China yajenga mtandao wa kwanza wa mawasiliano ya habari wa Quantum

Wakati vyuo vya wenzetu vikikazana kufanya tafiti huku kwetu mambo ni tofauti, maprofesa wa vyuo vikuu wako wanangoja wapewe nafasi za kisiasa na kugombea ubunge!!

Mbaya zaidi tunataka viwanda, sijui hivyo viwanda vitatoka wapi kwa mtindo huu!
 

Attachments

  • VID-20210107-WA0062.mp4
    6.4 MB
Unapompa mshahara profesa mshahara haufiki milioni 6 unategemea nini kwa mfano ?!!
Ni kweli mkuu,

Badala watumie vitivo vyao kufanya tafiti pamoja na wanafunzi wao wamekalia siasa tu.

Sijui tunakwama wapi kama Taifa.
 
Wakati vyuo vya wenzetu vikikazana kufanya tafiti huku kwetu mambo ni tofauti, maprofesa wa vyuo vikuu wako wanangoja wapewe nafasi za kisiasa na kugombea ubunge!!

Mbaya zaidi tunataka viwanda, sijui hivyo viwanda vitatoka wapi kwa mtindo huu!
Maprofessor wakichaguliwa na wanasiasa wanasema wameokotwa jalalani
 
Back
Top Bottom