Mr. JF
Member
- Dec 14, 2015
- 79
- 107
Imagine zama hizi ambazo dunia nzima inapambana na magonjwa yasiyoambukiza (Non Communicable Diseases) yakiwemo Magonjwa ya Moyo, Sukari, Cancers etc, ni nyakati ambazo dunia nzima inasisitiza kuepuka vyakula vyenye viashiria vya visababishi vya Magonjwa haya (kwa mfano kuepuka vyakula vinavyolowekwa kwenye mafuta kama chips etc) lakini hawa jamaa wameanzisha kabisa kampeni ya ku promote Chips Zege.
Je, kuna lengo gani nyuma ya kampeni zao? Kulikua na umuhimu gani wa ku promote Chips zege tena kwa vijana wa Dar es Salaam?
My take: Hawa jamaa badala ya ku promote lifestyle na vyakula vinavyotajwa kuwa na visababishi vya NCD, basi wangetumia muda huo ku promote ulaji wa balanced diets, matunda kwa wingi, white meat, mboga mboga etc.
Je, kuna lengo gani nyuma ya kampeni zao? Kulikua na umuhimu gani wa ku promote Chips zege tena kwa vijana wa Dar es Salaam?
My take: Hawa jamaa badala ya ku promote lifestyle na vyakula vinavyotajwa kuwa na visababishi vya NCD, basi wangetumia muda huo ku promote ulaji wa balanced diets, matunda kwa wingi, white meat, mboga mboga etc.