China yatangaza vita na nchi za Magharibi

jiwekuu770

JF-Expert Member
Feb 12, 2015
2,247
1,634
Rais wa China Xi-jinping ameonya nchi yeyote inayojaribu kuigawanya china basi itaipiga vita kuwasagasaga hadi mavumbi


images (21).jpeg

Hii ndyo china

Report source-The hill
IMG_20191015_140251.jpeg


Ni kina nani wanataka kuigawa china!!?

Mawazo yangu hapa!!
America and western countries!!
America (USA) imekua mstari wa mbele kuhamasisha, kuchochea mizozo ya


1.Taiwan
Marekan imekua ikijaribu kuzuia taiwan kuungana na mainland china, china ina amini Taiwan ni sehem yake!!..mzozo unakua mkubwa zaid pale marekan ilipoahidi kuipa siraha taiwan za kupambana na china

2.maandamano ya Hong Kong
Ni miezi mingi sasa maandamano na vurugu za hong kong hazionekani kukoma, kwa kile kinachodaiwa ni kuingiliwa kwa uhuru na democracia ya watu wa hong kong na serikali kuu ya mainland china
Ambapo marekani wanaonekana n wahusika wakubwa wa maandamano makubwa hayo....

Xinjiang region
Western media bbc, cnn, dw, na middle east al Jazeera ,uturuki zimekua zikiituhumu china kwa kuigandamiza jamii ya kundi dogo la wachina Uighurs ambao wana asili ya uturuki waishio jimbo la xinjian!!... China imewasweka kwenye concentration camp ikidai inawapa elimu kuondoa fikira za kigaidi
Ambapo china miaka ya nyuma imekuwa ikisumbuliwa na ughaidi katika jimbo hilo
 
Rais wa China Xi-jinping ameonya nchi yeyote inazojaribu kuigawanya china basi itaipga vita kuwasagasaga hadi mavumbi


View attachment 1234097
Hii ndyo china

Report source-The hill
View attachment 1234100

Ni kina nani wanataka kuigawa china!!?

Mawazo yangu hapa!!
America and western countries!!
America (USA) imekua mstari wa mbele kuhamasisha, kuchochea mizozo ya


1.Taiwan
Marekan imekua ikijaribu kuzuia taiwan kuungana na mainland china, china ina amini Taiwan ni sehem yake!!..mzozo unakua mkubwa zaid pale marekan ilipoahidi kuipa siraha taiwan za kupambana na china

2.maandamano ya Hong Kong
Ni miezi mingi sasa maandamano na vurugu za hong kong hazionekani kukoma, kwa kile kinachodaiwa ni kuingiliwa kwa uhuru na democracia ya watu wa hong kong na serikali kuu ya mainland china
Ambapo marekani wanaonekana n wahusika wakubwa wa maandamano makubwa hayo....

Xinjiang region
Western media bbc, cnn, dw, na middle east al Jazeera ,uturuki zimekua zikiituhumu china kwa kuigandamiza jamii ya kundi dogo la wachina Uighurs ambao wana asili ya uturuki waishio jimbo la xinjian!!... China imewasweka kwenye concentration camp ikidai inawapa elimu kuondoa fikira za kigaidi
Ambapo china miaka ya nyuma imekuwa ikisumbuliwa na ughaidi katika jimbo hilo
Kwa mini nao China wasiwachonganishe marekani.kukubali kuchonganishwa mana ake unazidiwa akili na mchonganishi.
 
Kwa mini nao China wasiwachonganishe marekani.kukubali kuchonganishwa mana ake unazidiwa akili na mchonganishi.
Umewaza vizuri sana. Urusi pekee ndiye ana ubavu wa kuichonganisha marekani kwa mfano kuwapandikizia rais.

Uchonganishi siyo kazi rahisi sana. Mifumo ya nchi za magharibi ni kuwa raia wa kawaida kabisa ndiye mwenye nguvu kuliko chombo chochote. Lakini nchi zetu za kiafrika na kiasia wanatukuza kiongozi au chama tawala.

