikuwa swali langu, ishu ya msingi nilitaka kujua huyu dada unayesema amenilipia, ni mteja wenu wa kila siku?”
“Nyoo! Nilijua tu ndicho kilichokuleta hapa, mwanaume una tabia mbaya wewe sijapata kuona. Hivi unafikiri hicho unachokifanya ni ujanja?” alisema yule dada kwa sauti ya juu, nikaona nikiendelea kujibizana naye anaweza kunidhalilisha maana watu walishaanza kututupia macho, wakitaka kujua nini kinaendelea. Niliondoka nikiwa nimetahayari, uso wangu nikauinamisha chini huku nikijiapiza kwamba sitarudi tena kula kwenye kantini hiyo.
Kwa ilivyoonesha, hiyo ilikuwa siku mbaya sana kwangu kwani matukio mawili ya udhalilishaji mkubwa yalikuwa yamenitokea, tena mfululizo, kibaya zaidi kutoka kwa wanawake wawili warembo sana.
Hakuna kitu ambacho kilikuwa kinanikasirisha kama mwanamke mrembo kunidharau, hakukuwa na sababu yoyote ya mimi kudharaulika, hasa ukizingatia kwamba nilikuwa na historia nzuri ya kumfanya mwanamke yeyote mrembo anipende, na si kunipenda tu bali aoze kabisa kwangu na siku zote sikuwa nikifanya ajizi linapokuja suala la malavidavi na watoto wazuri.
“Julieth mtoto wa masaki ananiheshimu, tena mtoto kwao mambo safi kwelikweli, inakuwaje ‘cashier’ wa kwenye kantini ya kishamba kama hii anidharau? Inakuwaje mdada anayefanya kazi kwenye kampuni ya kuuza vifaa vya solar anidharau mpaka eti anilipie msosi wa buku mbili jero?” nilijisemea huku nikitembea kinyonge kurudi ofisini.
Nilipanda ngazi kinyonge huku nikiendelea kujiuliza kauli nzito zilizotolewa na yule dada mhudumu pale kantini. Kiukweli sikuwa namjua lakini yeye ilionesha wazi kwamba ananijua, na pia anajua mambo mengi kuhusu mimi.
Nilijiuliza, hata kama ananijua kwani kosa langu mimi ni nini? Kwa nini awe mkali kwangu kiasi kile wakati niliyekuwa namuulizia ni mteja tu kama mimi? Uamuzi nilioufikia, ilikuwa ni kumtafuta baada ya muda wa kazi tuzungumze, anieleze kisa mkasa ni nini? Sikuzoea kuishi na vinyongo.
Nilipanda ngazi mpaka ghorofa ya tatu, ilipokuwa sehemu yangu ya kufanyia kazi. Ile naingia tu, dada wa mapokezi alinifuata.
“Ulikuwa wapi, bosi alikuwa anakutafuta halafu nakupigia simu hupatikani, lakini unakuwaje wewe?”
“Aah, sasa dada Salma kwani ugomvi? Mbona umekasirika namna hiyo?”
“Ndiyo! We unaona unachokifanya ni kizuri? Mimi nafokewa kwa ajili yako? Na kwa nini hupatikani hewani wakati simu yako hujaizima?” alisema Salma ambaye kihaiba ni mzuri sana lakini tatizo lake moja kubwa, ni kisirani sana. Yaani muwa wote ukimkuta ana ‘stress’ za kutosha, uso umekunja ndita mpaka ule urembo wake asili hauonekani. Tabia yake hiyo ilikuwa ikisababisha akorofishane sana na bosi wetu, Isabella Kishimba au Madam Bella kama wenyewe tulivyozoea kumuita.
Nikiwa najiuliza nijitetee nini, aliichukua simu yangu kwa nguvu kutoka mikononi mwangu, kwa kuwa nilikuwa nimetoka kuifungua password muda huohuo, alifanikiwa kuingia sehemu ya kupigia simu, nikawa namtazama nikiwa sijui cha kufanya.
Akabonyeza namba fulani kisha nikaona anaiweka simu sikioni, nikahisi labda anampigia simu bosi kumwambia kwamba amesharudi. Sasa kwa nini afanye hivyo? Kwa nini asipige kupitia simu ya mezani? Nilijiuliza maswali yaliyokosa majibu.
Ilita kidogo halafu akaikata, akanitazama huku akiwa bado amekunja sura yake nzuri ya mviringo.
“Nenda kwa bosi, alisema ukija tu ukamuone,” alisema, akaiweka ile simu yangu kwenye meza yangu kisha akageuka na kuanza kutembea harakaharaka, viatu virefu alivyokuwa amevaa, sketi fupi ya kike iliyoishia juu kidogo ya magoti na blauzi nyeupe aliyokuwa ameivaa, vilimfanya azidi kuwa mrembo, hasa ukimtazama kutokea nyuma.
Alitembea harakaharaka huku akitingishika mwili mzima, nikajikuta nimeganda namtazama, alipofika hatua kadhaa aligeuka na katika hali ambayo sikuitegemea, alinibamba nikiwa namuangalia, nikakwepesha macho yangu haraka na kuzuga na kikohozi cha uongo, akaachia msonyo na kuingia ofisini kwake.
“Hivi hii siku ya leo nimeamkaje jamani? Kila mtu ananichukia na kunifanyia vituko, sijui huyo bosi naye ataenda kunifokea kama kawaida yake maana daah! Mabosi wa kike wanakuwa wanoko sana,” nilijisemea huku nikisimama, kabla sijaanza safari ya kuelekea ofisini kwa bosi, ghorofa ya tatu, nilipata wazo la kuitazama vizuri simu yangu.
Nilitaka kujua Salma alimpigia simu nani na kwa nini alitumia simu yangu? Nilipofungua simu, nilikutana na namba ngeni, nikaitazama kwa makini lakini sikuweza kuikumbuka.
Miongoni mwa kasoro nilizonazo, huwa siwezi kabisa kukariri namba ya mtu ya simu kichwani. Hata hiyo namba yangu yenyewe ilikuwa mtu akiniuliza, lazima nianze kwanza kupekua simu mpaka mahali nilipoisevu ndiyo naitaja.
Ili isinichanganye hata huyo aliyempigia atakaponipigia tena, niliamua kuisevu Salma Kisirani. Basi nikapanda mpaka ofisini kwa bosi huku nikijishtukia mwenyewe, moyoni nikawa naandaa majibu ‘nilienda kula mara moja bosi, si unajua huu ni muda wa lunch?’
Niliingia ofisini kwenye ofisi yake ya kisasa na tofauti na siku zote ambapo huwa anakaa kwenyekiti chake cha kuzunguka, leo hii alikuwa amekaa kwenye masofa ya wageni, tena amekaa amejiachia kwelikweli maana viatu alikuwa amevivua na kupandisha miguu juu.
“Shikamoo Madam!”
“Mh! Yaani wewe kila ukiniona shikamoo shikamoo, unajua maana ya shikamoo wewe?” alisema huku akitabasamu, tofauti kabisa na anavyokuaga siku zote, basi nikawa najiumauma, akanionesha kwa ishara kwamba nisogee na kukaa kwenye sofa lililokuwa jirani na pale alipokaa.
“Nimeambiwa unaniita bosi.”
“Ndiyo, nimekuita maana najihisi upweke sana, nataka mtu wa kunipigisha stori walau nicheke,” alisema Madam Bella huku akiinuka na kukaa vizuri pale kwenye sofa lake.
Katika hali ambayo sikuitegemea, kwa kuwa alikuwa amevaa sketi fupi na upande aliokuwa akigeukia ndipo nilipokuwa nimekaa mimi, nilijikuta nimeiona kufuli nyeupe aliyokuwa ameivaa, japokuwa kiumri Madam Bella alikuwa ameniacha kama miaka kumi hivi, kitendo kile kilinifanya nisisimke mno, nikameza mate kama fisi aliyeona mfupa, kumbe mwenyewe alikuwa akinitazama usoni aone ‘nita-react’ vipi, aliponiona ninavyomeza mate akacheeeka!
“Nasikia sifa zako jinsi unavyowachangamkia mabinti huko kwenu Tandale, nasikia wanakuita Kivuruge jinsi unavyowavuruga, kama kweli we kidume mbona mimi hujawahi kunitongoza hata mara moja?” bosi alizungumza kauli ambayo sikuwahi kutegemea inaweza kutoka kwenye kinywa chake hata mara moja.
“Unataka nikutongoze ukinifukuza kazi je?” nilijitutumua kiume, akazidi kucheka mpaka akanipa mkono tugonge. Nilishangaa sana maana haikuwa kawaida yake, nikawa najiuliza amepatwa na nini?
“Siwezi bwana, nikufukuze kazi kwani nani amekwambia kutongozana kunahusiana na kazi? By the way hata mimi ni mwanamke, nina hisia kama wanawake wengine, siyo kwa sababu ya ubosi basi uniogope kiasi hicho,” alisema huku akiinuka, akanipiga kakofi begani kisha nikamuona akielekea maliwatoni, nikakaa vizuri pale kwenyekiti maana ‘Ashrafu’ wangu naye alishaanza kuonesha tabia mbaya mbele ya bosi, kama nyau aliyeona samaki.
Hakukaa sana, akarudi na moja kwa moja alienda kufunga mlango kwa ndani, tena kwa funguo kabisa, akainua mkonga wa simu na kupiga upande wa pili, nadhani alipiga mapokezi, akazungumza kwa sauti ya chini ‘natoka kidogo’ akija mgeni yeyote mwambie anisubiri hapo mapokezi’ kisha akaja mpaka pale kwenye kochi nilipokuwa nimekaa huku mkononi akiwa ameshika kitu.
Mara alinirushia kitu hicho, nikashtuka baada ya kugundua kuwa lilikuwa ni lile kufuli lake jeupe, likiwa na harufu f’lan hivi ‘amaizing’ kuoneshakwamba lilikua limetoka mwilini muda huohuo, akacheka sana jinsi nilivyokuwa nalitazama kwa makini huku wakati mwingine nikilisogeza kabisa kwenye pua, akasogea na kujitupa kwenye sofa huku akiinua miguu yake na kuiweka kwenye miguu yangu.
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 03


Mara alinirushia kitu hicho, nikashtuka baada ya kugundua kuwa lilikuwa ni lile kufuli lake jeupe, likiwa na harufu f’lan hivi ‘amaizing’ kuoneshakwamba lilikua limetoka mwilini muda huohuo, akacheka sana jinsi nilivyokuwa nalitazama kwa makini huku wakati mwingine nikilisogeza kabisa kwenye pua, akasogea na kujitupa kwenye sofa huku akiinua miguu yake na kuiweka kwenye miguu yangu.
SASA ENDELEA...

“Kivurugeee!”
“Sipendi hilo jina ujue.”
“Ndiyo nimeshakuita sasa, utanifanya nini?”
“Ntakuchapaaa!”
“Huwezi,” alisema Madam Bella huku akichekacheka na kunifanyia vituko ambavyo kiukweli nilishindwa kuvivumilia. Sijui nilipata wapi ujasiri, nikapitisha mikono yangu na kukishika vizuri kiuno chake, akashtuka na kutoa mguno huku pumzi zake zikianza kubadilika, akawa anapumua kwa nguvu kama ametoka kukimbia mbio za mita mia moja.
Nilizidi kukibana kiuno chake kinene wastani katika mtindo ambao nilijua lazima utamfanya shetani wake akurupuke kutoka mafichoni kwa spidi zote.
Hicho ndicho kilichotokea, Madam Bella alinivaa mwilini na kunikumbatia kwa nguvu huku akinimwagia mvua ya mabusu, na mimi nikawa namuonesha ushirikiano wa kutosha.
Kwa jinsi ilivyoonesha ni kama alikuwa amekaukiwa sana kwani muda mfupi baadaye, tayari alikuwa amesaula kila kitu, akahamia kwangu na kufanya hivyohivyo kwa papara zisizo mithirika, purukushani zake zikaishia kwa ‘Ashrafu’ wangu.
Alipomuona jinsi alivyokuwa amefura kwa hasira, kwanza ni kama alishtuka kama ambaye hakutegemea kukutana na hali hiyo, akanitazama usoni kwa macho yake yaliyokuwa kama amebanwa na usingizi mzito, nusu yakiwa yamefumbuliwa nanusu yamefumbwa.
Akafanya kitu ambacho sikukitegemea, nikabaki nimeganda kama nimepigwa na radi. Kitu ambacho pengine sikuwa nakijua awali, Madam Bella alikuwa na uwezo mkubwa wa kughani nyimbo na mashairi kwa sauti yenye msisimko wa ajabu, nikampa nafasi ya kuonesha uwezo wake ambapo alikamata kipaza sauti kwa mikono yake laini na kuanza kuimba.
Kuna wakati alikuwa akighani mashairi ya taratibu na kuna wakati alikuwa akitumia ule mtindo unaopendwa na vijana, wa muziki wa kufokafoka, basi mwili wangu ukawa ni kama umepigwa na shoti ya umeme.
Sikutaka kubaki nyuma, nilijibinua kimtindo huku nikimuachia uhuru wa kuendelea kuimba, nikavamia kwenye ngome kuu na kwa ufundi wa hali ya juu, nikawa ni kama napiga kinanda hivi kwa kutumia mkono mmoja! Alipiga ukelele uliozidi kunogesha ala ya muziki, maneno yakawa yanamtoka nusunusu, pumzi zikazidi kubadilika!
Ilifika mahali akawa ni kama amepandwa na maruhani, akaniinua kwa vurugu pale kwenye sofa na kunipandisha kwenye meza fupi iliyokuwa katikati ya masofa hayo ya kisasa, nikawa naitazama feni ilivyokuwa likizunguka kwa sababu nililala nikiangalia juu, huku mnara wa Ashrafu ukisoma 4G!
Haraka na yeye akapanda juu ya meza, kwa papara za hali ya juu alimvamia ‘Ashrafu’ kama mkwezi anayekwea mnazi kwenda kuangua madafu. Miongoni mwa sifa za ziada nilizokuwa nazo, ni utulivu mchezoni.
Basi nilitulia, nikamuacha afanye alichoona kinamfaa kwa muda huo, harakaharaka akaanza kukwea mnazi, tena akionesha kuwa na sifa kama za mkwezi mzoefu maana alikuwa akipiga hatua ndefundefu.
Hakuchukua raundi, akawa tayari amekwea mpaka kuyafikia madafu, akaangua moja na kulipasua kwa nguvu. Kishindo chake hakikuwa cha kawaida, ilibidi nifanye kitu cha ziada kuwahi kumdaka maana angeweza kuporomoka kutoka juu ya mnazi mpaka chini kwa utamu wa dafu.
Nilimpa sapoti, akanikamata kwa nguvu mithili ya watu wanaogombana, akapiga yowe ambalo nina uhakika lilisikika mpaka kwenye ofisi za jirani kisha mwili ukakamaa kama samaki aliyetolewa kwenye friji! Maskini, ujanja wote uliisha, ukali wote uliyeyuka!
Nikamsaidia kwa kumuinua juujuu na kumlaza kwenye sofa. Japokuwa alikuwa na mwili mkubwa kuliko mimi, mazoezi ya kunyanyua vitu vizito niliyokuwa nayafanya mara mojamoja yalinifanya nimmudu vizuri. Ungeweza kudhani amezirai maana viungo vyake vilipoteza kabisa mawasiliano, ikawa mkono ukiuweka hivi unaenda moja kwa moja.
Kwa upande wangu ndiyo kwanza safari ilikuwa imeanza, akiwa bado hajielewi nilimtengeneza vizuri pale kwenye sofa, mnara wa mawasiliano ukiwa bado unasoma 4G, nikaanza kujisevia mdogomdogo!
Kitu ambacho lazima nikikiri, ni kwamba licha ya umri wake kuwa mkubwa, pia licha ya kuwa na cheo kikubwa kwenye kampuni kubwa kama hiyo, Madam Bella kwenye uwanja wa huba alikuwa bado mbichi kabisa.
Nikiwa naendelea kuchekelea utamu wa sukari guru, nikishambulia kwa staili za mashuti ya mbali na chenga za mwili, Madam Bella alishtuka akiwa ni kama amezinduka kutoka usingizini, akanitazama kwa macho yake ambayo safari hii yalikuwa yamefumbuliwa kidogo sana, akawa ni kama anataka kuzungumza jambo lakini hajui aanzie wapi.
Niliendeleza mashambulizi, wakati mwingine nikawa napiga mashuti makali yaliyokuwa yanagonga mwamba na kurudi uwanjani, mpira ukawa unachezwa nusu uwanja maana hakuweza kabisa kunikabili, akawa anajifunga mwenyewe huku miguno ikzidi mpaka ikafika mahali nikawa nahisi tunaweza kukutwa katikati ya mtanange.
Uamuzi niliouchukua, ilikuwa ni kumaliza mchezo, nikapiga chenga mfululizo, nikaongeza kasi, nikawa naukokota mpira kwa kasi kama Chriastiano Ronaldo, nikamcheki golikipa, nilipoona ametoka, niliachia shuti kali lililotinga moja kwa moja kwenye nyavu, Madam Bella akapiga tena yowe kubwa kama lile la mwanzo, akanikaba kwa nguvu huku mwili wote ukitetemeka kisha akashusha pumzi ndefu na kutulia kama aliyepoteza fahamu.
Harakaharaka nilivaa maganda yangu, nikatazama huku na kule, mwenzangu ndiyo kwanza alikuwa akikoroma pale kwenye sofa, nikanyata mpaka mlangoni na kuufungua, nikachungulia nje kama kulikuwa na mtu kwenye korido maana sikupenda kuonekana nikitoka ofisini humo.
Nilipohakikisha kwamba hakuna mtu, nilitoka huku nikiendelea kufunga mkanda wa suruali vizuri na kujiweka sawa. Nikaufunga mlango kwa nje kisha nikainama na kuitumbukiza funguo kwa ndani kwa kupitia upenyo wa chini ya mlango.
Wakati nainuka tu kutoka pale chini, nilisikia nikiitwa jina langu, nikageuka nyuma, katika hali ambayo sikuitegemea, nikashtuka kugundua kwamba alikua ni Salma, mkononi akiwa na mafaili.
“Kumbe uko huku? Mbona simu yako inaita tu bila kupokelewa? Halafu mbona una matatizo sana wewe? Haya hapo unafanya nini?”
“Nimetoka Kariakoo, kuna kazi bosi alikuwa amenituma, sasa nakuja hapa namgongea naona kimya, ndiyo nikawa naujaribu mlango kama umefungwa.”
“Umetoka kariakoo? Umepitia wapi mbona sijakuona?”
“Nilitokea mlango wa nyuma, muda ule bosi aliponiita aliniagiza niende haraka kuna kazi nikaifanye,” nilidanganya, Salma akanitazama usoni kama anayetaka kujua kama ninachokisema ni kweli au nadanganya.
“Halafu mbona unatokwa na jasho kiasi hicho?”
“Sasa wewe unafikiri kupanda ngazi harakaharaka ni kazi ndogo? Isitoshe nimetoka kwenye jua! Halafu Salma, mbona unanifuatafuata sana? Unataka kunifukuzisha kazi si ndiyo?” nilijifanya kumjia juu.
“Mh! Basi samahani kama umenielewa vibaya Ashrafu, wala mimi sikukuuliza kwa ubaya, nilidhani nina haki ya kukuuliza hivyo, anyway bosi hayupo, ametoka,” alinijibu kwa upole huku akijiinamia na kunipita, akawa anaelekea kwenye ofisi za wahasibu zilizokuwa jirani na ofisi ya bosi kupeleka yale mafaili.
Harakaharaka niliondoka kuelekea sehemu yangu ya kazi lakini kabla sijafika, niliona ni vizuri niingie kwanza maliwatoni nikanawe maana ni kweli nilikuwa nimelowa mwili mzima kwa jasho.
Nilivua shati na kulitundika pembeni ndani ya vyoo vya kisasa vya mle ofisini, nikaanza kujimwagia maji kwa wingi. Mara nikasikia mlango unafunguliwa, nikashtuka na kuinuka haraka kutaka kutazama ni nani aliyekuwa akiingia, nikashtuka kumuona Salma, mtoto wa kike akiwa ameingia kwenye vyoo vya wanaume, nilipomtazama vizuri alikuwa akilia, machozi yakawa yameulowanisha uso wake.
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 04


