Chini ya Msambatavangu na Tulia itaichukua CHADEMA muda mrefu kurudi Iringa na Mbeya

Nashangaa Sana hata huyo jesca kujifanya mtumishi wa Mungu wakati uchaguzi uliopita alipita kwa kura za wizi mtupu na hakushinda Iringa
Yani jesca barabara ya bypass tu ina km 7 anashindwa kuiombea hela serikali kuu kazi kuongea habar hazina maana
 
Facts ni kwamba chini ya ubunge wa sugu Mbeya na mnyika iringa HAKUNA LA MSINGI LA MAENDELEO LILILOFANYIKA, WANANCHI WATAKAPOTAKA KUWARUDISHA WATU HAO, ITASHANGAZA SANA LAKINI NI HIYARI YAO!, WANA MACHO WANA MASIKIO!
Watu wa CCM bure kabisa!! Sasa ni lini Mnyika aliwahi kuwa Mbunge wa Iringa??
 
Unaweza kulisaidia jukwaa hili kulipa facts juu ya madai yako kua sugu hakua na siasa saf how? Sugu hakupeleka maendeleo how kwamba alikula pesa za maendeleo ya wana Mbeya? Tunahitaji facts katika hii conception yako tafadhali!!!
Hilo la kula pesa sijui lakini la maendeleo unaona wazi. Mbeya ya sugu ilikuwa chafu byeusi kama slums za Kariobangi kwa Raila. Mbeya ya tangu zamani ilikuwa ni kivutio bora sasa ineanza kurudi.
 
Hilo la kula pesa sijui lakini la maendeleo unaona wazi. Mbeya ya sugu ilikuwa chafu byeusi kama slums za Kariobangi kwa Raila. Mbeya ya tangu zamani ilikuwa ni kivutio bora sasa ineanza kurudi.
Hoja yako ni vzr ukaiweka sawa! Unataka kuliambia hili jamvi kua Sugu kua mbunge ndo akaleta uchafu Mbeya mpaka ikawa chafu? Means tulia kaleta usafi? Nadhan sometimes ni vzr kuleta hoja zenye facts!!
 
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo;

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
Uongo mtupu
 
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo;

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
Ndoto zingine bwana
 
Hilo la kula pesa sijui lakini la maendeleo unaona wazi. Mbeya ya sugu ilikuwa chafu byeusi kama slums za Kariobangi kwa Raila. Mbeya ya tangu zamani ilikuwa ni kivutio bora sasa ineanza kurudi.
Huna hoja unalopoka tu ccm inakudangnya 2025 watarud walipokuwa watu sio wajinga lbda mpitishe maboksi ya kura tena
 
Naomba nitumie uzi huu kuweka kumbukumbu sawa ya mjadala unaoendelea na kutunushiana msuli baina ya Spika Tulia na Sugu.

Hakuna mwanaume wa kuwashinda hao wanawake kwenye majimbo hayo na yeyote atakayejaribu ataambulia aibu, sio kwa sababu naongea kiushabika wa CCM bali ni ukweli tupu na hata atayethubutu kushindana nao ndani ya CCM wataambulia aibu.

Huu ni ushauri bora kwa Sugu, Tulia kakuzidi kila kitu atakuaibisha bure.
 
Naomba nitumie uzi huu kuweka kumbukumbu sawa ya mjadala unaoendelea na kutunushiana msuli baina ya Spika Tulia na Sugu.

Hakuna mwanaume wa kuwashinda hao wanawake kwenye majimbo hayo na yeyote atakayejaribu ataambulia aibu, sio kwa sababu naongea kiushabika wa CCM bali ni ukweli tupu na hata atayethubutu kushindana nao ndani ya CCM wataambulia aibu.

Huu ni ushauri bora kwa Sugu, Tulia kakuzidi kila kitu atakuaibisha bure.
Umaskini mbaya sanaa chawa wa mama hao mademu safari yao imeishia hapo
 
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo;

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
Wakati wa Magufuli mlisema hakuna tena RAIS atakayeleta Maendeleo kama Magufuli Leo tuna Mama SAMIA Endelea na siasa za kama Magufuli
 
Facts ni kwamba chini ya ubunge wa sugu Mbeya na mnyika iringa HAKUNA LA MSINGI LA MAENDELEO LILILOFANYIKA, WANANCHI WATAKAPOTAKA KUWARUDISHA WATU HAO, ITASHANGAZA SANA LAKINI NI HIYARI YAO!, WANA MACHO WANA MASIKIO!
Acha mihemko Toka lini Mnyika akawa mbunge wa Iringa?
 
Kutokuwapa ubunge mchungaji Msigwa na Sugu ni uwezo mdogo wa watanzania kuelewa akili kubwa alinayo Msigwa na Sugu au Lisu.Ona hata hu mgogoro wa ziwa Nyasa.Inabidi safari hii tutafute wabunge wenye akili kubwa mikoa ya kusini.
 
Back
Top Bottom