Chizan Brain Amtoa Shimoni Lord Eyez!

Chizan Brain Amtoa Shimoni Lord Eyez!

King Kong III

Platinum Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
62,593
Reaction score
94,358
Umofia Kwenu wana JF,
Msanii aliyetamba miaka ya 2005 na kundi la Nako 2 Nako lord eyes amegongesha taya na watangazaji wa E.A radio kupitia segment ya Nyunyuzi kwamba next week anaachia ngoma kali ambayo imetayarishwa na producer wa weusi chizan The Brain.
~Ikumbukwe kwamba Lord Eyes yupo kwenye mapito ya kashfa nyingi za wizi na utumiaji wa madawa ya kulevya ambapo ikafikia kipindi kutoswa ndani ya kundi la weusi.
 
Safi jamaa namkubali

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Safi jamaa namkubali

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Jamaa alikuwa tyt sana kwenye Bang Bang na Hawatuwezi,ngoja tusubiri chizan brain atavyomrudisha kwenye game.
 
Unaukubali na unga anaobwia?

Sometimes mateja ni watu a kuhurumiwa na si kuwabeza na kuwacheka kwani ukweli ni kwamba wanatamani kuacha lakini si rahisi kama unavyovikiria wewe. Wengi wamebaki kuwa victims of drug-lords wanaojitajirisha kwa kuuwa vijana bila huruma.
Na sababu zinazowafanya watu kuingia kwenye drug use ziko tofauti, wala usije na comment kwamba ni mambo ya kujitakia. Siku mdogo wako au mwanao akifikia hatua ya kuwa addicted ndo utajua.
 
Sometimes mateja ni watu a kuhurumiwa na si kuwabeza na kuwacheka kwani ukweli ni kwamba wanatamani kuacha lakini si rahisi kama unavyovikiria wewe. Wengi wamebaki kuwa victims of drug-lords wanaojitajirisha kwa kuuwa vijana bila huruma.
Na sababu zinazowafanya watu kuingia kwenye drug use ziko tofauti, wala usije na comment kwamba ni mambo ya kujitakia. Siku mdogo wako au mwanao akifikia hatua ya kuwa addicted ndo utajua.

Mimi naamini ujinga wa kuiga kila kitu ndio huingiza watu kwenye uteja!..mateja wameingia huko kwa ujinga wa kuacha mambo ya maana na kuendekeza starehe za kipuuzi. Wewe amini vinginevyo sikulazimishi
 
Mimi naamini ujinga wa kuiga kila kitu ndio huingiza watu kwenye uteja!..mateja wameingia huko kwa ujinga wa kuacha mambo ya maana na kuendekeza starehe za kipuuzi. Wewe amini vinginevyo sikulazimishi
usitukane mamba kabla ya kuvuka mto....mtu yoyote anaweza ingia katika kundi hilo asipokuwa mwangalifu kuna watu madaktari, wasomi, wengine kwenye familia bora wanatumia hiyo kitu baada ya kujiingiza kikubwa ni kuombaa uepukane nayo na yasikupate kabisa madudu hayo.....
 
Huyu jamaa hata maeneo ya Daraja Mbili hapa A-Town hatakiwi kuonekana kwa tabia zake za udokozi wa vitasa vya milango ya magari pamoja Site Mirrow! Hakuna kitu mbaya uvute bangi halafu huna hela ya kula!
 
usitukane mamba kabla ya kuvuka mto....mtu yoyote anaweza ingia katika kundi hilo asipokuwa mwangalifu kuna watu madaktari, wasomi, wengine kwenye familia bora wanatumia hiyo kitu baada ya kujiingiza kikubwa ni kuombaa uepukane nayo na yasikupate kabisa madudu hayo.....

wewe mbona sio TEJA?
 
hiyo single itajaa majungu na kuwaponda weusi tu haina jipya
 
Huyu jamaa hata maeneo ya Daraja Mbili hapa A-Town hatakiwi kuonekana kwa tabia zake za udokozi wa vitasa vya milango ya magari pamoja Site Mirrow! Hakuna kitu mbaya uvute bangi halafu huna hela ya kula!

mwanzo niliposikia habari za lord eyez nilijuwa wanamzushia tu lakin kama ni kweli amefikia hatua hiyo basi hali yake ni mbaya sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom