Chips nyama 8000 Singida Hotelini

Chips nyama 8000 Singida Hotelini

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Salam,

Nilipita hapo leo nikazama nikauliza bei ya hizo chips, kuna vifuko vya kaki vilivyokatwa nusu wameweka chips kidogo na nyama finyango hazifiki 7.

Nilichoona kwa bei zile wasafiri wanapigwa sana. Utanunua tu kwa kuwa hakuna option. Hii nchi hakuna wanaodhibiti bei za vitu?
 
Option ipo. Ule usiku wa safari, pika misosi, jaza ma hotpot then utakula kesho yake safarini.
Ili kunogesha safari zaidi unaandaa mayai yako ya kuchemsha yakutosha, hotpot kubwa la makande yakisindikizwa na chupa kubwa la juice ya parachichi mixer ndizi.
Hapo safari yako itakuwa murua hasa ukiwa kwenye zile bus za luxury full Ac.
 
WaTz tunaendekeza sana kulakula njiani tukiwa safarini.
Kaanga vipande vya ndizi mzuzu na vioande vya nyama kiasi funga kwenye foil panda bus.
Ukifika njiani unakula mdogomdogo.

Vinginevyo mwendo wa bites tu na juice mbona safi tu.

Huwezi kufa kwa kushindwa kula siku moja tu ya safari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom