Chit-Chat ina wenyewe? Ni swali tu.
Toto tundu Mwita25. Source Invisible
Hivi BIG X si ndo alisema humu ni umbea tuNdio ina wenyewe.
Hapana mkweKumbe dena wewe mchokoze ee!
Hivi BIG X si ndo alisema humu ni umbea tu
Mi jukwaa ambalo humu nakosa pozi kabisa ni MMU ingawa naipenda.ila kwingine najisikia freendio huyo huyo halafu kesho yake akapost thread humu humu chit chat. Dah.
Hivi BIG X si ndo alisema humu ni umbea tu
teh teh teh ndo zake yule....si unakumbuka aliingia na gia za kulalamika watu hawacoment kwenye post zakeyaani Big X jina kubwaaaa lakini Avatar inanimaliza mbavu.
kama kina nani?