ILIPOISHIA:
Mara nikasikia mlango unafunguliwa, nikashtuka na kuinuka haraka kutaka kutazama ni nani aliyekuwa akiingia, nikashtuka kumuona Salma, mtoto wa kike akiwa ameingia kwenye vyoo vya wanaume, nilipomtazama vizuri alikuwa akilia, machozi yakawa yameulowanisha uso wake.
SASA ENDELEA...
Harakaharaka niliacha kila nilichokuwa nakifanya, nikalishika shati na kutaka kulivaa lakini nilikuwa nimechelewa, Salma alifunga mlango wa maliwatoni kwa ndani kisha akanisogelea mpaka mwilini, huku machozi yakiendelea kumtoka.
“Umepatwa na nini Salma?”
“Kwa nini unanitesa? Ina maana hujui kama nakupenda? Kwa nini unanitesa Ashrafu,” alisema Salma huku akipitisha mkono wake na kunishika kiunoni, akanisogelea na kujilaza kwenye kifua changu.
Ulikuwa ni zaidi ya mshtuko kwangu, nimefanya kazi na Salma kwa zaidi ya mwaka mzima na kamwe sikuwahi kuhisi hata mara moja kwamba alikuwa na hisia za mapenzi na mimi.
Mara kwa mara ugomvi wa mimi na yeye ulikuwa ni kwenye kupishana kauli, tabia yake ya kuwa na kisirani muda wote ilifanya watu wengi wawe wanaogopa kumuuliza chochote lakini mimi sikuw anamuogopa na mara kwa mara alipokuwa akinijibu kwa mkato nilikuwa nikimjia juu, kiasi kwamba kulumbana lilikuwa jambo la kawaida kwetu.
Nakumbuka siku chache zilizopita niliamua kuiweka namba yake kwenye ‘black list’ kwa sababu alikuwa na kawaida ya kunipigia simu muda ambao siyo wa kazi na kuanza kunilaumu mambo chungu nzima yanayohusiana na kazi, mara kwa nini nimeondoka bila kuaga, mara bosi ananitafuta, mara kwa nini nimeondoka bila kupanga vifaa vyangu vya kazi vizuri, basi ilikuwa ni purukushani nguo kuchanina.
“Sasa kinachokuliza ni nini Salma jamani?” nilisema kwa upole huku nikijifuta maji kwa kutumia kitambaa, mkono mmoja na mimi nikiwa nimemshika Salma kwa upole.
“Wewe unaona ulivyonijibu pale mlangoni kwa bosi ni vizuri? Kwa nini mimi najipendekeza kwako kila siku lakini huoni umuhimu wangu?”
“Lakini Salma, wewe ndiyo kila siku umekuwa mstari wa mbele kunituhumu mimi kwamba sijatulia, nina wanawake wengi na nahisi hata bosi umeshamwambia kwamba mimi naitwa Kivuruge, unawezaje leo kusema kwamba unanipenda?”
Nilimuuliza kwa upole huku nikimtazama usoni, mkono wangu nikiwa nimeuhamisha na kukishika kidevu chake kilaini, akawa ananitazama ka macho yaliyoonesha dhahiri kwamba alichokuwa akikisema kinatoka ndani ya moyo wake.
“Yote hayo ni kwa sababu nakupenda! Ningekuwa sikupendi ningekufuatilia wa nini? Ningekuwa sikupendi ningekuwa nakupigiapigia simu?”
“Lakini mbona hata kwenye simu kila ukinipigia unanilaumu na kunifokea?”
“Sasa wewe unatakaje Ashrafu? Unataka nikupigie nikuchekee ili unione najitongozesha kwako?” alisema Salma huku akikunja uso wake kama kawaida yake, nikahisi maswali yangu kwake yalishamchosha, nikashusha pumzi ndefu na kumsogeza kwangu, nikambusu kimahaba mdomoni.
Kitendo hicho kilionesha kumchanganya sana, na yeye akanibusu na katika hali ambayo sikuitegemea, nilimuona akianza kufungua vifungo vya blauzi aliyokuwa ameivaa, huku akinitazama kwa macho yake yaliyokuwa yamebeba hisia nzito za mapenzi.
Ni muda huohuo nilikuwa nimetoka kumsulubu Madam Bella na tayari Salma naye alikuwa na uhitaji uliovuka mipaka, nitafanya nini? Nilijiuliza ndani ya kichwa changu, nikaona siwezi kuiacha bahati ile ya mtende inipite kwa sababu ukiachilia mbali kasoro yake ya kuwa na hasira muda wote, Salma alikuwa ‘kifaa’ cha nguvu.
Alipofungua vifungo vya blauzi yake, macho yangu yalitua juu ya maembe bolibo mawili yaliyokuwa yamejaa vizuri kifuani kwake, nikajikuta nikimeza mate kama fisi aliyeona mfupa, kwa ufundi wa hali ya juu nilipitisha mkono mmoja mpaka mgongoni kwake, nikaigusa ‘loki’ ya sidiria yake kwa ufundi, ikafyatuka na kusababisha iachie, nikayavamia maembe bolibo huku nikianza kuyafakamia, kuanzia kwenye ‘kikonyo’ kuja juu.
Salma alianza kupiga ukelele uliosababisha mashetani yangu yaamke, nikasahau kabisa kwamba muda huohuo nilikuwa nimetoka kwenye kazi nzito, nikaendelea kucheza na maembe bolibo hayo kwa ufundi wa hali ya juu.
Mashetani yalipopanda mpaka kichwani, sikuwa na simile tena, nilimnyanyua Salma na kumuweka juu ya sinki la kunawia mikono mle maliwatoni, nikalisogeza ‘kufuli’ pembeni, Salma akashtuka maana ni kama hakutegemea tukio hilo.
Sikuwa na muda wa kupoteza, nikaanza kulisakata kabumbu kwa mtindo wa pasi ndefundefu, umahiri wangu ukaonesha kumkosha sana roho Salma kwa sababu ilifika mahali akasahau kama tupo maliwatoni, tena sehemu ya wanaume, akawa anaachia miguno kwa sauti ya juu.
Nililazimika kufanya kitu ili kunusuru hali halisi, mkono wangu mmoja nikaupeleka kwenye mdomo wake na kuuziba, nikaendelea kuonesha umahiri wangu, kwa kupiga chenga za mwili, danadana, kanzu na hatimaye nikabaki mimi na mpira golini.
Nilichokifanya, nilitishia kama nataka kupiga shuti, Salma akajibinua kwa lengo la kuzuia, nikaurudisha mpira mguuni na kuukokota mpaka pembeni kidogo, nikatishia tena kama napiga, nikambabatiza Salma na kusababisha aanze kupaparika kama kuku aliyekatwa kichwa.
Hakuchukua raundi, akajifunga mwenyewe huku safari hii mkono niliouweka kwenye mdomo wake ukishindwa kufua dafu kuzuia kelele zake za kushangilia goli.
Harakaharaka nilimuinua pale juu ya karo, safari hii mwili wake ukiwa umelegea kabisa, nikafungulia bomba la maji na kumlowanisha kidogo usoni, akawa ni kama amezinduka kutoka kwenye usingizi mzito.
“Ashrafu, we mkali sana jamani, kumbe ndiyo maana wanakugombea licha ya tabia yako mbaya,” alisema kwa sauti iliyokuwa inatokea puani, nikatabasamu tu. Nilijimwagia maji harakaharaka maana mwili wote ulikuwa umelowa chapachapa, nikaona kama nikiendelea kumuendekeza Salma, huenda tukakutwa kule maliwatoni halafu uwe msala.
“Nina kazi, kama vipi baadaye,” nilisema huku nikivaa shati langu harakaharaka, nikafungua mlango na kuchungulia nje, hakukuwana mtu koridoni, nikatoka haraka na kumuacha Salma akinawa.
Nilikwenda moja kwa moja mpaka kwenye meza yangu, nikajinyoosha kwenye kiti cha kuzunguka huku nikitazama kazi kibao zilizokuwa zinanikabili, ambazo nilitakiwa kuzifanya mara tu baada ya kurejea kutoka ‘lunch’.
“Aah! Nitazifanya kesho, siwezi kufanya chochote kwa sasa,” nilisema huku nikiweka vitu vyangu vizuri. Nilijua lazima Salma akitoka kule maliwatoni, atanifuata pale kwangu, na bosi naye akizinduka kutoka usingizini, lazima pia atanifuata.
Ili kuepusha mkanganyiko, kwanza nilizima simu yangu halafu haraka nikaanza kushuka kwenye ngazi kuelekea chini, huku miguu yangu ikiwa haina nguvu kabisa, nikawa nachekacheka mwenyewe kwa jinsi nilivyofanikiwa kuwapiga ndege wawili kwa jiwe moja, tena kwenye mazingira yenye ukakasi.
“Kaka vipi? Kama vipi kesho bwana mi nasepa zangu.”
“Wapi sasa hiyo!”
“Tandale mzee, si unajua mida ya kurudisha majeshi kihomu,” nilikuwa nikizungumza na mlinzi wetu ‘sharobaro’ pale ofisini, Shija ambaye tumezoeana naye sana kutokana na haiba yake ya ucheshi.
“Sasa sikia, kuna duu alikuja kukutafuta hapa, nimepanda mpaka ofisini kwako sijakukuta, kasema kama vipi ukipata muda umpigie simu, namba yake hii hapa,” alisema Shija, nikashtuka kwa sababu sikuwa na miadi na mtu yeyote kwa muda huo.
“Ooh, tena imekuwa bahati nzuri, kumbe hakuwa ameenda mbali, yule pale anakupungia mkono,” alisema Shija huku akinionesha kwa kidole upande wa pili wa barabara, mahali palipokuwa na kigrosari cha vinywaji baridi, nikatazama huku nikiwa na shauku ya kutaka kujua ni mwanamke gani aliyekuwa akinisaka kwa udi na uvumba kiasi hicho.
Nilijikuta nikishtuka, mapigo ya moyo yakaanza kuienda mbio kwa sababu ni jambo ambalo sikulitegemea kabisa. Sikukumbuka hata kumalizana na Shija, harakaharaka nikavuka barabara kuelekea upande ule aliokuwa amekaa yule mrembo, huku nikiwa na shauku kubwa ya kutaka kusikia anataka kuniambia nini.
“Mambo kivuruge?” alinisalimia huku akitabasamu, nikashtuka amelijulia wapi jina hilo? Uso wangu ukajawa na aibu.
Je, nini kitafuatia? Usikose next issue.
 
Kivuruge wa Tandale- 5 (full)

ILIPOISHIA:
Sikukumbuka hata kumalizana na Shija, harakaharaka nikavuka barabara kuelekea upande ule aliokuwa amekaa yule mrembo, huku nikiwa na shauku kubwa ya kutaka kusikia anataka kuniambia nini.
“Mambo kivuruge?” alinisalimia huku akitabasamu, nikashtuka amelijulia wapi jina hilo? Uso wangu ukajawa na aibu.
SASA ENDELEA...
“Nancy!”
“Mh! Umewezaje kulikumbuka jina langu haraka hivyo?”
“Aa! Kawaida tu, unajua kitu au mtu muhimu kwenye maisha yako huwezi kumsahau kirahisi,” nilijikakamua kiume na kujaribu kuyatawala mazungumzo.
“Karibu tupate vinywaji,” alisema msichana huyo huku akinionesha sehemu ya kukaa, nikashindwa kukataa, nikajisogeza na kukaa naye meza moja, tukawa tunatazamana. Si kawaida yangu kumuonea aibu mwanamke, hata awe mzuri kiasi gani lakini siku hiyo nilijikuta nikipoteza kabisa ujasiri mbele ya Nancy.
Kulikuwa na mambo mengi ambayo yalifanya nipoteze ujasiri, kwanza siku hiyo ndiyo ilikuwa ya kwanza kukutana na msichana huyo mrembo, muda ule nilipotoka kwenda kula ‘lunch’.

Hilo halikuwa tatizo kwangu kwa sababu nilikuwa na uzoefu wa kukutana na warembo kadhaa huko nyuma, ambao muda huohuo tuliokutana niliwafanya wanizoee utafikiri tunafahamiana miaka kibao nyuma na hivyo kutimiza malengo yangu kwa urahisi.
Tatizo lilikuwa mazingira niliyokutana na Nancy na alichonifanyia. Kwanza alikataa kabisa kunipa namba zake za simu licha ya kujitahidi kumchombeza kwa maneno ya hapa na pale lakini alinichomolea, tena kwa maneno ambayo niliyaona kama ni dharau kubwa kwangu! Lakini kama hiyo haitoshi, aliamua kunitukana kiutu uzima kwa kulipia bili yangu ya chakula bila kuniambia chochote, yaani ni kama aliyeamua kusema ‘utanipa nini maskini wewe!’
Lakini kingine kilichofanya nipoteze ujasiri, ni kwamba nilikuwa nimetoka matukio ambayo nilihisi kila nitakayetazamana naye usoni, anaweza kugundua kwamba nimetoka kufanya nini.
Kitendo cha kuwavuruga Madam Bella na Salma, tena ndani ya muda huohuo, wakipishana dakika chache tu, kilinifanya nijihisi kuwa na hatia ndani ya moyo wangu, nikawa nahisi nikitazamana sana na nancy anaweza kuyaona niliyotoka kuyafanya na pengine nikapoteza kabisa nafasi hata ya kukaa naye mezani nakunywa soda.
“Nambie, mbona sasa hivi huna porojo kama muda ule kule kantini?” aliniuliza huku akionesha kuchangamka sana, akavuta juisi kwa kutumia mrija aliokuwa ameushika kisistaduu na kumeza funda moja, akawa bado anaendelea kuchekacheka mwenyewe kwa furaha.
“Aliyekwambia kwamba mimi naitwa Kivuruge ni nani?”
“Mh! Kwani ukiwa na tabia mbaya unajificha? Kila mtu anakufahamu na habari zako zinasambaa kwa kasi.”
“Tabia mbaya kivipi? Na hayo yote yanakujaje?” nilisema huku nikijitahidi kuuvaa uso wa usiriasi. Nancy akanitazama, alipoona nimeanda kubadilika usoni alipunguza masihara.
“Mhudumu, hebu njoo umsikilize mgeni wangu,” alisema Nancy, nikawa nageuka na kutazama huku na kule. Kwa ufupi ni kwamba utulivu uliniisha kabisa ndani ya motyo wangu kwa sababu ukiachilia ukweli kwamba pale tulipokaa watu wengi walikuwa wakinijua, ilikuwa ni jirani pia na ofisini kwetu.
Kwa sababu nilifanya kuondoka kijanja, nilijua Salma au Madam Bella, yeyote kati yao atakayekuwa wa kwanza kutoka, lazima ataniona nikiwa nimekaa na Nancy.
“Hamna bana mi nakutania, yule dada wa pale kantini ndiyo aliyeniambia eti wewe wanakuita Kivuruge kwa tabia yako ya kupenda wanawake.”
“Mimi! Jamani, mbona wau wanapenda sana kunisingizia?” nilisema huku nikivaa sura ya upole ambayo ni miongoni mwa silaha nyingine ambazo hunisaidia sana ninapokuwa kwenye mawindo yangu.
“Unataka kusema anakusingizia? Mbona mimi kuniona leo tu umenitongoza?” alisema Nancy na kuzidi kunibana. Sikukubali kushindwa, nilitumia mwanya huo kujitetea lakini pia kuendelea kujitengenezea mazingira.
Kitendo cha Nancy kujileta mwenyewe pale na kunichangamkia baada ya kuniona, kilikuwa ni ishara nzuri kwangu, nikajua nikiongeza juhudi kidogo tu naweza kufanikiwa kumuopoa mrembo huyo ambaye kiukweli alikuwa akiyafanya mapigo ya moyo wangu yapishane ‘steps’ kama hatua za mlevi.
“Kwani wewe unaishi wapi?” aliniuliza Nancy, nikaona nishai kumjibu kwamba naishi Tandale kwa sababu mrembo mwenyewe alionekana kutoka kwenye familia bora kisawasawa, nikazugazuga lakini kumbe tayari alikuwa anazo taarifa zangu zote.
“Si nimesikia unaishi Tandale wewe? Sasa mbona unasema unaishi Sinza?”
“Naishi kwenye mpaka wa Sinza na tandale lakini upande wa tandale,” nilikuta nimezungumza kitu ambacho hata sikuwa nimekifikiria kichwani.”
“Kwa hiyo wewe unaishi Tandale au Sinza?” nancy alizidi kunikalia kooni, huku akicheka sana. Alionekana kufurahishwa sana na ujanjaujanja wangu katika mazungumzo, ikafika mahali akawa anacheka mpaka analeta mkono kugonga na mimi, nikawa nafurahia ulaini wa viganja vya mikono yake na kajoto f’lani hivi alikokuwa nako.
“Nimefurahi sana kukufahamu Kivuruge!”
“Nimefurahi pia kukufahamu mrembo Nancy.”
“Kwani mimi mrembo?”
“Ndiyo, tena sana! Mungu amekupendelea vitu vingi sana, ‘trust me’,” nilianza kumsifia Nancy, basi akawa anacheka kwa sauti ya juu mpaka watu waliokuwepo pale pembeni yetu wakawa wanageuka na kututazama.
Halikuwa jambo dogo kukaa na msichana mrembo kama Nancy na kumfanya muda wote awe na furaha kiasi kile, wale wahudumu wa kiume nikaona wananitazama kwa macho yaliyoonesha wazi kwamba wana chuki na mimi.
“Sasa Nancy, mi naomba nikuache, kuna kazi inatakiwa nikaifanye nyumbani, si unajua tena maisha ya kigetogeto jioni ndiyo muda wa kufanya kazi za ndani,” nilimuaga kijanja, akacheka sana, mwisho akaniambia nisubiri tuondoke wote.
“Mh!” niliguna, kiukweli nilikuwa namtaka sana Nancy lakini siyo kwa muda huo, nilikuwa nimechoka vibaya sana na kama kweli angekubali kuondoka na mimi, maana yake tungejikuta wote tumeishia Tandale, kwenye nyumba ninayoishi na kwangu mimi hilo lilikuwa ni kosa sawa na kuwapita mabeki wote na kubaki mimi na kipa tu golini.
Kabla hata sijajibu chochote, Nancy alisimama na kuchukua mkoba wake wa kijanja, akaufungua na kutoa noti ya shilingi elfu kumi, akamuita mhudumu na kulipa kisha akanionesha ishara kwambe ‘twen’zetu’.
“Kwani unaishi na nani kwako?”
“Naishi mwenyewe Nancy.”
‘Huwa unatumia usafiri gani ukiwa unatoka?”
“Daladala tu, si unajua mimi mgumu,” nilisema kwa kujitutumua, akacheka sana, akaniambia siku hiyo anataka kunipa ofa ya kupanda Ubber.
“Ubber ndiyo nini?” nilimuuliza kwa sababu kiukweli sikuwa najua, akanielekeza kwamba ni teksi ambazo hazina nembo kama teksi hizi za kawaida na mteja anatumia mtandao kuiita na hata malipo yake yapo tofauti kidogo, akanielekeza kwamba huwa mteja analipa kulingana na kilometa na muda aliotumia barabarani.
Alinizidi maarifa katika hilo, tukatoka na kuelekea barabarani, muda wote nikawa nageukageuka kutazama kama hakuna mtu yeyote atakayetoka pale ofisini kwetu na kuniona. Kwa mbali nilimuona mlinzi wetu, Shija akinionesha alama ya dole kama anayesema ‘nimekukubali kaka’.
Uzuri wa Nancy ulisababisha kila tulipokuwa tunapita, midume igeuka na kumtazama, alikuwa amejaaliwa haswaa! Basi muda mfupi baadaye, tayari tulikuwa ndani ya gari dogo lenye ‘kipupwe’ ndani, akaniambia mimi ndiyo nimuelekeze dereva wapi kwa kutupeleka.
“Tandale kwa Mtogole kaka,” nilisema, yule dereva akageuka na kunitazama akiwa ni kama haamini nilichomwambia. Nadhani kwa hadhi ya mrembo niliyekuwa naye, alitegemea nimwambie tupeleke Masaki au Mbezi, sijui kwa nini sisi watu wa Tandale tunadharaulika sana.
Basi tulitoka na safari ikaanza, nikiwa nimekaa siti ya nyuma na Nancy, tukawa tunaendelea kupiga stori, safari hii akinilalia kifuani mara kwa mara na kunifanyia vituko ambavyo viliniweka katika wakati mgumu sana.
Sijui kulitokea nini, nikashtukia amenibusu, nikamgeukia nakumtazama, akawa ananitazama kwa macho yaliyobeba hisia nzito sana za mapenzi, moyoni nikawa nasema ‘hunijui vizuri wewe’.
Ni kweli nilikuwa nimechoka sana lakini kamwe nisingeweza kuacha nafasi adhimu kama ile inipite, nikiwa bado najiongeza kichwani nini cha kufanya, nilishtukia tukiwa tumegusanisha ndimi zetu, akionekana kuwa na hisia nzito sana za mapenzi.
Kila kitu kilikuwa kikitokea kwa kasi kubwa kiasi kwamba kama hunifahamu, ungeweza kudhani nimemfanyia dawa dada wa watu anipende ghafla, kichwani nikawa nafikiria kwamba tukishuka tu dukani, fasta naenda dukani kwa Mangi ‘kujibusti’ kwanza kuondoa uchovu wote kisha ndiyo nianze kudili naye.
“Tumeshafika bro!” alisema yule dereva wa Ubber, kauli yake ndiyo iliyotuzindua kutoka kwenye dimbwi la huba, kucheki pembeni, kweli tayari tulikuwa Tandale kwa Mtogole.
Je, nini kitafuatia?
 
Kivuruge wa Tandale- 5 (full)

ILIPOISHIA:
Sikukumbuka hata kumalizana na Shija, harakaharaka nikavuka barabara kuelekea upande ule aliokuwa amekaa yule mrembo, huku nikiwa na shauku kubwa ya kutaka kusikia anataka kuniambia nini.
“Mambo kivuruge?” alinisalimia huku akitabasamu, nikashtuka amelijulia wapi jina hilo? Uso wangu ukajawa na aibu.
SASA ENDELEA...
“Nancy!”
“Mh! Umewezaje kulikumbuka jina langu haraka hivyo?”
“Aa! Kawaida tu, unajua kitu au mtu muhimu kwenye maisha yako huwezi kumsahau kirahisi,” nilijikakamua kiume na kujaribu kuyatawala mazungumzo.
“Karibu tupate vinywaji,” alisema msichana huyo huku akinionesha sehemu ya kukaa, nikashindwa kukataa, nikajisogeza na kukaa naye meza moja, tukawa tunatazamana. Si kawaida yangu kumuonea aibu mwanamke, hata awe mzuri kiasi gani lakini siku hiyo nilijikuta nikipoteza kabisa ujasiri mbele ya Nancy.
Kulikuwa na mambo mengi ambayo yalifanya nipoteze ujasiri, kwanza siku hiyo ndiyo ilikuwa ya kwanza kukutana na msichana huyo mrembo, muda ule nilipotoka kwenda kula ‘lunch’.

Hilo halikuwa tatizo kwangu kwa sababu nilikuwa na uzoefu wa kukutana na warembo kadhaa huko nyuma, ambao muda huohuo tuliokutana niliwafanya wanizoee utafikiri tunafahamiana miaka kibao nyuma na hivyo kutimiza malengo yangu kwa urahisi.
Tatizo lilikuwa mazingira niliyokutana na Nancy na alichonifanyia. Kwanza alikataa kabisa kunipa namba zake za simu licha ya kujitahidi kumchombeza kwa maneno ya hapa na pale lakini alinichomolea, tena kwa maneno ambayo niliyaona kama ni dharau kubwa kwangu! Lakini kama hiyo haitoshi, aliamua kunitukana kiutu uzima kwa kulipia bili yangu ya chakula bila kuniambia chochote, yaani ni kama aliyeamua kusema ‘utanipa nini maskini wewe!’
Lakini kingine kilichofanya nipoteze ujasiri, ni kwamba nilikuwa nimetoka matukio ambayo nilihisi kila nitakayetazamana naye usoni, anaweza kugundua kwamba nimetoka kufanya nini.
Kitendo cha kuwavuruga Madam Bella na Salma, tena ndani ya muda huohuo, wakipishana dakika chache tu, kilinifanya nijihisi kuwa na hatia ndani ya moyo wangu, nikawa nahisi nikitazamana sana na nancy anaweza kuyaona niliyotoka kuyafanya na pengine nikapoteza kabisa nafasi hata ya kukaa naye mezani nakunywa soda.
“Nambie, mbona sasa hivi huna porojo kama muda ule kule kantini?” aliniuliza huku akionesha kuchangamka sana, akavuta juisi kwa kutumia mrija aliokuwa ameushika kisistaduu na kumeza funda moja, akawa bado anaendelea kuchekacheka mwenyewe kwa furaha.
“Aliyekwambia kwamba mimi naitwa Kivuruge ni nani?”
“Mh! Kwani ukiwa na tabia mbaya unajificha? Kila mtu anakufahamu na habari zako zinasambaa kwa kasi.”
“Tabia mbaya kivipi? Na hayo yote yanakujaje?” nilisema huku nikijitahidi kuuvaa uso wa usiriasi. Nancy akanitazama, alipoona nimeanda kubadilika usoni alipunguza masihara.
“Mhudumu, hebu njoo umsikilize mgeni wangu,” alisema Nancy, nikawa nageuka na kutazama huku na kule. Kwa ufupi ni kwamba utulivu uliniisha kabisa ndani ya motyo wangu kwa sababu ukiachilia ukweli kwamba pale tulipokaa watu wengi walikuwa wakinijua, ilikuwa ni jirani pia na ofisini kwetu.
Kwa sababu nilifanya kuondoka kijanja, nilijua Salma au Madam Bella, yeyote kati yao atakayekuwa wa kwanza kutoka, lazima ataniona nikiwa nimekaa na Nancy.
“Hamna bana mi nakutania, yule dada wa pale kantini ndiyo aliyeniambia eti wewe wanakuita Kivuruge kwa tabia yako ya kupenda wanawake.”
“Mimi! Jamani, mbona wau wanapenda sana kunisingizia?” nilisema huku nikivaa sura ya upole ambayo ni miongoni mwa silaha nyingine ambazo hunisaidia sana ninapokuwa kwenye mawindo yangu.
“Unataka kusema anakusingizia? Mbona mimi kuniona leo tu umenitongoza?” alisema Nancy na kuzidi kunibana. Sikukubali kushindwa, nilitumia mwanya huo kujitetea lakini pia kuendelea kujitengenezea mazingira.
Kitendo cha Nancy kujileta mwenyewe pale na kunichangamkia baada ya kuniona, kilikuwa ni ishara nzuri kwangu, nikajua nikiongeza juhudi kidogo tu naweza kufanikiwa kumuopoa mrembo huyo ambaye kiukweli alikuwa akiyafanya mapigo ya moyo wangu yapishane ‘steps’ kama hatua za mlevi.
“Kwani wewe unaishi wapi?” aliniuliza Nancy, nikaona nishai kumjibu kwamba naishi Tandale kwa sababu mrembo mwenyewe alionekana kutoka kwenye familia bora kisawasawa, nikazugazuga lakini kumbe tayari alikuwa anazo taarifa zangu zote.
“Si nimesikia unaishi Tandale wewe? Sasa mbona unasema unaishi Sinza?”
“Naishi kwenye mpaka wa Sinza na tandale lakini upande wa tandale,” nilikuta nimezungumza kitu ambacho hata sikuwa nimekifikiria kichwani.”
“Kwa hiyo wewe unaishi Tandale au Sinza?” nancy alizidi kunikalia kooni, huku akicheka sana. Alionekana kufurahishwa sana na ujanjaujanja wangu katika mazungumzo, ikafika mahali akawa anacheka mpaka analeta mkono kugonga na mimi, nikawa nafurahia ulaini wa viganja vya mikono yake na kajoto f’lani hivi alikokuwa nako.
“Nimefurahi sana kukufahamu Kivuruge!”
“Nimefurahi pia kukufahamu mrembo Nancy.”
“Kwani mimi mrembo?”
“Ndiyo, tena sana! Mungu amekupendelea vitu vingi sana, ‘trust me’,” nilianza kumsifia Nancy, basi akawa anacheka kwa sauti ya juu mpaka watu waliokuwepo pale pembeni yetu wakawa wanageuka na kututazama.
Halikuwa jambo dogo kukaa na msichana mrembo kama Nancy na kumfanya muda wote awe na furaha kiasi kile, wale wahudumu wa kiume nikaona wananitazama kwa macho yaliyoonesha wazi kwamba wana chuki na mimi.
“Sasa Nancy, mi naomba nikuache, kuna kazi inatakiwa nikaifanye nyumbani, si unajua tena maisha ya kigetogeto jioni ndiyo muda wa kufanya kazi za ndani,” nilimuaga kijanja, akacheka sana, mwisho akaniambia nisubiri tuondoke wote.
“Mh!” niliguna, kiukweli nilikuwa namtaka sana Nancy lakini siyo kwa muda huo, nilikuwa nimechoka vibaya sana na kama kweli angekubali kuondoka na mimi, maana yake tungejikuta wote tumeishia Tandale, kwenye nyumba ninayoishi na kwangu mimi hilo lilikuwa ni kosa sawa na kuwapita mabeki wote na kubaki mimi na kipa tu golini.
Kabla hata sijajibu chochote, Nancy alisimama na kuchukua mkoba wake wa kijanja, akaufungua na kutoa noti ya shilingi elfu kumi, akamuita mhudumu na kulipa kisha akanionesha ishara kwambe ‘twen’zetu’.
“Kwani unaishi na nani kwako?”
“Naishi mwenyewe Nancy.”
‘Huwa unatumia usafiri gani ukiwa unatoka?”
“Daladala tu, si unajua mimi mgumu,” nilisema kwa kujitutumua, akacheka sana, akaniambia siku hiyo anataka kunipa ofa ya kupanda Ubber.
“Ubber ndiyo nini?” nilimuuliza kwa sababu kiukweli sikuwa najua, akanielekeza kwamba ni teksi ambazo hazina nembo kama teksi hizi za kawaida na mteja anatumia mtandao kuiita na hata malipo yake yapo tofauti kidogo, akanielekeza kwamba huwa mteja analipa kulingana na kilometa na muda aliotumia barabarani.
Alinizidi maarifa katika hilo, tukatoka na kuelekea barabarani, muda wote nikawa nageukageuka kutazama kama hakuna mtu yeyote atakayetoka pale ofisini kwetu na kuniona. Kwa mbali nilimuona mlinzi wetu, Shija akinionesha alama ya dole kama anayesema ‘nimekukubali kaka’.
Uzuri wa Nancy ulisababisha kila tulipokuwa tunapita, midume igeuka na kumtazama, alikuwa amejaaliwa haswaa! Basi muda mfupi baadaye, tayari tulikuwa ndani ya gari dogo lenye ‘kipupwe’ ndani, akaniambia mimi ndiyo nimuelekeze dereva wapi kwa kutupeleka.
“Tandale kwa Mtogole kaka,” nilisema, yule dereva akageuka na kunitazama akiwa ni kama haamini nilichomwambia. Nadhani kwa hadhi ya mrembo niliyekuwa naye, alitegemea nimwambie tupeleke Masaki au Mbezi, sijui kwa nini sisi watu wa Tandale tunadharaulika sana.
Basi tulitoka na safari ikaanza, nikiwa nimekaa siti ya nyuma na Nancy, tukawa tunaendelea kupiga stori, safari hii akinilalia kifuani mara kwa mara na kunifanyia vituko ambavyo viliniweka katika wakati mgumu sana.
Sijui kulitokea nini, nikashtukia amenibusu, nikamgeukia nakumtazama, akawa ananitazama kwa macho yaliyobeba hisia nzito sana za mapenzi, moyoni nikawa nasema ‘hunijui vizuri wewe’.
Ni kweli nilikuwa nimechoka sana lakini kamwe nisingeweza kuacha nafasi adhimu kama ile inipite, nikiwa bado najiongeza kichwani nini cha kufanya, nilishtukia tukiwa tumegusanisha ndimi zetu, akionekana kuwa na hisia nzito sana za mapenzi.
Kila kitu kilikuwa kikitokea kwa kasi kubwa kiasi kwamba kama hunifahamu, ungeweza kudhani nimemfanyia dawa dada wa watu anipende ghafla, kichwani nikawa nafikiria kwamba tukishuka tu dukani, fasta naenda dukani kwa Mangi ‘kujibusti’ kwanza kuondoa uchovu wote kisha ndiyo nianze kudili naye.
“Tumeshafika bro!” alisema yule dereva wa Ubber, kauli yake ndiyo iliyotuzindua kutoka kwenye dimbwi la huba, kucheki pembeni, kweli tayari tulikuwa Tandale kwa Mtogole.
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE- 6
ILIPOISHIA:
“Tumeshafika bro!” alisema yule dereva wa Ubber, kauli yake ndiyo iliyotuzindua kutoka kwenye dimbwi la huba, kucheki pembeni, kweli tayari tulikuwa Tandale kwa Mtogole.
SASA ENDELEA...
Tuliteremka kwenye Uber, kwa jinsi Nancy alivyokuwa mzuri, kitendo cha kuteremka tu pale kituoni, niliwaona wahuni kibao wakiacha kila walichokuwa wakikifanya na kuanza kutukodolea macho.
Waliokuwa wakicheza kamari waliacha, waliokuwa wakicheza singeli waliacha na hata waliokuwa wakipiga stori, wote walibaki wanatukodolea macho.
Shida moja ya kwetu ndiyo hiyo, yaani vijana wana njaa kiasi kwamba kila kitu kizuri kinachopita, wao wanaanza kuhesabu kama dili! Nilijua pale wanatupigia mahesabu ya kuja kutukaba na kuchukua viwalo vya kijanja alivyokuwa amepiga Nancy, simu yake, pochi pamoja na simu yangu.
Kwa kuwa nimeshaishi sana Tandale na najua namna ya kwenda sawa na wahuni, niliamua kuchukua tahadhari mapema kwa sababu kama tungekabwa na mrembo kama Nancy, ningekuwa nimejishushia mno hadhi.
Nilichokifanya nilimshika mkono Nancy, nikaongozana naye mpaka kwenye kibanda cha ‘Rasi Kimbute’, rastafari aliyekuwa akisifika kwa uhuni Tandale nzima.
“Kuna buku hapa, nipige escort mpaka magetoni naona wahuni wananitamani,” nilimwambia Rais Kimbute kwa sauti ya chini, akacheka sana mpaka pengo lake likawa linaonekana.
Basi kwa kuwa alikuwa rafiki yangu sana, mara kwa mara nikimtoa vihela vidogovidogo vya ‘fegi’, alikubali kunisindikiza, basi nikawa najitanua huku nikiwa nimemshikilia vizuri Nancy, tukawa tunapiga stori za hapa na pale na Rasi, Nancy akipata shida kubwa kuruka mifereji na mitaro ya maji machafu.
Niliukumbuka wimbo wa Rayvan, msanii wa Bongo Fleva kutoka Wasafi uitwao Kwetu, jinsi nilivyokuwa nakatiza na Nancy ‘kitaani’ ungeweza kufananisha na Rayvan na mrembo Lynn walivyokuwa wakikatisha mitaani, sema tofauti ni kwamba mimi na Nancy tulikuwa wakubwa.
Baada ya kutufikisha karibu na nyumbani, nilimpa Rasi Kimbute shilingi elfu moja kama nilivyomuahidi, akafurahi sana na kuniambia kama nitataka kuondoka, nikamshtue tena aje kunipa ulinzi!
Hayo ndiyo maisha ya kwetu, yaani ukionekana na mtu wa tofauti, anayeonekana kuwa nazo basi ujue hufiki mbali, lazima mateja wawakabe na kuwavua mpaka viatu. Tulipitia dukani kwa Mangi, nikachukua ‘busta’ na maji makubwa, tukaingia ndani ambapo ilibidi mpaka nifunge geti kubwa la nje kwa kufuli ndiyo Nancy atulie.
Mazingira ya kwetu yalionesha kumkosesha mno amani, ikawa ni zamu yangu kumtania kwamba yeye ni sistaduu maisha ya uswahilini hayawezi. Nilimtania mpaka akawa anacheka, ile hofu ikamuisha kabisa.
Japokuwa nilikuwa naishi Tandale, nyumba niliyokuwa maishi ilikuwa nzuri, yenye hadhi nzuri na usalama wa kutosha, sijisifii lakini huo ndiyo ukweli. Hata ndani nako sikuwa ‘mnyonge’, nilikuwa na kitanda cha kisasa, futi sita kwa sita, ukutani runinga ya kisasa (flat screen) na muziki mnene, sofa la kuzugia, kafriji kakiaina na kapeti manyoya.
“Mh! Kumbe kwako kuzuri hivi? Unavyoonekana kwa nje na ndani ni tofauti sana, kumbe una akili,” alisema Nancy, nikajifanya kama sijamsikia. Nilifungua ‘busta’ yangu na kuchanganya na maji kidogo kwenye glasi, nikaigida yote, Nancy akawa anachekacheka tu mwenyewe, mara ashike hiki aache, mara ashike kile, mara abadilishe ‘chaneli’ kwenye runinga, ilimradi tafrani.
Kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka, ilibidi nikaoge kwanza, nikamuacha Nancy akiwa amekaa kwenye kochi, akisikiliza muziki. Tayari alishakuwa mwenyeji ndani ya dakika chache tu alizokaa pale ndani, nikazidi kujiona mshindi.
Dakika tatu baadaye, tayari nilikuwa nimeshajimwagia maji, kurudi ndani nikamkuta Nancy ameshasaula kila kitu alichokuwa amekivaa na kujifunga mtandio mwepesi eti kwa madai kwamba na yeye anataka kwenda kuoga. Nilijikuta nimeshtuka kama nimepigwa na shoti ya umeme! Hata sijui ni nini kilichonishtua lakini nadhani ni kwa sababu ya jinsi Nancy alivyokuwa ameumbika!
Kiukweli, Nancy alikuwa moto wa kuotea mbali. Nilisikia vinyweleo vyote vya mwili vikipigwa na kaubaridi fulani, nikameza mate kama fisi aliyeona mfupa, Nancy akawa ananitazama kwa macho kama ya mtu aliyebanwa na usingizi mzito.
Nilishindwa kuvumilia, nilimsogelea na kumvutia kwangu, akaja mzimamzima na kunikumbatia, bila kujali maji yaliyokuwa yakichuruzika mwilini mwangu kwani nilikuwa bado sijajifuta, tukagusanisha ndimi zetu, kwa ufundi mkubwa nikapitisha mikono yangu na kukikamata vizuri kiuno cha Nancy, nikamuona akiruka kama anayetaka kupaa.
Niliendelea kumshika vile huku vidole vyangu vikitembea taratibu kushuka chini, mapigo ya moyo wake yakaanza kubadilika, akawa anapumua harakaharaka kama aliyetoka kukimbia mbio za mita mia moja.
Haikuchukua muda, ule mtandio tayari ulikuwa chini na mimi taulo hata sikukumbuka limetokaje mwilini mwangu, tukawa tumesimama tukiwa ‘saresare maua’.
Niliendelea kushuka chini taratibu, nikawa navinjari kwenye mwinuko maridhawa uliokuwa chini kidogo ya kiuno chake ambao ama kwa hakika ulikuwa umejaa na kubinuka kisawasawa, akawa anapiga ukelele kwa staili ya kudekadeka, ulioleta raha ya ajabu masikioni mwangu.
Naye hakubaki nyumba, alisogeza mdomo wake sikioni mwangu, akawa ni kama anataka kuninong’oneza kitu na mimi nikatega sikio kutaka kusikia atasema nini, katika hali ambayo sikuitegemea, nikashtukia akiuingiza ulimi wake sikioni, na mimi nikaruka kama nimekanyaga kaa la moto! Si kwamba nilipanga kuruka, nilijikuta tu nimeruka, akacheka kwa kudeka na kuzidi kunipa mzuka!
Japokuwa nilikuwa najiamini kwamba naweza kuwaamsha mashetani wa mahaba wa Nancy haraka, ajabu ni kwamba yeye ndiye aliyefanikiwa kuwaamsha wa kwangu mapema zaidi.
Japokuwa nilikuwa nimeshapiga gemu mbili tofautitofauti muda mfupi uliopita, na Madam Bella na Salma kule kazini, mbwembwe za Nancy ziliufanya mnara wa mawasiliano uwe unasoma 4G mapema kabisa utafikiri sijagusa chochote kwa zaidi ya wiki nzima.
Niliamua kutumia falsafa yangu ileile, ya kutokuwa na papara kabisa mchezoni. Unajua wanaume wengi wanajikuta wakiadhirika kutokana na papara, yaani wakishaoneshwa dimba la kati tu basi mtu anakimbilia kupiga mashuti, bila kwanza kumsoma golikipa amekaa upande gani, na kupima uwezo wake kama anaweza kudaka mipira ya juu au ya chini.
Nadhani hicho ndicho Nancy alichokitegemea kutoka kwangu, kwamba baada tu ya mnara kusoma 4G na yeye kuliachia dimba la kati wazi, basi nitavamia uwanjani na kuanza kubutua mpira! Thubutuu, mimi siyo wa hivyo.
Niliendelea kumpasha misuli moto taratibu huku mnara ukiwa unasoma 4g vilevile, nikawa namgusa maeneo ambayo nadhani hakuwa anategemea, akawa anarukaruka mara kwa mara huku akitoa miguno ya hapa na pale iliyozidisha kimuhemuhe cha mahaba, chungu kikawa kinachemka kwa kasi.
Ilifika mahali akawa anataka ashike mwenyewe mwiko na kuupeleka kwenye chungu ili aanze kusonga ugali lakini nikawa namkwepa kijanja, nilifanya hivyo kwa makusudi kwa sababu nilitaka maji yachemke kabisa ili chakula atakachokula kamwe asije kukisahau maishani mwake.
Ni mpaka nilipohakikisha maji yamechemka mpaka nyuzijoto 100 ndipo nilipoanza kuupeleka mwiko taratibu kwenye chungu chake, tayari kwa kazi ya mapishi.
Niliupeleka taratibu kwa makusudi ili kutazama uimara wa chungu chenyewe, lakini akaona kama namchelewesha, aliushika mwenyewe na kuusokomeza kwenye chungu kwa nguvu, akapiga ukelele mwingine kwa raha na bila kupoteza muda, alianza kazi ya kusonga ugali.
Tofauti kabisa na alivyokuwa akionekana kwa nje, Nancy alikuwa mwepesi mno uwanjani, aliifanya kazi ile kwa kasi ambayo vijana huwa wanapenda kuiita ‘spidi 120’, yaani kama nisingekuwa ngangari, huenda angenizidi mahesabu kutokana na kasi yake lakini alikutana na mwamba!
Alikukuruka mpaka mwisho, akaimba nyimbo zote, akaonesha mbwembwe zote lakini bado nilikuwa naye sambamba, pumzi zilipoanza kumuishia, ndipo na mimi nilipoanza kumuonesha makali yangu, nikawa nashambulia kwa mfumo wa four-four-two, ikawa mpira unachezwa kwenye goli lake tu, ilifika mahali akawa anapiga kelele kwa sauti ya juu mpaka nikawa nahisi baba mwenye nyumba anaweza kushtukia kwamba kuna mechi ya kirafiki inapigwa pale ndani.
Nilimpeleka puta kuliko kawaida, hakuchukua raundi, akatangaza kutaka kuzifumania nyavu na ili twende naye sawa, na mimi nilijiweka katika mkao wa kufunga!
Yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza, akanifunga bao kwa shuti la mbali na kupiga shangwe za nguvu kushangilia ushindi huku mwili wake ukianza kukakamaa na kutetemeka, na mimi nikahitimisha kwa kumfunga kwa uhodari wa hali ya juu uliofanya alitamke jina langu kwa ufasaha kabisa kisha akadondoka pembeni kama mzigo.
Huwezi kuamini, katika gemu tatu nilizopiga siku hiyo, hiyo ya Nancy ilikuwa ni ya kimataifa kwa sababu tulipoenda mapumziko, wote tulipitiwa na usingizi mzito, kuja kushtuka, tayari ilikuwa ni saa saba za usiku.
“Mungu wangu, nitasema nini nyumbani,” alisema huku akikurupuka na kuanza kutafuta nguo zake, nikaona analeta masihara, ataondokaje muda huo wakati hata kipindi cha pili kilikuwa bado?
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE- 7
ILIPOISHIA:
“Mungu wangu, nitasema nini nyumbani,” alisema huku akikurupuka na kuanza kutafuta nguo zake, nikaona analeta masihara, ataondokaje muda huo wakati hata kipindi cha pili kilikuwa bado?
SASA ENDELEA...
Harakaharaka aliwasha simu yale ya bei mbaya ambayo kwa muda wote huo alikuwa ameizima. Nikamuona anavyohangaika, nadhani alikuwa akitafutwa sana kwenye simu.
“Sijui nitamwambia nini baba, sijawahi kukaa nje mpaka usiku mnene kiasi hiki.”
“Kwani wewe bado unaishi na wazazi wako?”
“Ndiyo! Naishi na wazazi, sasa wewe ulikuwa unafikiri naishi na nani?”
“Sasa si unaweza tu kumwambia upo kwenye bethidei ya rafiki yako?”
“Hilo siyo tatizo, ilitakiwa nitoe taarifa mapema, sasa unafikiri saa saba hii naanzaje kuwaeleza kitu kama hicho? Umeniponza Ashrafu, umenisababishia matatizo,” alisema huku akianza kulia. Ilibidi niamke pale kitandani na kumfuata pale alipokuwa amesimama, nikawa najaribu kumtuliza.
“Wewe umeshakuwa mkubwa sasa, hutakiwi kuwahofia wazazi wako kwa kiasi hicho, kwani wao hawajui kwamba wewe umeshakuwa mkubwa?”
“Stop it!” alisema kwa ukali akimaanisha hataki niendelee kuzungumzia suala hilo. Kwa jinsi alivyonibadilikia, sikuwa na namna zaidi ya kumruhusu tu aondoke lakini nilifanya hivyo kwa shingo upande.
Licha ya kazi kubwa iliyofanyika, huwezi kuamini kwamba bado mtandao ulikuwa ukisoma 4G, nikawa najitahidi kujizuia mwenyewe kwa mbinu zangu. Alivaa harakaharaka na muda mfupi baadaye, alikuwa ameshamaliza kila kitu, akanigeukia na kushtushwa na hali niliyokuwa nayo.
“Una matatizo gani?”
“Sina tatizo lolote.”
“Mbona hivyo sasa?”
“Aah! Kawaida tu, kwani kuna tatizo?” nilisema huku na mimi nikijisikia aibu.
“Ashrafu, naomba unisamehe baba, muda umekuwa mbaya sana, sipendi kukuacha na hali kama hii lakini nakuomba uniruhusu, nitatafuta muda mzuri wala usijali,” alisema kwa upole huku akiwa amenikumbatia, akanibusu kimahaba na kwa kiasi fulani, moyo wangu ulikunjuka.
Ilibidi na mimi nivae harakaharaka, nikawa najiuliza sijui itakuwaje maana ilikuwa hatari sana kutembea mtaani kwetu muda kama huo. Nilipiga moyo konde kwamba liwalo na liwe, tukatoka huku nikiwa nimemshikia simu na mkoba wake, safari ya kuelekea barabarani ikaanza.
Kwa bahati nzuri, mpaka tunafika barabarani, hatukuwa tumekutana na vibaka, nikamsimamishia bodaboda. Harakaharaka alipanda, nikamkabidhi vitu vyake na kumpa noti ya shilingi elfu kumi kwa ajili ya nauli, alitaka kukataa lakini nikamshikisha.
Alimuelekeza dereva huyo wa bodaboda sehemu ya kumpeleka na wakaondoka kwa kasi. Kwa usalama wa dereva wa bodaboda na abiria wake, inapofika mida ya usiku mitaa ya kwetu ni lazima mpite kwa kasi kubwa, vinginevyo mnaweza kung’ang’aniwa na vibaka wakaiba mpaka bodaboda.
Hivyo ndivyo alivyofanya yule dereva, ndani ya muda mfupi tu tayari walikuwa wameshatoweka eneo hilo, harakaharaka nikaanza kukatiza vichochoro kurudi nyumbani kupumzika maana muda ulikuwa umeenda sana.
Niliporudi ndani, kutokana na uchovu niliokuwa nao, nilijitupa kitandani na haukupita muda, nilipitiwa na usingizi mzito. Nilipokuja kuzinduka, tayari kulikuwa kumepambazuka, harakaharaka nikaamka na kuelekea bafuni kuoga kwa sababu nilikuwa natakiwa kuwahi kazini.
Saa kumi na mbili na nusu, tayari nilikuwa nimeshamaliza kujiandaa, nikajitazama kwenye kioo kilichokuwa humo ndani kwangu, nikajiridhisha kwamba nilikuwa nimependeza. Hakuna kitu ambacho nilikuwa nakizingatia kama mwonekano wangu hususani mavazi.
Basi nilitoka mpaka kituoni, nikapanda daladala na safari ya kuelekea kazini ikaanza. Ni hapo ndipo nilipopata wazo la kuitazama simu yangu, ilikuwa na ‘missed calls’ nyingi za Nancy, za Madam Bella na za Salma na nyingi zilionekana kuwa ni za usiku uliopita.
Kulikuwa pia na meseji nyingi, ikabidi nianze kusoma moja baada ya nyingine. Madam Bella alikuwa amenitumia meseji eti akinishukuru kwa kilichotokea, akaniambia kama alikuwa amenikosea basi anaomba nimsamehe sana lakini nisimwambie mtu yeyote kuhusu kilichotokea.
Nilijikuta nikitabasamu baada ya kusoma meseji hiyo, nikawa najiuliza sijui nitamtazama vipi usoni nitakapofika kazini. Nikajipa moyo kwamba hakukuwa na chochote kibaya nilichokifanya kwa sababu kama isingekuwa visa vyake alivyonifanyia, pengine nisingefikia uamuzi wa ‘kumuadhibu’ palepale ofisini.
Kulikuwa pia na meseji za Salma na kama kawaida yake yeye alikuwa akilalamika. Aliniambia amenipigia simu mara nyingi lakini sipokei simu zake kwa makusudi, akaenda mbele zaidi kwa ‘kunichana’ kwamba eti nisidhani kama yeye ni mwanamke ‘cheap’ kiasi hicho ila hata mwenyewe haelewi nini kilichotokea mpaka akaniachia nimfaidi.
Yeye ndiye aliyekuwa ametuma meseji nyingi zaidi na kati ya zote alizotuma, zilizojaa lawama kwa nini sipokei simu yake, kwa nini nimeondoka kazini bila kumuaga, kwa nini sijamjulia hali baada ya kufika nyumbani na nyingine nyingi, ni moja tu iliyonifurahisha.
Aliniambia kwamba hakutegemea kama eti kama naweza kumfanya akajihisi kuwa mwanamke aliyekamilika na kujisikia kama vile alivyozoea kusikia kwa wenzake wakisimulia kuhusu raha ya kuangua madafu.
Nilijikuta nimecheka bila mwenyewe kujijua mpaka abiria aliyekuwa amekaa upande wa dirishani, kwenye siti niliyokaa akanigeukia. Kwa aibu, nilijikausha haraka na mimi nikamgeukia, tukatazamana. Nilishtuka sana, sijui ni kwa nini!
Tangu nimepanda daladala, sikuwa nimetulia kiasi kwamba sikupata hata muda wa kujua kwamba kulikuwa na mtu, sikumsalimia yule abiria niliyemkuta kwenye ile siti, wala sikupata hata muda wa kumtazama usoni. Alikuwa ni mwanamke ambaye kwa kumtazama alionesha kwamba lazima atakuwa ni mke wa mtu maana mkononi alikuwa na pete ya ndoa.
Miongoni mwa vitu ambavyo huwa naviogopa, ni wanawake wenye pete za ndoa kwenye vidole vyao, pamoja na utundu wangu wote kuhusu hawa viumbe, nilikuwa mwoga sana wa mali za watu.
“Hujambo!” aliniuliza baada ya kuona nimebaki namkodolea macho.
“Sijambo, shikamoo!” nilimsalimu salamu ambayo haikuwa ikifanana naye huku nikijaribu kuvaa tabasamu la uongo lililochanganyikana na aibu, nikawa nasubiri nione kama ataitikia kwa sababu japokuwa ni kweli alikuwa na pete kidoleni, hakuwa mkubwa sana kwangu kustahili shikamoo.
Badala ya kujibu salamu yangu, aliachia tabasamu lililoshiba kisha akaweka vizuri ‘headphone’ kwenye masikio yake, akageukia dirishani, akawa anatazama nje, nikabaki na maswali mengi sana.
“Kwa nini anacheka?” nilijiuliza moyoni, nikaamua kuachana naye, nikaigeukia simu yangu na kuendelea kufanya kile nilichokuwa nakifanya. Niliendelea kuangalia meseji nilizotumiwa, nikakutana na ya Nancy na ilionesha ilitumwa kama saa nane hivi za usiku.
“Nimefika salama lakini baba kanigombeza sana, kasema kukikucha ana mazungumzo na mimi,” ilisomeka meseji ya Nancy, nikashusha pumzi ndefu na kuendelea kuangalia meseji nyingine.
Kumbe hiyo alinitumia alipofika tu, nikakutana na nyingine ambazo alikuwa akinisifia sana na kunishukuru kwa nilichomfanyia kwa muda mfupi niliokaa naye, akaniambia japokuwa nimemsababishia ‘msala’ kwa wazazi wake, ataumaliza mwenyewe hilo suala, akaniambia tangu awe na akili zake, hajawahi kukutana na mtu aliyemfanya ajisikie kama alivyojisikia muda aliokuwa na mimi.
Nilijikuta nikitabasamu mwenyewe, sijui nini kilinituma nitazame dirishani, macho yangu yakamfuma yule abiria mwenzangu akiwa ‘bize’ kusoma meseji zangu. Alipoona nimemshtukia, alitabasamu tena na kunitazama usoni. Sasa niligundua ni nini kilichomfanya ashindwe kuitikia salamu yangu na badala yake aishie kutabasamu! Kumbe alikuwa akisoma meseji zangu.
Badala ya kukasirika, nilijikuta nikizidi kujisikia aibu, maana kama alikuwa akinifuatilia kuanzia mwanzo, maana yake ameona yote yaliyoandikwa na Madam Bella, Nancy na Salma, tena yote yakihusu kitu kimoja.
Aliendelea kunitazama usoni huku akiwa ametabasamu, na mimi nikawa nimemkazia macho huku nikijaribu kuzificha hisia za aibu zilizokuwa zimenijaa.
“Unaitwa nani?”
“Mimi?”
“Ndiyo, kwani hapa nazungumza na nani?” aliniuliza huku akizidi kunitazama machoni.”
“Ashrafu!” nilimjibu huku na mimi nikizidi kumtazama usoni.
Tukiwa tunaendelea kutazamana, mara redio iliyokuwa ndani ya gari ilianza kupiga wimbo wa Kivuruge wa Nandy. Kiukweli huu wimbo mimi huwa siupendi, si kwa sababu ni mbaya hapana bali ni kwa sababu mara nyingi wadada walikuwa wakitumia maneno yake kunisimanga.
Nakumbuka wakati naachana na Asnath wa Tabata Segerea baada ya kunifuma nikiwa na shoga yake waliyesoma pamoja, Kuruthum, alinitumia meseji kali sana na mwisho eti akaniandikia ‘dedication’ ya wimbo huo wa Kivuruge (nitaeleza baadaye kwa kina kuhusu mimi na Asnath, jinsi tulivyopendana kabla ya baadaye kuja kuishia kuwa maadui wakubwa).
“Umekuwa kivuruge unavuruga sanaaa...” yule dada aliacha kuzungumza na mimi, eti akawa anaimba kwa mapozi kufuatisha muziki huo kwenye redio, huku akinitazama, tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake.
Akiwa anaimba, niligundua kitu kuhusu huyu dada! Kwanza alikuwa na meno meupe sana, yaliyopangika vizuri nakumfanya awe na mvuto wa kipekee. ‘Lipstic’ aliyokuwa amepaka ilizidi kumfanya awe na mvuto sana, nikawa namtazama macho yake, nikagundua kwamba pia yalikuwa mazuri!
Sijui ni pepo au ni kitu gani, nilijikuta nikivutiwa naye sana, hata sauti yake ilikuwa ni ile kavu flani hivi, ambayo huwa napenda sana kuisikia masikioni mwangu, basi nikawa namtazama tu anavyoendelea kuimba huku nikijua kabisa alifanya vile kwa makusudi kama anayenipiga kijembe baada ya kusoma meseji zangu.
“Kumbe unajua kuimba vizuri hivyo, itabidi nikupeleke studio,” nilimchombeza, akacheka sana, tayari tulishafika maana konda alipaza sauti akisema hapo ndiyo mwisho wa gari, abiria wengine wakawa wanateremka lakini mimi nikajikuta nikipata uzito na kubaki nimekaa, naye hakuonesha kuwa na haraka sana, akawa amekaa akiwa ni kama anayenisubiri niinuke ili na yeye ainuke.
Ndani ya muda mfupi tu tayari tulishakuwa tumezoeana f’lani hivi, akili fulani ndani ya kichwa changu ikawa inaniambia ‘jaribu kutupia mistari’.
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 08



ILIPOISHIA:
“Kumbe unajua kuimba vizuri hivyo, itabidi nikupeleke studio,” nilimchombeza, akacheka sana, tayari tulishafika maana konda alipaza sauti akisema hapo ndiyo mwisho wa gari, abiria wengine wakawa wanateremka lakini mimi nikajikuta nikipata uzito na kubaki nimekaa, naye hakuonesha kuwa na haraka sana, akawa amekaa akiwa ni kama anayenisubiri niinuke ili na yeye ainuke.
Ndani ya muda mfupi tu tayari tulishakuwa tumezoeana f’lani hivi, akili fulani ndani ya kichwa changu ikawa inaniambia ‘jaribu kutupia mistari’.
SASA ENDELEA...

“Twende basi tushuke jamani,” alisema huku akinigusa begani, nikamgeukia nakumtazama, safari hii tukiwa tumesogeleana sana maana alishaanza kuinuka.
“Mbona unaniangalia hivyo mpaka mwenzako najisikia aibu,” alisema huku akijichekesha, nikaona huo ndiyo muda mzuri wa kutekeleza kile ambacho akili yangu ilikuwa ikinituma sana.
“Wewe ni mzuri sana, hivi mumeo huwa anakusifia kila siku kabla hujatoka nyumbani?” nilimwambia, akacheka kwa nguvu na kwa kuwa abiria wote walikuwa bize kuteremka kwenye gari, hakuna aliyemjali sana, nikasimama, na yeye akasimama kwani tayari abiria walikuwa wamepungua sana ndani ya gari.
“Umejuaje kama nina mume?” aliniambia huku akinitazama kwa macho ya bashasha.
“Mwanamke mrembo kama wewe utakosaje mume?” nilizidi kumchombeza, akazidi kufurahi. Miongoni mwa udhaifu mkubwa wa wanawake, huwa wanapenda sana kusifiwa na wajanja kama sisi tunaojua namna ya kuzifikisha hizo sifa zenyewe kwa staili ya kuchombeza, huwa inakuwa rahisi sana kuwanasa.

Hata mwanamke aweje, ukishaanza kumsifia tu, lazima atafurahi, hicho ndicho kilichotokea kwa mwanamke huyu ambaye kama nilivyoeleza, sikuwahi kumuona sehemu yoyote na asubuhi hiyo ndiyo kwanza tulikuwa tumekutana.
Niliposimama, nilitumia ujanja wa kiume wa kumpisha yeye ndiyo atangulie mbele, lengo langu lilikuwa ni kutaka kumtazama vizuri, hasa kwenye ‘plate numbe’ ambao kiukweli umekuwa ugonjwa sugu unaonisumbua.
Nilijikuta nikijishika mdomo kwa mshangao, kwa kuwa muda wote alikuwa amekaa wala sikuweza kumuona yupoje akisimama lakini kumbe alikuwa na umbo ambalo hakuna mwanaume yeyote aliyekamilika anayeweza kupishana naye halafu asigeuke!
Alikuwa amejaaliwa haswaa, nikazidi kuchanganyikiwa na ile nadhiri niliyokuwa nimejiwekea, ya kukaa mbali na mali za watu ikayeyuka kama bonge la mafuta kwenye kikaango.
“Dah! Shemeji atakuwa anafaidi kinoma, kumbe ndiyo umeumbika kiasi hicho,” nilimchombeza wakati akimalizia kushuka ngazi ya mwisho ya gari, alipokanyaga chini, ule mtikisiko ukasababisha ‘msambwanda’ nao utingishike kwa namna iliyoyapa raha ya kipekee macho yangu.
Alicheka na kunigeukia, akanipiga kakibao kepesi begani, tukawa tunatazama huku aibu za kikekike zikiwa zimemjaa usoni.
“Wewe umeniuliza mimi jina, mbona wewe hujaniambia unaitwa nani?”
“Hujaniuliza! Kwani unataka kunijua?” aliniuliza huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake. Nilichokigundua ni kwamba alikuwa anapenda sana kucheka na kufurahi na katika kipengele hicho, Mungu alikuwa amenipa kipaji cha aina yake maana usingeweza kukaa na mimi halafu usitabasamu au kucheka.
Basi aliniambia kwamba anaitwa Ruqaiya au mama Abdul, akaniambia kwamba anasimamia maduka mawili ya simu ya mumewe yaliyopo mtaa wa Aggrey Kariakoo na kwamba muda huo ndiyo alikuwa akienda kazini.
Sikupoteza muda, nilimwambia mimi ni mtaalamu wa masuala ya kompyuta lakini pia nilikuwa na ujuzi wa ‘kuzi-program’ simu, hasa hizi za kisasa zinapotoka kiwandani, akafurahi sana na kuniambia kwamba eti kukutana kwetu ulikuwa ni mpango wa Mungu.
“Naomba namba yako basi bosi!” nilimwambia, akawa mjanja katika hilo, akaniambia kwamba mimi nimtajie ya kwangu halafu yeye atanipigia.
Mbinu hii huwa inatumiwa sana na wanawake wajanja ambapo badala ya kukukatalia kukupa namba, anakwambia wewe ndiyo umpe halafu anazuga kama anaiandika kwenye simu, ukimpa mgongo tu anaifuta na huwezi kumpata tena, hasa katika mazingira kama yale niliyokutana nayo.
Nilimtajia namba yangu, akaiandika kwenye simu yake kisha akaniaga juu kwa juu huku akionesha kuwa na furaha sana, nilishindwa nifanye nini, nikawa namsindikiza kwa macho akitembea kwa maringo.
Alipopotea kabisa kwenye upeo wa macho yangu, harakaharaka na mimi niliendelea na hamsini zangu, nikakata mitaa na muda mfupi baadaye, tayari nilikuwa nimewasili kazini, nikapanda ngazi mpaka juu, wa kwanza kukutana naye alikuwa ni Salma.
Ofisi yetu jinsi ilivyo, unapoingia lazima upitie kwamba mapokezi kusaini kitabu cha mahudhurio kwa hiyo hakukuwa na namna ambayo ningeweza kumkwepa Salma. Aliponiona tu, alinitazama huku tabasamu pana likichanua kwenye uso wake, jambo ambalo siyo kawaida yake.
Kama nilivyoeleza awali, Salma alikuwa na sifa moja kubwa ya kununa muda mwingi na kutoa majibu ya hovyo kwa mtu yeyote hata pale unapomuuliza mambo muhimu ya kikazi.
“Mambo!” nilimsabahi huku na mimi nikijitahidi kuvaa tabasamu la uongo usoni. Hakunijibu zaidi ya kuendelea kujichekeshachekesha mwenyewe pale kwenye kiti cha kuzunguka alichokuwa amekalia.
Nilipomaliza kusaini, wakati nataka kwenda ofisini kwangu kuendelea na majukumu yangu, aliniita kwa jina langu halisi, nikamgeukia maana tayri nilishampa kisogo.
“Kwa hiyo unadhani ukipokea simu zangu nitanenepa sana au?” alisema huku akitoa bahasha kubwa aliyokuwa ameiweka chini ya meza yake. Nikiwa bado sijui nimjibu nini, alinikabidhi na kuniambia kwamba eti hiyo ni zawadi yangu, nikatabasamu na kumshukuru huku nikiwa na shauku ya kutaka kujua ndani yake kuna nini.
“Na ole wako usiwe unapokea tena simu zangu,” alisema huku akionesha dhahiri jinsi alivyokuwa na furaha ndani ya moyo wake.
Niliingia ofisini na kitu cha kwanza ilikuwa ni kufungua bahasha hiyo, nikajikuta natabasamu mwenyewe kwa furaha, alikuwa ameninunulia zawadi ya ‘boksa’ za kiume nzuri, ambazo eti alikuwa amezipulizia pafyumu yake anayojipulizia kila siku.
Nilichukua simu yangu na kumtumia meseji ya kumshukuru, hakujibu kwa wakati, ikabidi nianze kazi kwa sababu nilikuwa na majukumu mengi siku hiyo. Kuna kompyuta kadhaa za ofisi zilikuwa na matatizo na ilikuwa ni lazima nizitengeneze asubuhi hiyo ili kazi ziendelee.
Mara simu yangu ya mkononi ilianza kuita, kutazama namba ya mpigaji, nilishtuka kidogo baada ya kugundua kwamba ni bosi ndiyo alikuwa akinipigia, harakaharaka nikapokea.
“Shikamoo bosi,” nilimsalimia kwa adabu.
“Si nishakwambia hizo shikamoo zako sizitaki, una udogo gani wa kunipa shikamoo, unataka kunizeesha bure! Njoo ofisini kwangu haraka,” alisema Madam Bella kisha akakata simu. Harakaharaka nikaacha kila nilichokuwa nakifanya na kutoka kuelekea ofisini kwake.
Nilipoingia ofisini kwake, Madam Bella aliinuka kutoka pale alipokuwa amekaa na kuja mwilini, akanikumbatia kwa hisia huku akinibusubusu sehemu mbalimbali za mwili wangu.
“Ndiyo nini ulichonifanya jana? Yaani nimekuja kuzinduka saa moja jioni, najikuta nimebaki peke yangu ofisini,” alisema huku akiachia tabasamu pana, akanibusu tena mdomoni, safari hii kwa hisia kali zaidi.
“Leo sitaki ufanye kazi yoyote, kajiandae kuna mahali nataka twende tukapumzike,” alisema huku akinitazama kwa macho yaliyokuwa yamebeba hisia nzito za kimapenzi, nikajua kazi ninayo maana ukweli ni kwamba sikuwa nimepumzika hata kidogo tangu jana yake.
Nilimkubalia, nikatoka kwa lengo la kurudi ofisini kwangu kuweka vitu sawa kwa sababu tayari ilishaonekana hakuna kazi itakayofanyika tena, ile natoka kumbe Salma alikuwa amenifuata ofisini kwangu na kunikosa, tukakutana kwenye korido.
“Zawadi yangu hujaipenda?”
‘Kwa nini unasema hivyo Salma jamani, nimeipenda na nimekutumia meseji kukushukuru.”
“Muongo, halafu hata kama hujaipenda, ndiyo uiache juu ya meza jamani, yaani unataka nani aione? Sawa nashukuru sana Ashrafu, ahsante sana,”alisema huku akianza kulengwalengwa na machozi, ghafla macho yake yakatua kwenye shingo yangu.
“Mh! Hii lipstiki imetoka wapi? Halafu mbona kama unanukia pafyumu ya...” kabla hata hajamalizia alichotaka kukisema, wote tulishtuka baada ya kusikia mlango wa bosi ukifunguliwa, macho yake yakatua moja kwa moja kwangu mimi na Salma aliyekuwa akiendelea kunikagua pale kwenye korido.
Madam Bella hakusema lolote zaidi ya kusimama, akawa anatutazama huku akionesha kushtuka sana kutokana na hali aliyotukuta maana Salma alikuwa amepeleka mkono wake shingoni kwangu kwa lengo la kunikagua ile aliyosema mwenyewe lipstiki, kwa hiyo mazingira yalionesha ni kama tulikuwa tumekumbatiana.

Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE- 9
ILIPOISHIA:
Madam Bella hakusema lolote zaidi ya kusimama, akawa anatutazama huku akionesha kushtuka sana kutokana na hali aliyotukuta maana Salma alikuwa amepeleka mkono wake shingoni kwangu kwa lengo la kunikagua ile aliyosema mwenyewe lipstiki, kwa hiyo mazingira yalionesha ni kama tulikuwa tumekumbatiana.
SASA ENDELEA...
“Yaani badala ya kufanya kazi iliyowaleta mna kazi ya kukumbatiana kwenye korido! Hivi mna akili kweli nyie?”
“Hapana Madam, nilikuwa namsaidia kumfuta madoa ya lipstiki kwenye shati lake, hebu angalia mwenyewe,” alisema Salma kwa namna ya kujihami sana.
“Lipstiki? Sasa lipstiki kwenye shati lake wewe inakuhusu nini?”
“Nisamehe Madam!”
“Ile cheki niliyokupa umeshaipeleka uhasibu?”
“Hapana bosi, ndiyo nilikuwa na...”
“Salma! Kuwa makini, kama kilichokuleta ni kazi, fanya kazi. Na wewe Ashrafu, unatakiwa kuheshimu kazi ninayokupa, yaani mimi nakutuma kitu halafu badala ya kwenda kufanya nilichokwambia unaanza kufanya mambo yako mengine.”
“Nisamehe bosi,” nilisema huku nikijitahidi kuvaa uso ambao hautamfanya Salma ashtukie chochote. Kweli hilo lilifanikiwa, Madam Bella alitoa amri ya kila mmoja kuendelea na kazi zake, harakaharaka Salma akapita mbiombio na kuelekea uhasibu na mimi nikaondoka haraka kuelekea ofisini kwangu.
Sikukaa sana, niliweka kila kitu changu vizuri, nikatoka mpaka pale mapokezi, nikamdanganya Salma kwamba kuna kazi bosi amenituma nje ya ofisi kwa hiyo natoka, akanijibu kwa kutingisha tu kichwa akionesha kutokuwa na furaha.
Nadhani kitendo cha kufokewa na bosi mbele yangu kilimkasirisha sana, akawa hataki hata kunitazama. Aliitikia kwa kutingisha kichwa, nikateremka kwenye ngazi harakaharaka kwa lengo la kumfanya mtu yeyote asijue kwamba natoka na bosi.
Nilipofika chini nilimuuliza kama nimsubiri pale chini au la, akanijibu kwa meseji kwamba nipande Bajaj tutakutana Mnazi Mmoja.
Kwa kuwa mfukoni nilikuwa na vihela kidogo, sikutaka kupoteza muda, nilikalia Bajaj na muda mfupi baadaye tayari nilikuwa Mnazi Mmoja, nikakaa kituoni kumsubiri bosi huku muda wote nikigeuka huku na kule kuangalia kama hakuna mtu yeyote aliyekuwa ananijua.
“Pipii! Pipiii,” honi iliyopigwa taratibu pembeni yangu ndiyo iliyonishtua kutoka kwenye mawazo ya hofu niliyokuwa nayo. Sijui kwa nini sikuwa nataka watu wajue kwamba natoka na Madam Bella, nilipogeuka nilikutana uso kwa uso na bosi akiwa kwenye gari lake la kifahari, Toyota Lexus, akashusha kioo na kunipa ishara kwamba na mimi niingie.
Niliingia na kukaa siti ya nyuma lakini akaniambia natakiwa kukaa naye mbele. Sikuwana namna, nilishuka na kufungua mlango wa mbele, nikaingia na kuufunga harakaharaka. Kwa bahati nzuri gari lake lilikuwa na vioo vya giza (tinted), nikawa na uhakika kwamba hakuna tena mtu ambaye angetuona.
Aliondoa gari taratibu, akawa anageuka na kunitazama akionesha kuwa na dukuduku ndani ya moyo wake, na mimi nikajikausha maana nilishajua kwamba kitendo cha kunikuta na Salma pale koridoni hakukifurahia kabisa.
“Unatoka na Salma si ndiyo?”
“Aah! Hapana bosi, umewahi kuniona au kuhisi chochote zaidi ya leo?”
“Kwa nini mlikuwa mmekumbatiana?”
“Hatukuwa tumekumbatiana, alikuwa ananishangaa kwa nini nina lipstiki kwenye nguo ndiyo na wewe ukatokea, si unaona alama za lipstiki yako hizi,” nilisema huku nikijitahidi kumgeuzia kibao, ionekane yeye ndiye aliyekosea kunibusu wakati anajua amepaka lipstiki inayoacha alama.
“Hebu tuone,” alisema huku akinigeukia, safari hii ule ‘usiriasi’ ukiwa umepungua, kweli kulikuwa na alama ya lipstiki kwenye shati langu, basi akacheka sana na kuendelea kuendesha gari, muziki laini ukawa unapiga ndani ya gari sambamba na kipupwe cha nguvu, nikawa najihisi kama nipo kwenye dunia nyingine.
“Kwani nyumbani kwako unaishi na nani?”
“Naishi peke yangu bosi.”
“Unajua nataka kupumzika maana jana nilichoka sana lakini sitaki kwenda hotelini, unajua watu tunaoheshimika kama sisi, ukionekana tu hotelini, hasa na mtu wa jinsia nyingine tofauti ni rahisi watu kukuhisi vibaya,” alisema bosi lakini moyoni nikawa sijauafiki kabisa uamuzi wake.
Hadhi ya bosi ilikuwa si ya kwenda naye Tandale hata kidogo, kama nilivyosema kuanzia mwanzo, japokuwa alikuwa mwanamke wa makamo, alikuwa na uzuri fulani hivi wa aina yake ambao huwezi kuuona kwa urahisi kwa wanawake wanaotokea familia za kawaida.
Nilijaribu kutoa visingizio vingi lakini bado alishikilia msimamo wake, akawa ananiambia kwamba nisimchukulie ‘kiivyo’ kwa sababu kabla ya kupata mafanikio aliyokuwa nayo, amewahi kuishi kwa msoto wa nguvu.
“Cha msingi tupate sehemu salama ya kupaki gari, mengine hayo wala usijali! Au hujafua mashuka nini?” alinitania, tukacheka kwa nguvu. Aliniambia kwamba anataka kabla hatujafika kwangu, tupitie kwanza sokoni kununua mahitaji yote muhimu kwa sababu anataka eti akanipikie chakula ambacho sijawahi kula sehemu yoyote.
Sikuwa na namna, nilikubali kila alichokuwa akikisema, tukapitia Manzese ambapo tulinunua mazagazaga kibao, tukaenda moja kwa moja mpaka Mtogole, nikamuelekeza sehemu nzuri ya kupaki gari ambapo hakuna kibaka anayeweza kuiba ‘saiti mira’ wala ‘pawa windo’.
Mimi ndiyo nilikuwa wa kwanza kuteremka kwenye gari, nikashuka na vifurushi vya mazagazaga kibao, basi bosi naye alipoteremka, watu karibu wote eneo hilo waliacha kila walichokuwa wakikifanya na kumtolea macho.
Kwa jinsi mwonekano wake ulivyokuwa, alikuwa kiumbe adimu kwenye mazingira kama hayo, basi tukakatiza vichochoro huku kila mtu akiendelea kutushangaa kwa sababu bado ilikuwa ni asubuhi na hatimaye tukawasili nyumbani.
Kwa bahati mbaya, wakati tunafika, mke wa mwenye nyumba ambaye tumezoea kumuita mama Ababuu, alikuwa akifua nguo zake uani, tena kiti chake akiwa amekiweka karibu kabisa na mlango wangu.
Siku zote nilikuwa namheshimu sana mama Ababuu na sikuwahi kumuonesha tabia zozote mbaya, nikaona kitendo cha mimi kuingia na Madam Bella ‘magetoni’, kingemfanya anione kama mtu wa ajabu sana kwa sababu kulikuwa na tofauti kubwa ya kimwonekano na kimwili kati yangu na Madam Bella.
Nilijikaza kiume, nikamsalimu na kufungua mlango huku Madam Bella akishangaa mazingira ya pale, nikamkaribisha ndani ambapo kama ilivyokuwa kwa Nancy, alipoingia tu, alinisifu kwamba chumba changu ni kizuri sana, basi nikamshukuru na kumkaribisha sana.
“Unanikaribishaje hivyo?” alisema huku akitanua mikono yake kama anayesema ‘njoo unikumbatie’. Basi na mimi nilifanya kama alivyotaka, nikaenda na kumkumbatia kwa nguvu, muda mfupi baadaye midomo yetu ilikuwa imegusana, hata sijui nini kilitokea, nilishtukia tu tayari tukiwa kwenye uwanja wa fundi seremala, mara mlango ukagongwa kwa nguvu.
“Ngo! Ngo! Ngooo!”
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE -10

ILIPOISHIA

“Unanikaribishaje hivyo?” alisema huku akitanua mikono yake kama anayesema ‘njoo unikumbatie’. Basi na mimi nilifanya kama alivyotaka, nikaenda na kumkumbatia kwa nguvu, muda mfupi baadaye midomo yetu ilikuwa imegusana, hata sijui nini kilitokea, nilishtukia tu tayari tukiwa kwenye uwanja wa fundi seremala, mara mlango ukagongwa kwa nguvu.

“Ngo! Ngo! Ngooo!”

SASA ENDELEA...

“Nani tena huyo jamanii,” alisema Madam Bella huku akionesha kukasirishwa sana na kitendo cha mtu huyo kugonga. Niliamka, nikajifunga taulo na kusogea mlangoni, nikafungua kidogo na kuchungulia nje.

“Hivi unajua kwamba ni zamu yako kununua umeme?”

“Ooh! Kumbe zamu yangu imeshafika? Ok, naomba basi nikupe pesa umuagize hata mtoto akanunue.”

“Mtoto gani? Hakuna mtu hapa nyumbani, kama unavyojua wakienda shuleni nabaki peke yangu, hebui nenda kanunue kwa sababu utakatika sasa hivi, tafadhali tusije tukagombana bure,” mama mwenye nyumba alisema huku akiwa ameshika kiuno.

Haikuwa kawaida yake kuzungumza na mimi kwa namna hii, siku zote tulikuwa tukihheshimiana na kama kuna jambo lolote, alikuwa akiniambia kwa ustaarabu lakini siku hiyo alikuwa amebadilika.

Nilibamiza mlango na kurudi ndani, huku nikiwa nimepanda na jazba. Kwa alichokisema, maana yake alikuwa anataka niache kila nilichokuwa nakifanya eti nikanunue umeme, ambao kwanza hata haukuwa umekatika.

Kama hiyo haitoshi, asubuhi hiyo wakati naondoka aliniona sana lakini hakuniambia chochote kwa hiyo kama nisingerudi ingekuwaje? Niliona kama ameamua kunifanyia visa kwa makusudi ili kuniharibia mambo yangu.

“Vipi tena baba’angu,” alisema Madam Bella huku akinishika mkono kwa upole na kunirudisha uwanjani, nikamweleza kilichotokea.

“Usijali, kwani shilingi ngapi?”

“Siyo kwamba hela sina, ninayo lakini asnataka eti nikanunue sasa hivi.”

“Mimi sijakuuliza kama hela unayo au huna jamani mume wangu, mbona unakuwa hivyo,” alisema Madam Bella kwa sauti fulani hivi tamu sana iliyokuwa inatokea kwenye matundu ya pua zake.

Nilipomjibu kwamba ni shilingi elfu tano, aliniambia nisijali, anazo pesa kwenye simu yake kwa hiyo tuendelee na yetu tukimaliza nitampa namba ya luku halafu atanunua. Maelezo yake kidogo yalinifariji na kunirudisha mchezoni.

Haukupita muda mrefu, kipyenga kilipulizwa kuashiria kuanza kwa mpambano wa kukata na shoka, Madam Bella akionesha kukamia sana kuibuka na ushindi wa mapema. Kama kawaida yangu, mpira ulipoanza nilimuacha kwanza atawale mchezo katika dakika za mwanzo.

Kama ilivyokuwa jana yake, Madam Bella alikuwa na pupa sana mchezoni, hata sijui alikuwa na matatizo gani. Alikuwa akicheza kwa kubutuabutua mpira, ilivyoonesha alichokuwa anakitaka ilikuwa ni ushindi wa mapema tu, moyoni nikawa najisemea kwamba hanijui vizuri.

Akiwa ameshaanza kujichokea kutokana na papara zake, nilianza kumuonesha maujuzi kama yale ya mesi, nikawa nakokota mpira kwenye ‘chaki’, nilianza kwa kasi ndogo lakini nikawa naongeza kasi kadiri muda unavyosonga mbele, akawa anapiga ukelele uliozidi kunipa hamasa ya kuendelea kuonesha uwezo.

Nilimpiga chenga dabodabo, nikampiga kanzu na kupiga danadana nyingi na baadaye nilianza kufumua mashuti ya nguvu, haikuchukua muda, akapiga kelele kwa nguvu na kunikaba kama wacheza mieleka, akadondoka pembeni huku akiwa anatetemeka kama amepigwa na shoti ya umeme! Nilikuwa nimemuweza kisawasawa.

“Ngo! Ngo! Ngo,” mlango uligongwa tena, safari hii kwa nguvu zaidi. Nikainuka pale nilipokuwa nakuchukua tena taulo langu lakini ilibidi nijifute kwanza maana kijasho chembamba kilikuwa kikinitoka, nikafungua mlango na kuchungulia.

“Ina maana nilichokwambia umeona hakina maana au? Kwa nini unakuwa na dharau kiasi hicho Ashrafu? Kwa nini unanidharau kiasi hiki? Au kwa kuwa mimi ni mwanamke,” alisema mama mwenye nyumba kwa sauti ya kutia huruma sana huku macho yake yakibadilika rangi na kuwa mekundu.

Sikuelewa kwa nini amekuwa na hali hiyo, nikashindwa hata nimjibu nini.

“Mimi sitaki kugombana na wewe, naomba ufanye nilichokwambia,” alisema huku akigeuka, akawa anatembea lakini mwendo wake haukuwa ule niliozoea kumuona, ulibadilika na hata nguo aliyokuwa ameivaa, kidogo ilinifanya nitatizike lakini nikahisi kwamba huenda ni kwa sababu alikuwa akifua.

Nilibaki nimeganda namtazama, akapiga hatua kadhaa na kugeuka, macho yangu na yake yakagongana, harakaharaka nikabamiza mlango maana nilijisikia aibu sana hasa ukizingatia jinsi nilivyokuwa namheshimu.

“Kwa nini ametembea vile huku akiwa amevaa khanga moja tu, halafu kwa nini alipofika mlangoni kwake akageuka? Ina maana alijua lazima nitamtazama? Lakini huyu mama mwenye nyumba mbona ananitafutia matatizo?” akili zangu zilikuwa zimehama, nikijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu pale kitandani.

Madam Bella alikuwa akikoroma, hajiwezi kwa chochote. Kwa sababu mama mwenye nyumba alinisisitiza sana, na Madam Bella alikuwa amelala, niliona ni bora nitoke nje nikanunua umeme mara moja ili nisizidi kumkwaza mama mwenye nyumba.

Nilivaa pensi na singendi, nikachukua shilingi elfu tano kwenye akiba yangu na kutoka nje. Ilibidi nikamgongee mama mwenye nyumba kwa sababu sikuwa na namba ya luku.

“Pita ndani,” alisema, akionekana ni kama kuna kazi alikuwa akiifanya.

Sikuwa na mazoea ya kuingia ndani kwa mwenye nyumba wangu na nakumbuka mara ya mwisho niliingia nilipoenda kulipa kodi ya nyumba tu, kwa hiyo kitendo cha yeye kuniambia niingie kilikua ni zaidi ya mtihani kwangu.

“Ashrafu, ingia tu usiogope,” alisema, nikapiga moyo konde na kuingia. Alikuwa amekaa sebuleni, kwenye kochi la kulala akionesha kuwa na uchovu sana.

“Samahani mama, nilikuwa naomba namba ya luku nikanunue umeme,” nilisema kwa adabu huku nikikwepa sana macho yangu na yake yasigusane maana hata pale kwenye kochi penyewe, alikuwa amelala kihasara sana.

“Ingia hapo kwenye chumba cha watoto, angalia juu ya meza utaona karatasi tulilonunulia umeme mara ya mwisho,” alisema huku akinitazama kwa macho yaliyokuwa yamebeba ujumbe ambao ulikuwa mgumu sana kwangu kuuelewa.

Nilifuata maelekezo yake, nikaingia kwenye chumba cha watoto wake! Kimaisha mama mwenye nyumba na mumewe walikuwa wamejipanga sana kwa sababu hata hicho chumba cha watoto chenyewe kilikuwa si cha masihara, kulikuwa na kitanda kikubwa cha futi sita kwa sita na kabati la nguo pamoja na meza ya kujisomea.

Hiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia kwenye chumba hicho, nikawa napepesa macho huku na kule nikishangaa mandhari badala ya kuangalia kilichonipeleka.

“Vipi umeona,” nilishtuka baada ya kusikia sauti ya mama mwenye nyumba, nyumba yangu. Kumbe alikuwa ameamua kunifuata kule chumbani, nilipogeuka, macho yangu na yake yaligongana, safari hii sikuwa na uwezo wa kumkwepa tena, tukawa tunatazama.

Licha ya umri wake kuwa mkubwa, mama mwenye nyumba alikuwa akipenda sana mambo ya ujana maana nyusi zake alikuwa amezitinda na kupaka wanja na kwa mbali alikuwa amepaka lipstiki fulani hivi kama zile wanazopenda wadada wengi wa mjini.

Muda mfupi nilipozungumza naye alipokuja kunigongea kwa mara ya kwanza, wala hakuwa amejipamba hivyo usoni, nikajikuta nimevutiwa kuendelea kumtazama.

“Kwani ulikuwa unamfanya nini yule mgeni wako? Mbona alikuwa anapiga sana kelele?” aliniuliza swali lililonifanya nijisikie sana aibu, nikiwa najiuliza nimjibu nini, nilishtukia akipeleka mkono wake ‘ikulu’, akamshika Ashrafu wangu na kushtuka kidogo, hata sijui nini kilimshtua.

Katika hali ambayo sikuitegemea, nilishtuka akipeleka kwenye kifundo cha ile khanga nyepesi aliyokuwa amejifunga, sijui alifanya nini bwana, ikadondoka chini nzimanzima, macho yangu yakatua kwenye kiota cha huba cha mama mwenye nyumba, japokuwa nilikuwa nimetoka kukimbia mbio ndefu, kitendo kile kilinifanya niwe kama mwendawazimu.

“Njoo hu...ku na...mi...mi alisema kwa sauti ya kukatakata, akanivuta kwa nguvu, tukadondokea kwenye kile kitanda cha watoto wake.

Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE- 11 ILIPOISHIA:
Katika hali ambayo sikuitegemea, nilishtuka akipeleka kwenye kifundo cha ile khanga nyepesi aliyokuwa amejifunga, sijui alifanya nini bwana, ikadondoka chini nzimanzima, macho yangu yakatua kwenye kiota cha huba cha mama mwenye nyumba, japokuwa nilikuwa nimetoka kukimbia mbio ndefu, kitendo kile kilinifanya niwe kama mwendawazimu.
“Njoo hu...ku na...mi...mi alisema kwa sauti ya kukatakata, akanivuta kwa nguvu, tukadondokea kwenye kile kitanda cha watoto wake.
SASA ENDELEA...
“Na mimi nataka!”
“Lakini... laki...ni,” nilijaribu kuleta upinzani kidogo lakini hata sijui nini kilitokea, nilishtukia tu tayari tupo ndani ya dimbwi la huba lenye kina kirefu, ili nisizame nililazimika kuanza kupiga mbizi, huwezi kuamini mama mwenye nyumba alianza kutoa miguno ya hapa na pale akionesha kuburudika mno.
Haikuwa hiyari yangu kufanya yale niliyokuwa nayafanya kwa sababu nilikuwa najua madhara ya kutoka na mke wa mtu lakini kama hiyo haitoshi, huyo hakuwa tu mke wa mtu bali kiumri pia alikuwa amenizidi sana, kiheshima alikuwa ni mama yangu mdogo kabisaa!
Yote tisa, kumi ni kwamba alikuwa ni mke wa mzee niliyekuwa namheshimu sana, ambaye ndiye aliyekuwa baba mwenye nyumba wangu. Sikuwahi kudhani ipo siku naweza kumkosea adabu mzee huyo kwa kumfanyia mchezo kama huo mkewe, lakini ndiyo hivyo, tayari nilikuwa kwenye mtego hatari.
Kiukweli licha ya ‘Ashrafu’ kuwa katika uimara wake, mnara ukisoma 4G, sikuwa nimerelax kwa kile kilichokuwa kikiendelea, nikawa najihisi kuwa na hatia kubwa ndani ya moyo wangu.
Licha ya hayo yote, mama mwenye nyumba yeye wala hakuwa na habari, alikuwa akiendelea kujisevia kwa nguvu zake zote huku miguno ya hapa na pale ikizidi kuongezeka kadiri muda ulivyokuwa ukizidi kuongezeka.
‘Uchawi’ uliojificha kwenye kamchezo ka sanaa ya kikubwa, mnapocheza ligwaride halafu mwenzako akawa anatoa migumo, basi anakuwa ni kama anakuchochea!
Hivyo ndivyo ilivyotokea kwa mama mwenye nyumba, ukelele wake ulianza kubadilika na kuwa wimbo mtamu masikioni mwangu, nikajikuta na mimi nikianza kuvutiwa na mchezo japokuwa awali sikuwa nimeupenda.
Basi ikawa patashika nguo kuchanika, usingeweza kuamini kwamba mimi ndiye ambaye muda mfupi uliopita nilikuwa nikimtoa chozi la utamu Madam Bella aliyekuwa amepitiwa na usingizi, akikoroma chumbani kwangu baada ya shughuli pevu.
Kutokana na uchu aliokuwa nao mama mwenye nyumba, niliona kama tukiendelea anaweza kunimaliza nguvu zote halafu nikashindwa kumalizana na Madam Bella ambaye alikuwa ameniahidi kwamba siku hiyo atashinda na mimi, tupike na kupakua pamoja.
Niliamua kutumia silaha zangu za maangamizi, ni hapo ndipo nilipoukumbuka mtindo wa Kenge Mzee niliokuwa napenda sana kuutumia kwenye mechi ngumu kama hizo ili kupata ushindi wa haraka kwa sababu ilionesha mwenzangu alishanogewa na sasa alichokuwa akikifanya ni kuizungusha nyonga yake kama anayecheza ngoma ya Kimakonde huku akiendelea kutoa miguno ya hapa na pale, macho yake akiwa ameyafumba kabisa.
Nilimkatisha mama mwenye nyumba kile alichokuwa akikifanya, akawa mgumu kidogo kunielewa nilichokuwa nataka kukifanya, alihisi nataka kumharibia alichokuwa anakifanya, akaning’ang’ania kwa nguvu huku akilalama. Ilibidi nitumie nguvu, nikamuelekeza kwa vitendo nilichokuwa nataka akifanye, kweli akafanya, nikajiweka sawa na kuanza kutumia mtindo huo wa Kenge Mzee.
Miguno aliyoanza kuitoa safari hii ilikuwa ya tofauti na ya mwanzo maana alikuwa ni kama anataka kufumbua mdomo na muda huohuo anataka kuufumba, akawa ni kama anataka kupiga chafya na kuzungumza kwa wakati mmoja, kwa hiyo kilichokuwa kikisikika ilikuwa ni kelele za kama mtu anayetapatapa kwenye maji akitaka kukata roho.
Kiukweli hata mimi mwenyewe nilijua kwamba nimemuweza kwani alipaparika kwa dakika chache na muda mfupi baadaye akatangaza kuiona theluji iliyopo juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro, akapiga yowe kubwa kisha akawa anapaparika kama kuku aliyekatwa kichwa, akadondokea pembeni na kutulia kimya. Kutokana na mazingira hayo, nilifanya hima kuchomoka, nikapitia kwanza bafuni ambapo nilijiwagia maji kwa wingi maana nilikuwa nimelowa kwa jasho kama mbeba magunia wa sokoni Kariakoo.
Nikiwa bafuni, nilisikia mlango wa chumba changu ukifunguliwa, nikashtuka na kuchungulia kupitia uwazi uliopo dirishani, nikagundua kwamba alikuwa ni Madam Bella. Alikuwa amejifunga taulo langu, akatoka huku akipiga miayo na kuingia kwenye choo kingine kilichokuwa tupu.
Harakaharaka nilitoka na kurudi ndani, nikachukua taulo lingine lililokuwa kabatini, nikajifuta na kubadilisha nguo, zile nilizotoka nazo kwa mama mwenye nyumba nikaziweka kwenye tenga la nguo chafu, nikajipulizia manukato kwa mbali na kujilaza kwenye sofa huku feni ikinipepea kwa nguvu.
“Mume wangu, ulikuwa wapi,” Madam Bella aliniuliza baada ya kurejea kutoka maliwato na kunikuta nikiwa nimejilaza pale sebuleni, nikitazama runinga.
“Nilienda kununua umeme mke wangu,” nilimjibu na kumbusu mdomoni kwa lengo la kumpoteza maboya, naye akanibusu na kuniambia kwamba eti nimemvuruga sana mpaka anahisi mwili wote unauma utafikiri alikuwa akibeba mawe.
Tulicheka kwa pamoja, akaniuliza swali ambalo lilinishtua sana, aliniuliza kwamba niliponunua umeme nimempaje mama mwenye nyumba? Akili za haraka zikanituma kwamba lazima kuna kitu atakuwa amekishtukia lakini kwa kuwa nilikuwa fundi wa kucheza na akili za wanawake, nilijua namna ya ‘kumtengeneza’.
“Nimemtumia kwenye meseji maana nimefika hapo nagonga mlango naona kimya, nahisi anaweza kuwa ametoka.”
“Mh! Mama mwenye nyumba ndiyo yule tuliyemkuta akiwa anafua hapa?”
“Ndiyo huyohuyo!” nilimjibu Madam Bella huku nikiwa makini macho yangu na yake yasikutane kwani angeweza kugundua kitu kama angenitazama ndani ya macho yangu.
“Mbona mtu mzima lakini hajiheshimu?”
“Kwa nini unasema hivyo?”
“Yaani alikuwa na mumewe wanafanya yao, sasa anavyopiga kelele utasema kuna mtu anachinjwa huko ndani,” alisema Madam Bella huku akicheka, na mimi nikacheka sana huku nikiwa bado nakwepesha macho yangu.
Alichokuwa akikisema kilinifanya niogope sana ndani ya moyo wangu, nikawa nafikiria kama kweli alisikia, maana yake lazima kuna watu wengine wamesikia pia lakini baba mwenye nyumba hakuwepo nyumbani muda huo na kulikuwa na uwezekano kwamba atakuwa amesafiri maana alikuwa na kawaida ya kusafiri kwenda Mtwara alikokuwa akimiliki mashamba makubwa ya korosho.
Basi nilimzugazuga pale tukabadilisha mada, tukawa tunazungumza ya kwetu ambapo aliniambia kwamba eti hajawahi kukutana na mwanaume kama mimi maishani mwake, akaniambia eti anataka nimuoe niwe mumewe ili tuishi pamoja!
“Njaa inaniuma mke wangu, nipikie kwanza mumeo nile,” nilimwambia maana kiukweli sikuwa na malengo yoyote ya kuwa naye.
Basi alinibusu na kuanza kuandaa chakula, akiwa ndani ya khanga moja tu! Kiukweli Madam Bella alikuwa kifaa cha nguvu haswaa, nikawa nayaburudisha macho yangu kwa kumfuatilia kila alipokuwa akiinuka na kutembea, akichukua kifaa hiki na kile kwa ajili ya mapishi.
Naye ni kama alijua kwamba namtazama maana alikuwa akijitingisha kwa makusudi, sijui nini kilitokea bwana, Ashrafu akachachamaa tena baada ya kuchoshwa na visa vya Madam Bella, japokuwa tayari alishabandika mboga kwenye jiko la gesi na alikuwa akikaribia kuanza kuziunga, nilimfuata na kumshika mkono, nikamkumbatia kimahaba na haukupita muda, tukawa tumegusanisha ndimi zetu, tukielea kwenye ulimwengu wa huba.
Hakutaka nipate tabu, alinipeleka mpaka kwenye uwanja wa fundi seremala, akapitisha mkono kwa hivi, ile khanga yake ikadondoka, akahamia kwangu na kuzitoa zote, kwa upole akamshika ‘Ashrafu’ na kumuonesha njia ya kupita.
“Ashrafu! Ashrafu! Hodi wenyewe...” mlango uligongwa, nikashtuka sana baada ya kuitambua sauti ya aliyekuwa akipiga hodi kuwa ni Nancy.
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE 12 ILIPOISHIA:
Hakutaka nipate tabu, alinipeleka mpaka kwenye uwanja wa fundi seremala, akapitisha mkono kwa hivi, ile khanga yake ikadondoka, akahamia kwangu na kuzitoa zote, kwa upole akamshika ‘Ashrafu’ na kumuonesha njia ya kupita.
“Ashrafu! Ashrafu! Hodi wenyewe...” mlango uligongwa, nikashtuka sana baada ya kuitambua sauti ya aliyekuwa akipiga hodi kuwa ni Nancy.
SASA ENDELEA...
“Mungu wangu!”
“Vipi?”
“Huyo anayepiga hodi.”
“Amefanyaje?”
“Hata sijui nikueleze vipi unielewe! Unaweza kunisaidia kitu? Naomba utoke ukamwambie kwamba sipo, akikuuliza wewe ni nani mwambie ni mama yake mdogo umetokea Zanzibar,” nilisema huku nikitetemeka maana kulikuwa na kila dalili kwamba hatimaye naenda ‘kugonganisha matreni’.
“Hivi wewe unanifanya mimi mtoto si ndiyo?”
“Hapana Madam, wala siyo hivyo! Fanya kwanza halafu nitakufafanulia ni nini kilichotokea, utacheka mwenyewe,” nilimseti, akanitazama usoni kama anayetaka kupata uhakika kuhusu jambo fulani kisha kinyonge aliamka na kujifunga upande wa khanga, akaenda kufungua mlango.
“Shikamoo!”
“Marahaba hujambo?”
“Sijambo, samahani nilikuwa namuulizia kaka Ashrafu.”
“Hayupo, ameenda kazini! Wewe ni nani?”
“Naitwa Nancy, ni rafiki yake tulisoma wote. Basi akija utamwambia namtafuta naona nampigia simu hapokei. Wewe n nani yake?”
“Mimi! Usijali utanijua siku nyingine,” nilimsikia Madam Bella akimjibu Nancy kwa sauti isiyo rafiki kisha akabamiza mlango kwa nguvu na kumuacha Nancy akiwa bado amesimama pale nje.
Nadhani baadaye aliamua kuondoka kwa sababu nilisikia vishindo vyake akiondoka, nikainuka na kwenda kuchukua simu yangu ambayo tangu nifike nilikuwa nimeiweka kwenye chaji. Kulikuwa na ‘missed calls’ na meseji kibao lakini kabla hata sijaangalia ni nani aliyenipigia au kunitumia meseji, Madam Bella tayari alikuwa ameshafika.
Hakutaka kuzungumza chochote na mimi lakini usoni alionesha kuwana hasira, sijui alihisi nini huko nje, nikawa namsubiri aanze kunihoji. Hata hivyo, hakunihoji chochote, alichokifanya ilikuwa ni kuangusha ule upande wa khanga pembeni, kile ambacho Nancy alikivuruga kikaanza upya.
Tofauti na mara ya kwanza, safari hii alionesha ni kama amenikamia kwa sababu kwanza uso alikuwa ameukunja na hata namna alivyokuwa akitandaza soka, rafu zilikuwa nyingi na alikuwa akitumia nguvu kwa makusudi.
Nilichokigundua ni kwamba alikuwa na hasira lakini kwa kuwa alikuwa akihitaji huduma yangu ya ‘ufundi wa kompyuta’, aliamua kupiga ndege wawili kwa jiwe moja, yaani apate huduma lakini wakati huohuo pia anioneshe hasira zake.
Wale waliosema hasira za mkizi furaha kwa mvuvi hawakukosea, nilijiweka katika ‘engo’ fulani hivi ili amalize vizuri hasira zake, basi akawa anabutua mashuti ya nguvu, wakati mwingine ananilima daruga kwa makusudi, mimi nikatulia mchezoni.
Nikawa naendelea kumjibu kwa pasi murua na mashuti ya hapa na pale, chenga za maudhi na wakati mwingine nikawa nakimbia na mpira kwenye chaki. Yeye aliendelea kupiga mashuti ya nguvu na mimi nikawa namkabili vilivyo, taratibu zile ndita alizokuwa amekunja kwenye uso wake zikaanza kufutika, akafumba macho halafu akawa ni kama anataka kupiga chafya na kucheka kwa wakati mmoja.
Hata sijui nini kilitokea, alinibana kifuani kwa nguvu, akawa ni kama ananibusu kwenye kifua changu cha mazoezi mara nikashtukia amening’ata kwa nguvu huku akipiga yowe kama mtu aliyeibiwa mkoba na simu yake Kariakoo.
Nilijisikia maumivu makali pale kifuani lakini nikajikaza kiume, akawa anatetemeka kama aliyepigwa na shoti ya umeme na safari hii alianza kuangua kilio huku akilitaja jina langu, muda mfupi baadaye akadondokea pembeni akiwa hajitambui.
Kama nisingewahi kukikaza kifua changu huenda pale aliponing’ata angeniumiza sana lakini aliishia kuniachia alama. Haukupita muda mrefu akaanza tena kukoroma! Nilichokigundua kwa Madam Bella, hakuwa na stamina kabisa, yaani akishakwea mpaka juu ya mnazi na kuangua dafu, basi alikuwa akiishiwa kabisa nguvu na kupitiwa na usingizi mzito.
Ni hapo jdipo nilipopata muda wa kuchukua simu yangu na kuangalia ni nani na nani waliokuwa wakinipigia. Nilishtuka kugundua kwamba miongoni mwa watu walionipigia sana simu, alikuwa ni Nancy lakini pia Salma naye alikuwa amenipigia.
Mbali na kunipigia, Nancy kumbe alikuwa amenitumia na meseji, kwa ilivyoonesha ni kama alianzia kazini kwa sababu kulikuwa na meseji aliyoniambia kwamba nipo hapa nje tulipokuwa tumekaa jana, njoo mara moja! Meseji zilikuwa nyingi na kumbe mpaka anakaribia pale nyumbani alikuwa akinitumia meseji na kunipigia bila majibu yoyote.
Huwa nina kawaida ya kuiweka simu yangu ‘silent’ kwa hiyo ni mpaka niwe nayo mkononi ndipo ninapoweza kugundua kama kuna mtu ananipigia, nikishaiweka pembeni tu, basi kila kitu kinaharibika.
“Mwanaume muuaji sana wewe! Yaani kumbe unaishi na jimama kwako ndiyo maana hata simu zangu hupokei?” meseji mpya iliingia kwenye simu yangu, nikashtuka kidogo maana ilikuwa inatoka kwa Nancy.
“Sasa leo siondoki, nitakusubiri hapa kwako hata kama ni mpaka usiku wa manane, nipo hapa dukani,” meseji nyingine iliingia kutoka kwa Nancy, nikashusha pumzi ndefu na kuanza kutafakari nini cha kufanya.
Shughuli za mapishi zilikuwa zimesimama kwanza, Madam Bella akawa anaendelea kukoroma kwa nguvu. Nilichokifikiria ni kwamba lazima nimtengenezee mazingira Madam Bella aondoke zake maana niliona kama ananikosesha uhuru.
Sikutaka kwenda naye kwa pupa, nilimuacha apumzike wakati mimi nikiwa nimejilaza kwenye kochi nikiendelea kutafakari namna ya kumpanga Nancy mpaka anielewe. Nilijua nitakapomtumia meseji yoyote, lazima atapiga na mazingira niliyokuwepo nisingeweza kupokea simu yake. Nilifikiria kutoka na kwenda kuzungumza na simu nje lakini kwa kuwa alishaniambia kwamba yupo hapohapo jirani, ningeweza kukutana naye na kukosa majibu ya kumpa, nikaona njia nzuri ni kuuchuna.
Basi dakika chache baadaye, Madam Bella aliamka, akajizoazoa na kuja pale nilipokuwa nimejilaza, akanikumbatia na kunibusu huku akionesha bado kuwa na usingizi mzito.
“Utaniua mwenzio ujue,” alisema kichovu, wote tukacheka. Nilimwambia kwamba njaa inaniuma kwa hiyo amalizie kupika, alichinijibu kilinifanya nicheke tena.
“Siwezi hata kusimama, utamalizia mwenyewe kupika.”
“Sasa tutakula nini?”
“Kanunue hata chipsi, siwezi kufanya chochote,” alisema huku akinibusu tena. Akaniambia kwamba eti nimemuudhi sana kwa sababu inaonekana pale kwangu wasichana wengi huwa wanakuja.
“Hapana, hawa ni marafiki tu! Wewe kwanza ni shahidi kwamba muda mwingi huwa nakuwa kazini, sasa huwa wanakuja saa ngapi?” nilianza kumtengeneza kwa maneno laini.
Katika suala zima la maneno matamu nilikuwa najijua mwenyewe, kweli nilifanikiwa kumfanya Madam Bella aniamini mno, zile hasira zake zikaisha na sasa tukawa tunapiga stori za hapa na pale, tukifurahi na kucheka lakini yeye akionesha bado kuwa na uchovu wa hali ya juu.
Bado akilini mwangu nilikuwa nawaza nitamtoaje? Bado sikuwa na majibu, nilimpigia simu muuza chipsi ambaye nilikuwa nimezoeana naye, ambaye nikiwa nahitaji chakula huwa nampigia tu halafu ananiletea. Nilimuagiza chipsi kuku mbili na soda kisha nikakata simu, tukawa tunasubiri chakula kije.
“Hivi leo siku gani?”
“Kwa nini unauliza kwa mshtuko namna hiyo?”
“Mungu wangu, nilikuwa nimesahau kwamba leo mjomba ndiyo anakuja kutoka mkoani.”
“Mjomba?”
“Ndiyo, kaka yake mama anakuja kutoka mkoani kwa hiyo inatakiwa nikampokee Ubungo.”
“Sasa ulisahau vipi? Jiandae basi nitakupeleka na gari,” alisema Madam Bella, akawa amenizidi ujanja, niliona mbinu hiyo haiwezekani tena. Hata hivyo, sikutaka kuonekana kama nina njama zangu nyuma ya pazia, nilienda kuoga na muda mfupi baadaye, naye alienda kuoga.
Harakaharaka huku nyuma nilipata wazo, nilichukua simu yangu na kumpigia Nancy. Nilijisikia vibaya sana kumkosea msichana huyu mrembo kwa hiyo nikawa naangalia namna ya kurekebisha makosa.
“Uko wapi?”
“Niko hapa dukani nakusubiri.”
“Sasa sikia, mama mdogo kapata dharura anasafiri, jiandae nitakuelekeza mahali tunapoweka funguo ukapike nyumbani, sawa?”
“Sawa baby!” aliitikia huku akionesha kufurahishwa sana na nilichokisema.
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE- 13
ILIPOISHIA:
“Uko wapi?”
“Niko hapa dukani nakusubiri.”
“Sasa sikia, mama mdogo kapata dharura anasafiri, jiandae nitakuelekeza mahali tunapoweka funguo ukapike nyumbani, sawa?”
“Sawa baby!” aliitikia huku akionesha kufurahishwa sana na nilichokisema.
SASA ENDELEA...
Muda mfupi baadaye, tayari tulikuwa tumeshamaliza kujiandaa, tukatoka na mimi nikafunga mlango, Madam Bella akawa anajinyoosha na kupiga miayo akionesha kuchoka sana.
Baada ya kufunga mlango, funguo niliiweka chini ya ndoo iliyokuwa na mti wa antenna, Madam Bella akanitazama kwa mshangao.
“Mbona unaweka funguo hapo? Ukiibiwa je?”
“Naogopa kutembea nazo maana naweza kuzipoteza ikawa balaa, kuna siku nimewahi kuzipoteza bado kidogo nilale nje, si unaona mlango wenyewe wa chuma huo,” nilimzuga Madam Bella. Kumbe wakati yote hayo yakiendelea, mama mwenye nyumba alikuwa amesimama dirishani kwake akituchungulia.
Sijui nini kilinituma nigeukie kule kwenye dirisha lake, macho yangu na yake yakagongana na katika hali ambayo sikuitegemea, nilishtukia akinikonyeza na kunipiga busu la mbali, harakaharaka nilikwepesha macho yangu maana Madam Bella angeweza kunishtukia.
Tulitoka na kuelekea mpaka pale alipokuwa amepaki gari lake, tukiruka mitaro na madimbwi ya maji machafu, si unajua tena mitaa ya kwetu tandale, wenyeji watakuwa wananielewa ninachokisema.
Njia nzima nilikuwa natafuta njia ya kumkwepa madam Bella kwa sababu licha ya kumseti kwamba nakwenda Ubungo kumpokea mgeni, ukweli ni kwamba hakukuwa na mgeni yoyote isipokuwa nilikuwa nataka kumtoa kijanja ili Nancy aingie.
Unajua kuna kipindi katika maisha, hasa ukiwa kwenye hatua ya ujana, unafanya mambo ambayo baadaye ukikaa mwenyewe na kuyatafakari kwa kina, unashindwa hata kuamini kama ni wewe.
Yaani ndani ya siku moja, tena bado asubuhi kabisa tayari nilikuwa nimewavuruga Madam Bella na mama mwenye nyumba, tena kisawasawa na sasa nilikuwa natengeneza mazingira ya kuwa na Nancy, ungeweza kudhani kwamba ninaongozwa na jini mahaba!
“Umejua kunimaliza! Wewe kivuruge wewe,” alisema Madam Bella huku akinipiga begani, tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake, akanibusu kimahaba na kuwasha gari, nikawa nachekacheka mwenyewe, akili yangu ikiwaza mambo mengine kabisa.
“Kuna kitu naomba nikwambie lakini tafadhali usikasirike,” alisema Madam Bella, nikamgeukia na kumtazama usoni wakati akihangaika kulitoa gari pale tulipokuwa tumelipaki.
“Kiukweli mimi nimechoka sana, sidhani kama nitaweza kuendesha gari mpaka Ubungo, isitoshe Barabara ya Morogoro inakuwa bize sana, tusije kuingia kwenye uvungu wa lori bure, naomba kama hutajali nipeleke mpaka kwangu halafu nitakuachia gari ukawapokee wageni,” alisema Madam Bella kwa msisitizo.
Moyoni nilijisikia furaha sana, bado kidogo nishangilie kwa sababu alikuwa amenirahisishia kazi lakini sikutaka kumuonesha, nikavaa uso wa ‘usiriasi’ na kujifanya nampa pole kwa uchovu, akacheka na kurudia kuniambia kwamba eti nimemuweza, tangu apate akili zake hajawahi kusulubiwa kama ilivyotokea siku hiyo.
“Yaani kama isingekuwa hao wageni wako, leo nilitaka tushinde kutwa nzima ndani tu, na hata usiku nisingeondoka, tungelala wote mpaka asubuhi,” alisema huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake.
Nilishindwa hata nimjibu nini kwa sababu nilijisikia furaha kwa mambo mengi, kwanza kwa mwanamke kama yeye, mzuri, mrembo, mwenye ‘mihela’ yake, kunisifia kwa kiasi kile halikuwa jambo la kawaida. Narudia kusisitiza kwamba licha ya umri wake kusogea, Madam Bella alikuwa mwanamke wa haja haswaa! Aliyeumbwa akaumbika.
Lakini pia nilijisikia vizuri kwa sababu malengo yangu ya kwenda kurekebisha makosa yangu kwa Nancy yalikuwa yakienda kutimia, najua alikuwa amekasirika sana lakini endapo ningepata muda wa kukaa naye, bila shaka angefurahi na kusahau maudhi yote.
Basi nilimwambia asijali sana, yeye akaniache barabarani ninapoweza kupata magari ya Ubungo halafu akapumzike kwa sababu hata kama angesema aniachie gari, ukweli ni kwamba sikuwa najua kuendesha.
Basi alikubaliana na mimi huku akinisisitiza kwamba eti nisikasirike, nikawa nampoza kwa kumwambia kwamba asijali, kila kitu kitakuwa sawa. Alinipeleka mpaka Sinza Kijiweni, akasimamisha gari na kufungua pochi yake, akatoa noti tano za shilingi elfu kumikumi, akaniambia zitanisaidia nauli na mahitaji ya ugeni na kuniambia kwamba nitakwama kwa chochote nisisite kumwambia.
Nilimshukuru sana, akanipiga busu mujarabu, tukaagana akaondoa gari lake na safari ya kuelekea kwake, Mikocheni ikaanza. Nilibaki nimesimama pale kituoni mpaka gari lake lilipopotea kabisa kwenye upeo wa macho yangu.
Kumbe wakati hayo yanaendelea, abiria wengine waliokuwa wakisubiri usafiri pale kituoni walikuwa wakituchora, nilipogeuka nyuma, wanawake watatu wakawa wananong’onezana na kucheka kimbea.
Sikutaka kupoteza muda kuwajali, niliingia kwenye Bajaj na kumuelekeza dereva sehemu ya kunipeleka. Tuliondoka eneo hilo na harakaharaka nilichukua simu yangu nakumpigia Nancy, iliita kidogo tu akapokea, nadhani na yeye alikuwa anasubiri simu yangu kwa shauku.
Nikamwambia kwamba aende pale kwangu, nikamuelekeza na sehemu ya kuchukua funguo, nikashusha pumzi maana sasa nilikuwa na uhakika wa kurekebisha mambo yote hasa ukizingatia kwamba siku hiyo nilikuwa na ruhusa maalum ya kutorudi tena kazini.
Wakati Bajaj ikiendelea kupasua lami, simu yangu ilianza kuita mfululizo, niliitoa na nilipotazama namba, sikuwa nimeisevu. Huwa nakuwa mgumu sana wa kupokea namba ambazo sijazisevu, nikabonyeza kitufe cha kutoa mlio na kuiweka mfukoni, safari ikaendelea.
Muda mfupi baadaye, simu ilianza tena kuita, kutazama namba ya mpigaji ilikuwa ileile, bado sikujisikia kuipokea, nikabonyeza tena kitufe cha kutoa mlio na kuiweka mfukoni.
Iliendelea kuita lakini sikusumbuka nayo tena, nikafika Tandale ambapo nilimlipa yule dereva wa Bajaj fedha zake kisha harakaharaka nikashuka na kuanza kukatiza vichochoro kuelekea nyumbani kwangu.
Kama kawaida yangu, nilipokaribia nilipitia dukani kwa Mangi na kununua ‘busta’ yangu. Nitakuja kufafanua kwa kina kuhusu hii ‘busta’ na jinsi ilivyokuwa inanifanya niwe na ‘stamina’ kubwa uwanjani kiasi cha kumudu kupiga mechi hata na watu wanne kwa siku bila kutetereka.
Nilipomalizana na Mangi, harakaharaka nilielekea nyumbani, nilipoingia tu, mama mwenye nyumba alinidaka juujuu!
“Kuna mtu ulimwambia aje kukufanyia usafi eti?”
“Ndiyo mama, si unajua tena nakosa muda wa kufanya usafi kwa sababu ya ubize wa kazi.”
“Huyu naye ni mpenzi wako si ndiyo?”
“Ha..ha..pana mama!”
“Sikia Ashrafu, nyumba yangu siyo gesti, haiwezekani wanawake wawe wanapishana, mara anaingia huyu, mara yule, sitaki! Nimesema sitaki unanisikia Ashrafu? Haya mtoe haraka kabla sijaingia mwenyewe kumtoa,” mama mwenye nyumba alibwata huku mishipa ya shingoni ikiwa imemsimama.
Nilipigwa na butwaa, iweje aniingilie kwenye mambo yangu binafsi? Lakini kama hiyo haitoshi, kama ishu ni kuonesha picha mbaya pale nyumbani, kwa nini asingeniita tukayazungumza taratibu? Lengo lake la kuniabisha mbele ya mgeni wangu lilikuwa ni nini?
Nilichokigundua ni kwamba alikuwa akilia wivu, tayari alishaanza kunipenda na hakutaka tena kuona mwanamke mwingine akiingia pale ndani! Haya mapenzi ni kitu cha ajabu sana. Basi kwa kuwa tayari nilishaelewa kilichokuwa kinamsumbua, wakati yeye anabwata nilijikaza kiume na kumkonyeza, nikamuona anaanza kubadilika.
“Sasa mama, kwa nini tusiende kuyazungumza ndani? Sidhani kama ni sawa kuwapa watu faida.”
“Wewe ndiyo unawapa watu faida, haya njoo huku, mimi sipendi kabisa tabia hizi,” alisema huku akitangulia ndani. Bado alikuwa amevaa vilevile kama nilivyomuacha, akatangulia ndani na mimi nikamfuata.
Tulipoingia tu ndani, harakaharaka alifunga mlango, akanikumbatia na kunibusu kimahaba.
“Kwa nini unakuwa na tabia mbaya kiasi hiki? Kwa nini unatuchanganya?”
“Lakini mama, huyu mimi ndiyo mchumba wangu wa kudumu, nakuomba sana usinifanyie hivi, nakuahidi hutamuona mtu mwingine tofauti na huyu akiingia,” nilimseti, akanibusu tena na bila kujibu kitu aliingiza mkono akamdaka ‘Ashrafu’, kufumba na kufumbua nikashtukia amemuibua kutoka kusikojulikana.
Kwa jinsi alivyotendewa ndivyo sivyo na mwenye nyumba, ‘Ashrafu’ alikasirika na kuvimba kwa hasira, mama mwenye nyumba akanitazama usoni huku akitabasamu, na mimi nikawa namtazama kwa jazba. Alinishika mkono na kuanza kunivutia kule eneo la tukio, nikawa namfuata kama kondoo anayepelekwa machinjioni, mara mlango ukagongwa kwa nguvu!
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE- 14

ILIPOISHIA:
Kwa jinsi alivyotendewa ndivyo sivyo na mwenye nyumba, ‘Ashrafu’ alikasirika na kuvimba kwa hasira, mama mwenye nyumba akanitazama usoni huku akitabasamu, na mimi nikawa namtazama kwa jazba. Alinishika mkono na kuanza kunivutia kule eneo la tukio, nikawa namfuata kama kondoo anayepelekwa machinjioni, mara mlango ukagongwa kwa nguvu!
SASA ENDELEA...
“Mama Abdul! Mama Abdul,” sauti ya mtu aliyekuwa akigonga mlango ilisikika. Ilikuwa ni sauti ya mwanamke, nikamuona mama mwenye nyumba akisonya kwa hasira, alinielekeza kwa ishara kwamba nikakae kitandani, akatoka na kwenda kufungua mlango.
Sijui alikuwa ni nani na walizungumza nini lakini sekunde chache baadaye, alirudi mbiombio, akautupiliambali upande wa khanga aliokuwa amejifunga na kunivamia mzima-mzima! Ilibidi kila kitu kifanyike harakaharaka kwa sababu niliogopa nikichelewa sana naweza kusababisha matatizo zaidi kwa Nancy.

Kwa kuwa tayari nilikuwa naujua udhaifu wa mama Abdul, mama mwenye nyumba wangu, kipyenga kilipopulizwa tu nilianza mashambulizi ya nguvu, licha ya mwili wake mkubwa, nilimvuruga kisawasawa na ndani ya muda mfupi tu, tayari alikuwa ameshakwea juu kabisa ya mnazi, akaangua dafu na kulipasua, akapiga ‘ukelele’ wa kufurahia maji ya dafu na kudondokea upande wa pili kama mzigo.
Sikutaka kupoteza muda, nilitinga magwanda yangu ‘fasta’ na kutoka, nikimuacha akiwa hana habari kutokana na mchakamchaka wa nguvu niliomkimbiza. Miongoni mwa sifa za kipekee nilizonazo, ni kwamba hata mwanamke awe mbishi kiasi gani, nikishamvuruga kisawasawa lazima apitiwe na usingizi.
Ili kupoteza ushahidi maana mwili wangu wote ulikuwa umelowa chapachapa kwa jasho, nilipitia kwenye mlango mdogo wa nyuma na kutoka nje kabisa, nikaenda mpaka mtaa wa pili na kuingia kwenye duka, nikanunua maji makubwa na kusogea pembeni, nikayagida huku mengine nikinawa usoni na kichwani.
Nilitafuta sehemu na kukaa chini ya mti, nikapigwapigwa na kaupepo mpaka mwili wangu uliporudi kwenye hali yake ya kawaida. Nikainuka na kuelekea kwangu, safari hii nilipitia geti la kawaida na kumbe wakati naingia, Nancy alikuwa akiniona.
“Kwani ulienda wapi tena?”
“Nilienda dukani.”
“Wewe si nilikuona umeingia kwa huyo mwenye nyumba wako?”
“Mbona nilitoka muda uleule, alikuwa anafoka si unajua hawa wameshika sana dini kwa hiyo hawapendi mambo ya kihuni kwenye nyumba yao,” nilimseti Nancy kama kawaida yangu, nikamuona akishusha pumzi ndefu huku akiwa amenikazia macho usoni.
“Kwani hapa ndani kwako ukiacha mimi na huyo unayesema ni mama yako mdogo, nani mwingine huwa anaingia?”
“Hakuna mwingine mpenzi wangu, ni mama mdogo na wewe tu na ndiyo maana leo alipokuona ameanza kunifokea,” nilizidi kumseti, nikashangaa anazidi kunikazia macho usoni.
“Hiyo hapo ni nini?” alisema huku akinioneshea kwa kidole kwenye kona ya kitanda. Ni hapo ndipo nilipoelewa ni kwa nini alikuwa akinitazama sana usoni, nikajikuta nimetahayari mno. Lilikuwa ni kufuli la Madam Bella, kumbe alipokuwa ameenda kuoga, alilifua na kuja kulianika pale bila mimi kujua chochote, nikajua ‘kimenuka’.
Eti na mimi nilijifanya kushangaa kama siamini nilichokuwa nakiona, nikalisogelea lile kufuli na kujifanya nalichunguza.
“Unanifanya mimi mjinga si ndiyo!”
“Hapana Nancy, inawezekana labda mama mdogo ameisahau wakati anaondoka.”
“Hivi unaniona mimi mtoto mdogo si ndiyo?”
“Kweli tena, si unaona kwanza bado mbichi kabisa, yawezekana zile haraka za kuondoka ndiyo akaisahau,” nilizidi kuutetea uongo wangu kwa nguvu zote, Nancy akawa ananitazama kwa macho makavu kama anayetamani hata kuninasa makofi.
“Hebu niambie ukweli, huyu ni mama yako mdogo kweli au mpenzi wako?”
“Kwa nini unakuwa unanihisi vibaya kiasi hicho Nancy? Mimi sina tabia hizo ambazo wewe umeaminishwa kama ninazo! Huyu ni mama yangu mdogo, siwezi kuwa na uhusiano na mwanamke aliyenizidi umri kiasi hiki.”
“Inawezekanaje aweke nguo zake kihasara kiasi hiki kwenye chumba cha mwanaye wa kiume?”
“Una tabia mbaya sana, ningejua upo hivi wala hata nisingekupa nafasi ya kuujua mwili wangu, najutaa,” alisema Nancy huku akionesha kutokuwa na hata chembe ya masihara.
Ilibidi niwe mpole, nikauvaa ule uso wangu wa huruma yaani kama vile nimeonewa sana. Nilichukua mfuko wa rambo na kulitia lile kufuli, nikalifunga na ili kuzidi kumuaminisha kwamba sina makosa, nililiweka juu ya kabati la nguo, nikatoka na kwenda kukaa sebuleni, nikawasha runinga na kuanza kutazama runinga.
Nilitaka apate muda wa kutulia kwanza lakini kubwa, na mimi nipate muda wa kupumzika maana kiukweli pilikapilika za Madam Bella na mama mwenye nyumba zilikuwa zimenichosha mno.
“Mbona nakupigia simu hupokei?” nilisoma meseji kwenye simu yangu. Ilikuwa inatoka kwenye ile namba iliyokuwa ikinipigia kwa muda mrefu tangu nikiwa kwenye Bajaj baada ya kumsindikiza Madam Bella.
Sikutaka kushughulika nayo, nikawa nimejilaza kwenye sofa nikiendelea kutazama muvi, akili yangu ikiwaza namna nitakavyoweza kumtuliza Nancy kwa sababu kiukweli picha lilikuwa limeungua.
Niliutumia muda huo kwenda bafuni kuoga, angalau nikaanza kujisikia vizuri, niliporudi niliendelea kujilaza palepale sebuleni, nikiwa nimejifunga taulo. Sijui nini kilitokea lakini nadhani kwa sababu ya uchovu, nilijikuta nikipitiwa na usingizi mzito palepale kwenye kochi.
Kilichonizindua kutoka usingizini, ilikuwa ni harufu ya pafyumu ya Nancy, kumbe alishakuja na kukaa pale pembeni yangu, mimi nikiwa sina habari. Niliinuka harakaharaka na kukaa vizuri, nikamtazama.
Alijifanya eti yuko bize kuangalia muvi ile niliyokuwa naiangalia mimi lakini tofauti na mwanzo, safari hii alikuwa amevua zile nguo alizokuja nazo na kujitanda upande wa khanga. Licha ya mimi kumtazama, yeye aliendelea kukazia macho kwenye muvi, ikabidi nijiongeze.
“Sijazoea kukuona ukiwa kwenye hali kama hii Nancy, na kitu usichokijua ni kwamba hata ukiwa umenuna, bado unaonekana mrembo sana,” nilimchombeza, akanigeukia na kunitazama usoni. Macho yake yalikuwa yamebadilika rangi na kuwa mekundu nadhani kwa sababu ya kulia wivu.
“Kama nimekukosea naomba sana unisamehe lakini nakuhakikishia hakuna jambo lolote baya nililolifanya, unanihisi vibaya tu,” niliendelea kumbembeleza, safari hii mkono wangu mmoja ukibarizi taratibu kwenye bega lake.
Akawa ananitazama tu bila kusema chochote, basi nilichokifanya, niliinuka na kumshika mkono, nikamuinua, akainuka bila kipingamizi, nikamshika kwa upole, tukaelekea chumbani. Hakuwa mbishi, akawa ananifuata kama kondoo anayepelekwa machinjioni.
Tulipoingia chumbani, niliendelea kumbembeleza kwa sauti ya upole na baada ya dakika kadhaa, alionesha kuanza kuelewa somo, akanikumbatiakwa nguvu huku akilia, akaniambia kwamba ananipenda sana kutoka ndani ya moyo wake, akaniomba sana nisirudie kumuumiza moyo wake.
Muda mfupi baadaye, tayari tulikuwa ‘msambweni’, kama kawaida yangu nikamvuruga kisawasawa kiasi cha kumfanya awe anaweweseka na kuzungumza maneno yasiyoeleweka. Niliutibu kisawasawa moyo wake kiasi cha kuufanya uso wake ambao awali ulikuwa na huzuni, ubadilike na kupambwa na tabasamu laini huku akiwa amefumba macho.
Ili kumdhihirishia kwamba sikuwa nimetoka kufanya jambo lolote baya, tulicheza ngwe zote mbili mfululizo bila kupumzika hata sekunde moja, hali iliyomfanya ajifunge mwenyewe langoni kwake kwa zaidi ya mara tatu mfululizo, akawa hoi bin taabani.
Muda mfupi baadaye, alikuwa akikoroma, usingizi mzito ukiwa umempitia, nikainuka na kwenda sebuleni na kujilaza palepale nilipokuwa nimelala mwanzo, nikaishika tena simu yangu na kukuta kuna meseji nyingine mbili kutoka kwa namba ileile.
“Kwani huyu ni nani?” nilijiuliza huku nikiipiga ile namba, ikaita kidogo kisha nikasikia imepokelewa upande wa pili, sauti nzuri ya kike ikasikika lakini ilionesha aliyepiga alikuwa kwenye kelele nyingi.
“Ashrafu!” aliniita, akionesha kuwa ananifahamu vizuri.”
“Ndiyo mimi, nani mwenzangu!” niliuliza kwa sauti ya chini, nikihofia Nancy asije akaamka kutoka usingizini na kunikuta tena nikizungumza na simu, tena na mwanamke.
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE- 15
ILIPOISHIA:
“Ashrafu!” aliniita, akionesha kuwa ananifahamu vizuri.”
“Ndiyo mimi, nani mwenzangu!” niliuliza kwa sauti ya chini, nikihofia Nancy asije akaamka kutoka usingizini na kunikuta tena nikizungumza na simu, tena na mwanamke.
SASA ENDELEA...
“Unanikumbuka?”
“Hapana! Nani mwenzangu?”
“Mimi mpenzi wako, kwani wewe una wapenzi wangapi mpaka usinijue?”
“Mh! Mpenzi wangu yupi?”
“Hahaaa! Nimeamini kweli wewe kivuruge, una wapenzi wengi mpaka unaniuliza mimi ni yupi? Basi mimi naitwa Ruqaiya wa Kariakoo, mpenzi wako mtarajiwa, ushan’fahamu,” alisema mwanamke huyo huku akicheka kwa raha, nikashusha pumzi ndefu baada ya kugundua kwamba kule alikuwa ni Ruqaiya, yule mwanamke mrembo niliyekutana naye kwenye daladala wakati naenda Kariakoo tukakaa naye siti moja.
Moyoni nilifurahi sana Ruqaiya kunipigia kwa sababu ndani ya moyo wangu nilikuwa najihesabia kwamba nimemkosa. Kitendo cha mimi kumuomba namba yake ya simu halafu akakataa na badala yake akataka mimi ndiyo nimpe, kwangu kilimaanisha kwamba nimefeli na nilishajihesabia kwamba nimemkosa.
“Mbona huongei? Limekushuka kivurugee, nimekubamba utamu,” alisema kwa mashauzi huku akiendelea kucheka kwa furaha. Nilishindwa kumjibu chochote kwa kuhofia kwamba Nancy anaweza kunisikia na kuja ‘kuniamshia dude’, nikainuka kwa kunyata na harakaharaka nikatoka mpaka nje.
“Kwa nini umenishtua namna hiyo Ruqaiya jamani,” nilisema nikiwa nyuma ya nyumba, sasa nikiwa na uhuru wa kuzungumza bila hofu ya kusikiwa na mtu yeyote.
“Nimekushtua na nini,” aliniuliza, sauti yake tamu ikawa inapenya mpaka ndani kabisa ya ngoma za masikio yangu, nikaanza kumseti kwa maneno ya kumtoa nyoka pangoni.
Nilimwambia kwamba sikutegemea kama anaweza kunipigia simu kwa hiyo kitendo cha yeye kunipigia muda huo, kilinifanya almanusra nidondoke na kuzimia kwa mshtuko kutokana na jinsi nilivyokuwa namzimikia.
Alicheka mpaka nadhani watu aliokuwa nao jirani wakawa wanamshangaa, hakuweza kuendelea kuzungumza kutokana na kicheko, simu ikakatwa.
Harakaharaka nilimpigia, akapokea huku akiwa bado anacheka, akaniambia eti amemisi vituko vyangu ndiyo maana amenipigia lakini anaomba nisiendelee kuziumiza mbavu zake kwa kicheko.
“Yaani hapa dukani kila mtu ananishangaa ninavyocheka,” alisema huku akikohoa, harakaharaka nikamuuliza kama naweza kuonana naye.
“Unataka kuonana na mimi? Akuu... unataka kunifanya nini?” alisema kwa kudeka, moyoni nikaanza kushangilia ushindi kwa sababu kwanza kitendo cha yeye kupiga simu na kujitambulisha kama mpenzi wangu, baadaye akabadilisha na kusema yeye ni mpenzi wangu mtarajiwa, achilia mbali swali lake hilo la kizushi, niliamini kwa asilimia mia moja kwamba tayari ameshaingia mwenyewe kwenye kumi na nane zangu.
“Nataka nikuone tu jamani, ujue nimesubiri sana simu yako, naomba nikuone leo kama hutajali! Kwani ukitoka kazini una ratiba gani?”
“Naenda zangu nyumbani, namuwahi mwanangu si unajua tena shemeji yako amesafiri kafuata mzigo Dubai kwa hiyo lazima niwahi nyumbani!”
Kauli yake hiyo ilikuwa ni ishara nyingine ya ushindi kwangu, nikaamua kumkomalia hasa baada ya yeye mwenyewe kuniambia kwamba mumewe eti alikuwa amesafiri. Niweke kumbukumbu vizuri, ni kweli nimeshawahi kula viapo vingi siku za nyuma kwamba kamwe siwezi kuangukia dhambini na mke wa mtu!
Tena nilijiwekea na mwiko kabisa lakini nilichokuja kugundua ni kwamba hakuna kitu kibaya kama kujiapiza. Ruqaiya alikuwa ni mwanamke ambaye hata sijui nielezee vipi sifa zake lakini kwa kifupi, uzuri wake ulitosha kabisa kunifanya nivunje viapo vyote nilivyowahi kujiwekea.
Unajua shetani akishakupanda kichwani, hata kama utaambiwa hii ni sumu usiilambe, wewe unaweza kutaka kujaribu uone kama utakufa kweli au laa! Kucheza na Ruqaiya ilikuwa sawa na kucheza na sumu hatari kwa sababu ilishasemwa kwamba mke wa mtu ni sumu, lakini ajabu ni kwamba eti nilijifanya sijali chochote, nikasahau kabisa viapo vyangu!
“Nakuomba sana, utakapotoka kazini unitafute kwa sababu nitakuwepo hukohuko Mtaa wa Aggrey, tafadhali sana naomba nikuone mwenzio,” nilimbembeleza sana Ruqaiya, hakutaka kunikatisha tamaa, jibu alilonipa ni kwamba nisubiri ataangalia kama atapata nafasi ya kuonana na mimi kisha akakata simu.
“Kwisha kazi yake!” nilijisemea huku nikionesha ishara kama ya mchezaji anayeshangilia bao zuri alilolifunga kwenye mechi ngumu, unautingisha mkono kwa nguvu na kuurushia kwa mbele! Kwa wale wacheza soka au mashabiki wazuri wa soka watakuwa wananielewa.
“Ulikuwa wapi?” sauti ya kichovu ya Nancy ilinipokea nilipochungulia tu mlangoni. Kumbe alishaamka na kutoka mpaka sebuleni lakini hakunikuta, akakaa pale nilipokuwa nimekaa, akiangalia muvi.
“Nilikuwa nimeenda hapo dukani mara moja,” nilisema kwa kujiamini, bila kumpa nafasi ya kuzungumza chochote, nikaanza kumpa pole kwa uchovu, alinitazama kwa macho yaliyojaa uchovu, akaachia tabasamu hafifu na kunilalia.
“Unajua nini ninachokihitaji ndiyo maana nakupenda, sijawahi kukutana na mwanaume kama wewe kwenye maisha yangu, nilikwambia na nitaendelea kukwambia Ashrafu, tafadhali naomba usinitese,” alisema kwa sauti ya kudeka, nikamkumbatia kwa upole na kuanza kumpa maneno matamu, nikimhakikishia kwamba mimi ni wake kwa hiyo asiwe na hofu.
Miongoni mwa sifa mbaya ambayo siwezi kujisifia mbele za watu, ni kwamba nilikuwa muongo sana kwenye mapenzi, na pengine hiyo ndiyo sifa iliyonifanya nifanikiwe kucheza sana na mioyo ya wanawake wengi, jambo ambalo siyo la kujivunia hata kidogo.
Basi nilimdanganyadanganya pale, kwa sababu ya jinsi nilivyomchosha, wala hakutaka tena mpambano uendelee kwa madai kwamba atakaporudi kwao, itakuwa rahisi kwa wazazi wake kumgundua kwamba ametoka sehemu mbaya.
“Hujaniambia kuhusu kilichotokea ulipochelewa kurudi nyumbani.”
“Ni stori ndefu, nitakueleza siku nyingine,” alisema Nancy huku akijilaza vizuri kifuani kwangu. Mara simu yake ilianza kuita, harakaharaka akainuka na kwenda kuichukua.
“Haloo baba! Ndiyo, niko njiani ndiyo nakwenda baba,” alisema kwa unyenyekevu, nikawa namtazama nikiwa na shauku kubwa ya kusikia anazungumzia nini. Alipokata simu, huku akionesha kutofurahishwa na simu hiyo, alinisogelea na kwa upole akaniambia:
“Samahani mpenzi wangu, ujue asubuhi baba alikuwa ameniagiza kwamba nikamchukulie dawa zake Muhimbili halafu yeye atamtuma mtu aje kuzichukua kazini kwangu, si nimesahau mwenzio.”
Sijui alitegemea kwamba nitakasirika baada ya kunieleza hivyo au ni vipi, lakini kwangu mimi hizo zilikuwa ni habari njema.
“Si utanisindikiza?”
“Hapana baby, naomba sana unisamehe kwa hilo, kazini nimedanganya kwamba naumwa, kitendo cha mimi kuonekana huko mitaani kinaweza kuniletea matatizo,” niliingizia uongo mwingine, akanielewa kwa haraka bila kipingamizi chochote.
Alinisogelea na kunibusu kimahaba, akarudia tena kunishukuru na kuniomba eti nisimfikirie vibaya kutokana na jinsi alivyokuwa na hasira mwanzo. Ili kuzidi kumuaminisha kwamba nampenda sana, nilimpelekea vitu vyote muhimu bafuni, akatoka na kwenda kuoga harakaharaka.
Alipomaliza alijiandaa, nikamtoa mpaka barabarani na katika zile fedha nilizopewa na Madam Bella, nilimchomolea shilingi elfu ishirini na kumpa.
“Hizi za nini?”
“Sitakusaidia nauli.”
“Kwani nimekwambia mimi sina nauli,” alisema Nancy huku akionesha dhahiri kutofurahishwa na kitendo cha mimi kumpa fedha.
Inaonesha kabisa malezi aliyolelewa Nancy yalikuwa tofauti mno, hakuwa mwepesi wa kupokea fedha kutoka kwangu, ikabidi kama nilivyofanya usiku ule nilipokuwa namlipia bodaboda, nimlazimishe, akapokea kwa shingo upande.
Basi tuliagana, harakaharaka nikarudi nyumbani, kucheki saa, tayari ilishagonga saa tisa na nusu alasiri, harakaharaka nikaingia bafuni na kujimwagia maji. Nilikuwa nimechoka sana lakini sikutaka kuipoteza bahati ya kwenda kuonana na Ruqaiya, basi nikajiandaa na muda mfupi baadaye, nikiwa nimependeza kisawasawa, nilitoka hadi barabarani.
Kwa kuhofia kuchelewa, niliamua kuchukua bodaboda mpaka Kariakoo, nikamlipa dereva hela yake na kujichanganya kwenye watu wengi, safari ya kuelekea Mtaa wa Aggrey anakofanyia biashara Ruqaiya ikaanza.
“Ashrafuu! Ashraafu!” sauti ya kike ambayo haikuwa ngeni masikioni mwangu ilisikika kutokea nyuma, kabla hata sijajua ni nani, nilijikuta nikikasirika kwa sababu tayari nilikuwa nimeshatoa simu kwa lengo la kumpigia Ruqaiya, kumweleza kwamba nilishafika.
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA TANDALE- 15
ILIPOISHIA:
“Ashrafu!” aliniita, akionesha kuwa ananifahamu vizuri.”
“Ndiyo mimi, nani mwenzangu!” niliuliza kwa sauti ya chini, nikihofia Nancy asije akaamka kutoka usingizini na kunikuta tena nikizungumza na simu, tena na mwanamke.
SASA ENDELEA...
“Unanikumbuka?”
“Hapana! Nani mwenzangu?”
“Mimi mpenzi wako, kwani wewe una wapenzi wangapi mpaka usinijue?”
“Mh! Mpenzi wangu yupi?”
“Hahaaa! Nimeamini kweli wewe kivuruge, una wapenzi wengi mpaka unaniuliza mimi ni yupi? Basi mimi naitwa Ruqaiya wa Kariakoo, mpenzi wako mtarajiwa, ushan’fahamu,” alisema mwanamke huyo huku akicheka kwa raha, nikashusha pumzi ndefu baada ya kugundua kwamba kule alikuwa ni Ruqaiya, yule mwanamke mrembo niliyekutana naye kwenye daladala wakati naenda Kariakoo tukakaa naye siti moja.
Moyoni nilifurahi sana Ruqaiya kunipigia kwa sababu ndani ya moyo wangu nilikuwa najihesabia kwamba nimemkosa. Kitendo cha mimi kumuomba namba yake ya simu halafu akakataa na badala yake akataka mimi ndiyo nimpe, kwangu kilimaanisha kwamba nimefeli na nilishajihesabia kwamba nimemkosa.
“Mbona huongei? Limekushuka kivurugee, nimekubamba utamu,” alisema kwa mashauzi huku akiendelea kucheka kwa furaha. Nilishindwa kumjibu chochote kwa kuhofia kwamba Nancy anaweza kunisikia na kuja ‘kuniamshia dude’, nikainuka kwa kunyata na harakaharaka nikatoka mpaka nje.
“Kwa nini umenishtua namna hiyo Ruqaiya jamani,” nilisema nikiwa nyuma ya nyumba, sasa nikiwa na uhuru wa kuzungumza bila hofu ya kusikiwa na mtu yeyote.
“Nimekushtua na nini,” aliniuliza, sauti yake tamu ikawa inapenya mpaka ndani kabisa ya ngoma za masikio yangu, nikaanza kumseti kwa maneno ya kumtoa nyoka pangoni.
Nilimwambia kwamba sikutegemea kama anaweza kunipigia simu kwa hiyo kitendo cha yeye kunipigia muda huo, kilinifanya almanusra nidondoke na kuzimia kwa mshtuko kutokana na jinsi nilivyokuwa namzimikia.
Alicheka mpaka nadhani watu aliokuwa nao jirani wakawa wanamshangaa, hakuweza kuendelea kuzungumza kutokana na kicheko, simu ikakatwa.
Harakaharaka nilimpigia, akapokea huku akiwa bado anacheka, akaniambia eti amemisi vituko vyangu ndiyo maana amenipigia lakini anaomba nisiendelee kuziumiza mbavu zake kwa kicheko.
“Yaani hapa dukani kila mtu ananishangaa ninavyocheka,” alisema huku akikohoa, harakaharaka nikamuuliza kama naweza kuonana naye.
“Unataka kuonana na mimi? Akuu... unataka kunifanya nini?” alisema kwa kudeka, moyoni nikaanza kushangilia ushindi kwa sababu kwanza kitendo cha yeye kupiga simu na kujitambulisha kama mpenzi wangu, baadaye akabadilisha na kusema yeye ni mpenzi wangu mtarajiwa, achilia mbali swali lake hilo la kizushi, niliamini kwa asilimia mia moja kwamba tayari ameshaingia mwenyewe kwenye kumi na nane zangu.
“Nataka nikuone tu jamani, ujue nimesubiri sana simu yako, naomba nikuone leo kama hutajali! Kwani ukitoka kazini una ratiba gani?”
“Naenda zangu nyumbani, namuwahi mwanangu si unajua tena shemeji yako amesafiri kafuata mzigo Dubai kwa hiyo lazima niwahi nyumbani!”
Kauli yake hiyo ilikuwa ni ishara nyingine ya ushindi kwangu, nikaamua kumkomalia hasa baada ya yeye mwenyewe kuniambia kwamba mumewe eti alikuwa amesafiri. Niweke kumbukumbu vizuri, ni kweli nimeshawahi kula viapo vingi siku za nyuma kwamba kamwe siwezi kuangukia dhambini na mke wa mtu!
Tena nilijiwekea na mwiko kabisa lakini nilichokuja kugundua ni kwamba hakuna kitu kibaya kama kujiapiza. Ruqaiya alikuwa ni mwanamke ambaye hata sijui nielezee vipi sifa zake lakini kwa kifupi, uzuri wake ulitosha kabisa kunifanya nivunje viapo vyote nilivyowahi kujiwekea.
Unajua shetani akishakupanda kichwani, hata kama utaambiwa hii ni sumu usiilambe, wewe unaweza kutaka kujaribu uone kama utakufa kweli au laa! Kucheza na Ruqaiya ilikuwa sawa na kucheza na sumu hatari kwa sababu ilishasemwa kwamba mke wa mtu ni sumu, lakini ajabu ni kwamba eti nilijifanya sijali chochote, nikasahau kabisa viapo vyangu!
“Nakuomba sana, utakapotoka kazini unitafute kwa sababu nitakuwepo hukohuko Mtaa wa Aggrey, tafadhali sana naomba nikuone mwenzio,” nilimbembeleza sana Ruqaiya, hakutaka kunikatisha tamaa, jibu alilonipa ni kwamba nisubiri ataangalia kama atapata nafasi ya kuonana na mimi kisha akakata simu.
“Kwisha kazi yake!” nilijisemea huku nikionesha ishara kama ya mchezaji anayeshangilia bao zuri alilolifunga kwenye mechi ngumu, unautingisha mkono kwa nguvu na kuurushia kwa mbele! Kwa wale wacheza soka au mashabiki wazuri wa soka watakuwa wananielewa.
“Ulikuwa wapi?” sauti ya kichovu ya Nancy ilinipokea nilipochungulia tu mlangoni. Kumbe alishaamka na kutoka mpaka sebuleni lakini hakunikuta, akakaa pale nilipokuwa nimekaa, akiangalia muvi.
“Nilikuwa nimeenda hapo dukani mara moja,” nilisema kwa kujiamini, bila kumpa nafasi ya kuzungumza chochote, nikaanza kumpa pole kwa uchovu, alinitazama kwa macho yaliyojaa uchovu, akaachia tabasamu hafifu na kunilalia.
“Unajua nini ninachokihitaji ndiyo maana nakupenda, sijawahi kukutana na mwanaume kama wewe kwenye maisha yangu, nilikwambia na nitaendelea kukwambia Ashrafu, tafadhali naomba usinitese,” alisema kwa sauti ya kudeka, nikamkumbatia kwa upole na kuanza kumpa maneno matamu, nikimhakikishia kwamba mimi ni wake kwa hiyo asiwe na hofu.
Miongoni mwa sifa mbaya ambayo siwezi kujisifia mbele za watu, ni kwamba nilikuwa muongo sana kwenye mapenzi, na pengine hiyo ndiyo sifa iliyonifanya nifanikiwe kucheza sana na mioyo ya wanawake wengi, jambo ambalo siyo la kujivunia hata kidogo.
Basi nilimdanganyadanganya pale, kwa sababu ya jinsi nilivyomchosha, wala hakutaka tena mpambano uendelee kwa madai kwamba atakaporudi kwao, itakuwa rahisi kwa wazazi wake kumgundua kwamba ametoka sehemu mbaya.
“Hujaniambia kuhusu kilichotokea ulipochelewa kurudi nyumbani.”
“Ni stori ndefu, nitakueleza siku nyingine,” alisema Nancy huku akijilaza vizuri kifuani kwangu. Mara simu yake ilianza kuita, harakaharaka akainuka na kwenda kuichukua.
“Haloo baba! Ndiyo, niko njiani ndiyo nakwenda baba,” alisema kwa unyenyekevu, nikawa namtazama nikiwa na shauku kubwa ya kusikia anazungumzia nini. Alipokata simu, huku akionesha kutofurahishwa na simu hiyo, alinisogelea na kwa upole akaniambia:
“Samahani mpenzi wangu, ujue asubuhi baba alikuwa ameniagiza kwamba nikamchukulie dawa zake Muhimbili halafu yeye atamtuma mtu aje kuzichukua kazini kwangu, si nimesahau mwenzio.”
Sijui alitegemea kwamba nitakasirika baada ya kunieleza hivyo au ni vipi, lakini kwangu mimi hizo zilikuwa ni habari njema.
“Si utanisindikiza?”
“Hapana baby, naomba sana unisamehe kwa hilo, kazini nimedanganya kwamba naumwa, kitendo cha mimi kuonekana huko mitaani kinaweza kuniletea matatizo,” niliingizia uongo mwingine, akanielewa kwa haraka bila kipingamizi chochote.
Alinisogelea na kunibusu kimahaba, akarudia tena kunishukuru na kuniomba eti nisimfikirie vibaya kutokana na jinsi alivyokuwa na hasira mwanzo. Ili kuzidi kumuaminisha kwamba nampenda sana, nilimpelekea vitu vyote muhimu bafuni, akatoka na kwenda kuoga harakaharaka.
Alipomaliza alijiandaa, nikamtoa mpaka barabarani na katika zile fedha nilizopewa na Madam Bella, nilimchomolea shilingi elfu ishirini na kumpa.
“Hizi za nini?”
“Sitakusaidia nauli.”
“Kwani nimekwambia mimi sina nauli,” alisema Nancy huku akionesha dhahiri kutofurahishwa na kitendo cha mimi kumpa fedha.
Inaonesha kabisa malezi aliyolelewa Nancy yalikuwa tofauti mno, hakuwa mwepesi wa kupokea fedha kutoka kwangu, ikabidi kama nilivyofanya usiku ule nilipokuwa namlipia bodaboda, nimlazimishe, akapokea kwa shingo upande.
Basi tuliagana, harakaharaka nikarudi nyumbani, kucheki saa, tayari ilishagonga saa tisa na nusu alasiri, harakaharaka nikaingia bafuni na kujimwagia maji. Nilikuwa nimechoka sana lakini sikutaka kuipoteza bahati ya kwenda kuonana na Ruqaiya, basi nikajiandaa na muda mfupi baadaye, nikiwa nimependeza kisawasawa, nilitoka hadi barabarani.
Kwa kuhofia kuchelewa, niliamua kuchukua bodaboda mpaka Kariakoo, nikamlipa dereva hela yake na kujichanganya kwenye watu wengi, safari ya kuelekea Mtaa wa Aggrey anakofanyia biashara Ruqaiya ikaanza.
“Ashrafuu! Ashraafu!” sauti ya kike ambayo haikuwa ngeni masikioni mwangu ilisikika kutokea nyuma, kabla hata sijajua ni nani, nilijikuta nikikasirika kwa sababu tayari nilikuwa nimeshatoa simu kwa lengo la kumpigia Ruqaiya, kumweleza kwamba nilishafika.
Je, nini kitafuatia?
 
