Mussa Montelli
Senior Member
- Jul 18, 2022
- 188
- 81
Yani jesca barabara ya bypass tu ina km 7 anashindwa kuiombea hela serikali kuu kazi kuongea habar hazina maanaNashangaa Sana hata huyo jesca kujifanya mtumishi wa Mungu wakati uchaguzi uliopita alipita kwa kura za wizi mtupu na hakushinda Iringa