S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,625
- 32,756
Wakati vyuo vya wenzetu vikikazana kufanya tafiti huku kwetu mambo ni tofauti, maprofesa wa vyuo vikuu wako wanangoja wapewe nafasi za kisiasa na kugombea ubunge!!China yajenga mtandao wa kwanza wa mawasiliano ya habari wa Quantum wa ardhi na setilaiti duniani Chuo kikuu cha sayansi na teknolojia cha China kimetangaza kuwa timu ya utafiti ya China imefanikiwa kutimiza ugavi wa ufunguo wa siri (Secret-Key) wa Quantum wenye umbali wa kilomita 4600, ambayo ni alama ya uzinduzi wa mtandao wa kwanza wa mawasiliano ya habari wa Quantum wa ardhi na setilaiti duniani.
Hata ukiwa na kinu una kiwanda cha kutengeneza kisamvuWakati vyuo vya wenzetu vikikazana kufanya tafiti huku kwetu mambo ni tofauti, maprofesa wa vyuo vikuu wako wanangoja wapewe nafasi za kisiasa!!
Mbaya zaidi tunataka viwanda, sijui hivyo viwanda vitatoka wapi kwa mtindo huu!
Duh! Swali langu limelenga kujua tu hiki walichokigundua kitakuwa kinafanya kazi kwenye simu, TV, au wapi na kwa namna gani?Unatuwekwa mada kana kwamba wote tumesoma Physics na tunayajua hayo.
Haya tuanze Quantum ni nini?
Michango ya wadau inaweza kutuvumbua akiliNimesoma na sijaelewa
Tatizo wametumia www.transalate.google.com ndio maana habari haieleweki. Wangetuwekea ileile ya Kingereza ingekuwa poa sanaMichango ya wadau inaweza kutuvumbua akili
Tulia hapahapa
Hiki sio kiwanda NI KIWONDER.Hata ukiwa na kinu una kiwanda cha kutengeneza kisamvu
Wanakuzoom hapo.....kama upo bongo huo mnara wenyewe inawezekana ni wa huaweiInternet ni AMERICAN creation....
Then,Internet inayosimamiwa na chama cha kikomunisti cha CCP cha China,eti nitumie,uhuru wangu uangaliwe na akina Xi Jiping wanao ua hata akina Jack Ma?
Nina kichaa?
Yaani nikae kabisa napitisha siri zangu kwenye macho ya chama uaji kama CCP?
Subutuuu
Yaani siku namkosoa Xi Jiping wanakuja kunibeba nilipo wanaenda kunichinja huko China?
Sitakaa niiamini CCP ya China hata wajenge wingu hapa,never!
Hata aendelee kutawala Mmarekani naweza mtukana hata Trump mpaka mdomo ukachanika na hawezi nigusa...Hata kama amekasirika anaweza nipeleka mahakamani na huko kesi ikazungumziwa nikapata haki yangu
China unachinjwa waziwazi!
Unadhani anajua basi? tena wenda na simu anayo tumia ni tecno!Wanakuzoom hapo.....kama upo bongo huo mnara wenyewe inawezekana ni wa huawei
Aah kukwepa labda arudi enzi za slpUnadhani anajua basi? tena wenda na simu anayo tumia ni tecno!
Kwanza hongera kwa kujua inteneti ni USA! unasema china watajua siri zako je unajua ni nini kilimtokea Snowden na kwanini kilimtokea? au sakata lake lilikua linawahusu wachina?Yaani nikae kabisa napitisha siri zangu kwenye macho ya chama uaji kama CCP?
Mkuu kumbe uvumbuzi huu ni maswala ya internet? Asante sanaInternet ni AMERICAN creation....
Then,Internet inayosimamiwa na chama cha kikomunisti cha CCP cha China,eti nitumie,uhuru wangu uangaliwe na akina Xi Jiping wanao ua hata akina Jack Ma?
Nina kichaa?
Yaani nikae kabisa napitisha siri zangu kwenye macho ya chama uaji kama CCP?
Subutuuu
Yaani siku namkosoa Xi Jiping wanakuja kunibeba nilipo wanaenda kunichinja huko China?
Sitakaa niiamini CCP ya China hata wajenge wingu hapa,never!
Hata aendelee kutawala Mmarekani naweza mtukana hata Trump mpaka mdomo ukachanika na hawezi nigusa...Hata kama amekasirika anaweza nipeleka mahakamani na huko kesi ikazungumziwa nikapata haki yangu
China unachinjwa waziwazi!
Ni kweli mkuu,Wakati vyuo vya wenzetu vikikazana kufanya tafiti huku kwetu mambo ni tofauti, maprofesa wa vyuo vikuu wako wanangoja wapewe nafasi za kisiasa na kugombea ubunge!!
Mbaya zaidi tunataka viwanda, sijui hivyo viwanda vitatoka wapi kwa mtindo huu!
Nimesoma na sijaelewa
jack ma kwani kauwawa?????Internet ni AMERICAN creation....
Then,Internet inayosimamiwa na chama cha kikomunisti cha CCP cha China,eti nitumie,uhuru wangu uangaliwe na akina Xi Jiping wanao ua hata akina Jack Ma?
Nina kichaa?
Yaani nikae kabisa napitisha siri zangu kwenye macho ya chama uaji kama CCP?
Subutuuu
Yaani siku namkosoa Xi Jiping wanakuja kunibeba nilipo wanaenda kunichinja huko China?
Sitakaa niiamini CCP ya China hata wajenge wingu hapa,never!
Hata aendelee kutawala Mmarekani naweza mtukana hata Trump mpaka mdomo ukachanika na hawezi nigusa...Hata kama amekasirika anaweza nipeleka mahakamani na huko kesi ikazungumziwa nikapata haki yangu
China unachinjwa waziwazi!