Nakubaliana nawe. Swala la msingi sana umeeleza.
Ila sasa, unataka tufungue milango raia wa kigeni waingie nchini wafanye kazi watakayo? Nipe majina ya nchi zinazofanya huo upuuzi.
Wenzetu wana-incourage foreign workers waende kufidia pengo la uhaba wa skilled labor kwenye maeneo maalum, mfano madaktari. Tunahitaji manesi na madaktari zaidi ili tuishi kwa afya. Tunahitaji waalimu ...kuna maeneo mengi tu.
We don't need unskilled labor as we already have enough of those. Perhaps we should think about moving some of our unskilled labor to China; that would be cool - itapunguza msongamano kwenye magereza yetu.
Tunahitaji kuchuja Chinese criminals wanaokimbia mkono wa sheria huko watokako.
Foreigners waje, wafanye kazi kwenye makampuni ya watanzania, sio waanzishe makampuni yao. Au kama ni makampuni yao
(mfano kwenye construction) sheria iwalazimishe wafanye kazi jointly na locals.
Usimamizi wa sheria zilizopo ni hovyo. Wafanyakazi serikalini na taasisi zake wamekuwa mstari wa mbele kuingia ushirika na wageni kufanya mambo kinyume na sheria. Magogo kiasi gani yametoroshwa? Nyara kiasi gani wamekomba? ...You name it!
Mfano mdogo tu kuhusu sheria:
In Malaysia: Foreign workers can only work for five years
SOURCE:
http://whiteglove.com.my/index.php?option=com_content&task=view&id=197&Itemid=47
Picture that! Jiulize kwa nini wenzetu wameweka sheria ya namna hiyo.