KIVURUGE WA Tandalee- 16
ILIPOISHIA:
“Ashrafuu! Ashraafu!” sauti ya kike ambayo haikuwa ngeni masikioni mwangu ilisikika kutokea nyuma, kabla hata sijajua ni nani, nilijikuta nikikasirika kwa sababu tayari nilikuwa nimeshatoa simu kwa lengo la kumpigia Ruqaiya, kumweleza kwamba nilishafika.
SASA ENDELEA...
“He! Umefika saa ngapi huku?” alisema Nancy, nikajihisi kuishiwa nguvu, nikawa kama mdogo kama Piriton.
“Naongea na wewe Ashrafu, wewe si umekataa kunisindikiza ukanambia huwezi kutoka, imekuwaje tena?” aliniuliza Nancy akiwa amesimama mbele yangu, ikabidi nivue miwani ya jua niliyokuwa nimevaa, nikamtazama huku nikijifanya sina hofu hata kidogo.
“Mbona umepaniki mama, salamu kwanza jamani, kwani mimi na wewe tuna ugomvi?”
“Hapana, nataka unipe ufafanuzi kwanza, sikuelewi!”
“Nilipigiwa simu na bosi akaniambia kuna mtu natakiwa kuja kuonana naye haraka iwezekanavyo kwa sababu usiku wa leo anasafiri kwenda China na kuna mzigo wa kampuni inatakiwa akatuchukulie,” nilidanganya uongo mtakatifu, nikamuona Nancy akishusha pumzi ndefu na kunitazama usoni.
“Na wewe vipi umefikia wapi ishu yako? Umeshaenda kuchukua dawa?”
“Nimeenda ila kuna baadhi ya dawa nimekosa, nimeelekezwa nikajaribu kuangalia kwenye duka moja huku Kariakoo,” alijibu Nancy, ikabidi tusogee pembeni maana msongamano wa watu ulikuwa mkubwa sana kiasi kwamba hata maelewano yetu yalikuwa hafifu.
“Mbona umepaniki sana kuniona?”
“Aah, mi sikuelewi mambo yako ujue,” alisema Nancy kwa sauti iliyoonesha wazi kwamba wivu ulikuwa ukimtesa ndani ya moyo wake.
“Hapa umenikuta niko peke yangu umepaniki hivyo, ningekuwa na mwanamke si ndiyo ungenitafuna nyama kabisa,” nilimchombeza, akatabasamu, nikaendelea kumseti na baada ya dakika chache, tulikuwa tukipiga stori nyingine, akionesha kurudi kwenye hali yake ya kawaida.
“Sasa... naomba basi nikaonane na huyo mtu nisije nikachelewa bure halafu ukawa msala, maana kama bosi ameweza kuninyanyua wakati nilimwambia naumwa, ujue suala lenyewe ni la muhimu sana.”
“Twende wote!” alisema Nancy, akanichanganya kichwa kabisa, ilibidi nibadilike kidogo ili anielewe.
“Nakuomba mama nikaonane naye kwanza, wewe kama unaweza kanunue kwanza dawa halafu nikimaliza nitakupigia simu tuondoke pamoja.”
“Kweli? Isije kuwa unatafuta njia ya kuniacha kwenye mataa,” alisema akionesha kushtukia mchezo kwamba nilikuwa namdanganya, mara simu yangu ikaanza kuita. Kutazama namba ya mpigaji, alikuwa ni Ruqaiya.
“Tena huyo anapiga, please baadaye kidogo mpenzi wangu,” nilimsogelea na kumbusu kwenye paji la uso kisha nikageuka na kuondoka, nikamuacha amesimama palepale huku akionesha kutofurahishwa kabisa na kitendo cha mimi kukataa kuongozana naye.
Japokuwa nilikuwa nimefanikiwa ‘kumtoka’, nilibaki na wasiwasi kwamba huenda akaamua kunifuatilia na kuniharibia mipango yangu. Nilipofika mbele niligeuka na kumtazama, nikamuona akigeuka na kuendelea na ratiba zake, nikashusha pumzi ndefu na kubonyeza kitufe cha kupokelea simu ambayo ilikuwa ikiendelea kuita.
Tayari nilikuwa nimechelewa kwani ilishakata, harakaharaka nikapiga namba ya Ruqaiya, muda huohuo akapokea.
“Uko wapi?”
“Nipo Kariakoo naelekea Mtaa wa Aggrey,” nilijibu, akaonesha kushtuka kidogo.
“Mbona una haraka hivyo? Mi nilikupigia simu nikajua bado uko kwenu Tandale kumbe ushafika?” alisema kwa sauti yake ya masihara, akanielekeza kwamba niende mpaka Mobile Plaza atamtuma mtu aje kunipokea.
Nilienda mpaka kwenye jengo hilo lenye sifa ya kipekee ya kuuza simu za kisasa ghorofa zima, sambamba na vifaa vingine vya kielektroniki, nilipofika mlangoni, nikiwa nashangaashangaa, nilimuona kijana mmoja mdogo wa kiume, akiwa amevalia fulana iliyoonesha ni mfanyakazi kwenye moja kati ya maduka ya simu kwenye jengo hilo.
“Wewe ndiyo Anko Ashrafu?”
“Ndiyo mimi, mambo vipi?”
“Fresh, nimetumwa na bosi nije kukupokea, twen’zetu,” alisema kijana huyo mchangamfu, basi tukaongozana mpaka ghorofani, tukaingia kwenye duka kubwa la simu na vifaa vingine vya kielektroniki.
Kwa mbali nilimuona Ruqaiya akiwa bize na wateja, yule kijana akanionesha sehemu ya kukaa, sikutaka kuonesha shobo kwa Ruqaiya kwa sababu niligundua kwamba kumbe hakuwa mwanamke wa kawaida kama ambavyo nilimfikiria mwanzo.
Unajua mwanzo aliponiambia anasimamia duka la simu la mumewe, nilitegemea kwamba ni yale maduka ya kawaida kama yaliyojaa Mtaa wa Aggrey kumbe ilikuwa tofauti kabisa.
Duka lilikuwa kubwa, tena la kisasa likiwa na vifaa vya mamilioni ya fedha, simu kalikali na juu kulikuwa na runinga kubwa kama tatu hivi, zote zikiwa zimeunganishwa na kuonesha kitu kimoja, nikajikuta nikiingiwa na hofu ndani ya moyo wangu.
Nikiwa bado naendelea kushangaashangaa, nilishtukia nikiletewa glasi ya juisi na mfanyakazi mwingine wa kike, akaniambia eti bosi amesema nisiwe na wasiwasi anamalizia kufunga mahesabu, nilimshukuru na kuinua shingo kumtazama Ruqaiya, akatabasamu na kunikonyeza kiaina, mwili mzima ukanisisimka.
Nilichokuwa nakifikiria ndani ya kichwa changu, ni kwamba Ruqaiya atakaponipa nafasi, nitahakikisha natumia uwezo na maarifa yangu yote kumfurahisha kwa sababu hakuwa mtu wa mchezomchezo. Basi nilitulia pale kwenye sofa nilipokaa, nikawa naendelea kunywa juisi taratibu huku uwezo wangu wa kujiamini ukizidi kupotea.
Ruqaiya alikuwa na kila kitu, mzuri, tena mzuri haswaa, halafu mambo safi. Japokuwa siku zote nilikuwa naamini kwamba bosi wangu, Madam Bella yuko vizuri, kwa Ruqaiya alikuwa hafui dafu.
Basi baada ya kama dakika kumi hivi, Ruqaiya alikuja mpaka pale nilipokuwa nimekaa, yule kijana aliyekuja kunipokea akiwa amembebea mkoba wake. Aliponikaribia, nilimuona kabisa kwamba alikuwa amejawa na bashasha lakini hakutaka watu wengine ndani ya duka hilo waelewe chochote kilichokuwa kinaendelea kati yetu, basi na mimi nikaenda naye sawa.
“Shikamoo bosi!” nilimsalimia kwa adabu, akaitikia kwa uchangamfu huku akinipa mkono, akionekana kujikaza kuzuia kicheko.
“Mbona umechelewa mimi nimeshafunga? Itabidi uje kesho mapema,” alisema huku akinikonyeza kijanja, nikaenda naye sawa tena kwa kumuomba radhi kwa kuchelewa, nikamuahidi kwamba kesho nitawahi asubuhi na mapema.
“Huyu ni ‘patner’ wetu kibiashara, siku nyingine hata kama sipo akija ahudumiwe vizuri,” alisema Ruqaiya kwa sauti ya mamlaka, wafanyakazi zaidi ya sita mle dukani wote wakaitikia na kunikaribisha sana.
Basi aliwaaga, tukatoka dukani na kuingia kwenye lifti mpaka chini, akampokea mkoba yule mfanyakazi na kumwambia wakaendelee na kazi, tukatoka nje kabisa ya jengo hilo, karibu wafanyabiashara wote walikuwa wakimchangamkia Ruqaiya, basi tukaenda mpaka kwenye maegesho ya magari, akabonyeza rimoti yake aliyokuwa ameishika mkononi, gari moja likapiga king’ora na kuwasha taa kisha zikazima.
Sikuamini macho yangu, lilikuwa ni gari la kifahari sana, Jeep Grand Cherokee la rangi ya fedha, likiwa na vioo vyenye ‘tinted’ nzito, akanionesha ishara kwamba nizunguke upande wa pili, akaingia kwenye usukani na kukaa, na mimi nikaingia na kukaa.
Kabla hajawasha gari alitazama huku na kule, alipohakikisha hakuna aliyekuwa akitutazama kutokea upande wa mbele maana pembeni kulikuwa na vioo vya ‘tinted’, alijisogeza kidogo pale kwenye siti aliyokuwa amekaa, akanibusu, tena mdomoni! Nikashtuka kama nimepigwa na shoti ya umeme.
“Umenifurahisha sana jinsi ulivyoonesha adabu mbele ya wafanyakazi wangu, nilijua utaleta mambo yako ya ajabu,” alisema huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake.
“Haya nambie, si umeshaniona? Roho yako imeridhika?” swali lake ni kama lilinizindua kutoka kwenye dimbwi la hisia tamu, nikaishia kujichekesha huku nikishindwa kabisa kuzuia tamaa za fisi zilizokuwa zimenijaa.
Akanivutia tena kwake na safari hii, hakunibusu tu, bali tuligusanisha ndimi zetu, nikawa ni kama nimepigwa na shoti ya umeme.
Je, nini kitafuatia?
 
Back
Top Bottom