Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,898
admission inabidi ulipie.ila kama unataka kwa ajili ya kusaport maombi yako ya scholarship basi omba ACCEPTANCE LETTER ambayo inakuwa ni preadmission .hii hutolewa BURE na vyuo vingi.
Tembelea tovuti ya wizara ya elimu waliweka matokeo ya waliofaulu siku nyingi tuVipi wadau wa maendeleo... na elimu, majibu yetu hayajatoka au ndio nimepigwa chini kimya kimya....