Mfumo unaotukuza kiongozi fulani au chama ni rahisi sana kuuchonganisha. Sababu ni kuwa hakuna namna yoyoye kiongozi mkuu au.chama tawala kitakosa kuchukiwa.
 
Mkuu russia kufikia hapo, ilianzia mbali sana kupambana na marekani...tangu enzi za intelligencia yao KGB agencies, ambayo ilikua hatari zaidi dunian miaka 1954-1991... nadhan hawa ndo waliwezesha hadi kuibwa kwa information za zilizowawezesha kutengenezea silaha za nyuklia ambazo unazoziona RUSSIA leo

kgb kwaleo wangekua kama cia.. au zaidi ya hapo

NAFIKIRI CHINA NAO WANAJIPANGA AU WASHANAPROGRESS chini kwa chini...
Umewaza vizuri sana. Urusi pekee ndiye ana ubavu wa kuichonganisha marekani kwa mfano kuwapandikizia rais.

Uchonganishi siyo kazi rahisi sana. Mifumo ya nchi za magharibi ni kuwa raia wa kawaida kabisa ndiye mwenye nguvu kuliko chombo chochote. Lakini nchi zetu za kiafrika na kiasia wanatukuza kiongozi au chama tawala.

Mfumo unaotukuza kiongozi fulani au chama ni rahisi sana kuuchonganisha. Sababu ni kuwa hakuna namna yoyoye kiongozi mkuu au.chama tawala kitakosa kuchukiwa.
 
Mkuu russia kufikia hapo, ilianzia mbali sana kupambana na marekani...tangu enzi za intelligencia yao KGB agencies, ambayo ilikua hatari zaidi dunian miaka 1954-1991... nadhan hawa ndo waliwezesha hadi kuibwa kwa information za zilizowawezesha kutengenezea silaha za nyuklia ambazo unazoziona RUSSIA leo

kgb kwaleo wangekua kama cia.. au zaidi ya hapo

NAFIKIRI CHINA NAO WANAJIPANGA AU WASHANAPROGRESS chini kwa chini...
Kuanguka kwa USSR ilikua pigo kubwa na udhaifu kwa KGB. ilikua lazima ivunjwe n iundwe upya.
 
Suala si kuzidiwa akili! Suala Mchina hana tamaduni ya kusogeza pua kwenye nchi za watu.

Hong Kong ilikuwa chini ya utawala wa China BC

Taiwan nayo ilikuwa chini ya utawala wa China.

China baada ya kupigwa vita alipokonywa maeneo yake! Kwa hiyo anayo haki ya kudai maeneo yake yarudi!

Isome historia ya China! Soma na vita zilizofanya Mchina kuporwa maeneno yake. Kisha utaelewa kwa nini US+Brits wanagusa Taiwan na Hong Kong lakini China yenyewe bara hawagusi.
Kwa mini nao China wasiwachonganishe marekani.kukubali kuchonganishwa mana ake unazidiwa akili na mchonganishi.
 
Miaka ya nyuma enzi za british era hong kong ilipokua chini ya china... British alikua akitrade na china kwa kunua chai...
Kwan enzi hizo china ndo ilitoa chai bora sana dunian
Baada ya miaka nenda rud mwingereza akaona hela inamuishia lakin bado anahitaji chai.. Kwa maana nyingine ye n mnunuaji tu hana anachokiuza kule
Wakaja na wazo la kuuza opioid/madawa ya kulevya.. Wakawa wanayapeleka china mainland mwanzo china wahakujua madhara ya madawa ya kulevya...

Kama tujuavyo madawa yanafanya addiction au utegemez... Yaan watu hawawez kuacha na kusababisha vwachina wengi kuwa mateja na wateja wa kudum wa madawa kitu kilichowaletea pesa nyingi waingereza ya kununulia chai... Baada ya uchina kuona athar ya madawa wakapga marufuku na kuwakamata waifanyabiashara ya dawa hapo ndpo vita kubwa ikazuka na mwimgereza....
Kuyajenga ili kuleta aman china ikawapa hong kong waingereza kama peace deal nao wajizalishie chai yao


Wakat wa uhuru wa hong kong uingereza na china zilikaa wakakubaliana kuirudisha hong kong kwa china kwa shariti la kutovuruga uhuru wake wa kidemocracia had miaka 50....

