kuna chip mpya za mediatek ni true octacore nitazi exclude hapa maana naona wameimprove kidogo.
haya ni matatizo ya mediatek
1.zinakuwa hazina support. simu ya mediatek ikija na software version ndio hio hio mfano android 4.1 ujue hutapata updates za baadae. mfano wake simu za tecno hutaskia zimepata update za kit kat au android l
2. security ndogo. simu hizi zinakuwa wahanga wa hacking nyingi. comand ndogo tu hata ya sms simu yako inacheua data zote.
3. low quality. picha inayokuwa produced kwenye mediatek inakuwa na quality ndogo kucompare na qualcom au exynos.
4.feature za simu. mediatek ina feature chache kucompare na wenzake. mfano vitu kama 4k, 4g, slow motion camera, dual camera huwezi vikuta.
5. pia hizi chip sio reliable sana ni rahisi kucorupt na imei kupotea, unaweza change imei, chip moja ikipata matatizo zinapata zote
hayo ni machache kaka ila yapo mengi na sio mediatek tu kuna wamarekani kama intel na nvidia pia wana historia ya kutoa chip mbovu mfano tegra ya htc one x ilifeli vibaya mno.
chip nzuri za simu ni
1. exynos za samsung
2. snapdragon za qualcomm
3. kirin za huawei