Lakin china ikaona kama mbali ikaanza kuingiza mifumo ya mainland hong kong ndo chanzo cha maandamano
Suala si kuzidiwa akili! Suala Mchina hana tamaduni ya kusogeza pua kwenye nchi za watu.

Hong Kong ilikuwa chini ya utawala wa China BC

Taiwan nayo ilikuwa chini ya utawala wa China.

China baada ya kupigwa vita alipokonywa maeneo yake! Kwa hiyo anayo haki ya kudai maeneo yake yarudi!

Isome historia ya China! Soma na vita zilizofanya Mchina kuporwa maeneno yake. Kisha utaelewa kwa nini US+Brits wanagusa Taiwan na Hong Kong lakini China yenyewe bara hawagusi.
 
Miaka ya nyuma enzi za british era hong kong ilipokua chini ya china... British alikua akitrade na china kwa kunua chai...
Kwan enzi hizo china ndo ilitoa chai bora sana dunian
Baada ya miaka nenda rud mwingereza akaona hela inamuishia lakin bado anahitaji chai.. Kwa maana nyingine ye n mnunuaji tu hana anachokiuza kule
Wakaja na wazo la kuuza opioid/madawa ya kulevya.. Wakawa wanayapeleka china mainland mwanzo china wahakujua madhara ya madawa ya kulevya...

Kama tujuavyo madawa yanafanya addiction au utegemez... Yaan watu hawawez kuacha na kusababisha vwachina wengi kuwa mateja na wateja wa kudum wa madawa kitu kilichowaletea pesa nyingi waingereza ya kununulia chai... Baada ya uchina kuona athar ya madawa wakapga marufuku na kuwakamata waifanyabiashara ya dawa hapo ndpo vita kubwa ikazuka na mwimgereza....
Kuyajenga ili kuleta aman china ikawapa hong kong waingereza kama peace deal nao wajizalishie chai yao


Wakat wa uhuru wa hong kong uingereza na china zilikaa wakakubaliana kuirudisha hong kong kwa china kwa shariti la kutovuruga uhuru wake wa kidemocracia had miaka 50....

Lakin china ikaona kama mbali ikaanza kuingiza mifumo ya mainland hong kong ndo chanzo cha maandamano
Kama mifumo ipi ambayo China imeingiza Hong Kong?
 
Miaka ya nyuma enzi za british era hong kong ilipokua chini ya china... British alikua akitrade na china kwa kunua chai...
Kwan enzi hizo china ndo ilitoa chai bora sana dunian
Baada ya miaka nenda rud mwingereza akaona hela inamuishia lakin bado anahitaji chai.. Kwa maana nyingine ye n mnunuaji tu hana anachokiuza kule
Wakaja na wazo la kuuza opioid/madawa ya kulevya.. Wakawa wanayapeleka china mainland mwanzo china wahakujua madhara ya madawa ya kulevya...

Kama tujuavyo madawa yanafanya addiction au utegemez... Yaan watu hawawez kuacha na kusababisha vwachina wengi kuwa mateja na wateja wa kudum wa madawa kitu kilichowaletea pesa nyingi waingereza ya kununulia chai... Baada ya uchina kuona athar ya madawa wakapga marufuku na kuwakamata waifanyabiashara ya dawa hapo ndpo vita kubwa ikazuka na mwimgereza....
Kuyajenga ili kuleta aman china ikawapa hong kong waingereza kama peace deal nao wajizalishie chai yao


Wakat wa uhuru wa hong kong uingereza na china zilikaa wakakubaliana kuirudisha hong kong kwa china kwa shariti la kutovuruga uhuru wake wa kidemocracia had miaka 50....

Lakin china ikaona kama mbali ikaanza kuingiza mifumo ya mainland hong kong ndo chanzo cha maandamano
Mmmh!
 
Back
Top Bottom